Kweli asingechezeshwa ingekuwa vice versaNyie washabiki ndio mliwafanya benchi la yanga wamchezeshe kwani mlimuamini ni mchezaji pekee anayeweza kuifunga Simba
Duh kama Mfipa wa Namanyere aisee hah hah hah!!Ndevu ya karantiniiiiView attachment 1505742
Chura mwenzako ndio amempa hilo jina. Hata jina la Utopolo limetoka kwa shabiki wa chura huko hukoeti morrison ni "muhuni" 😆😆😆