Habari wadau,
Nimesikiliza Audio ya kocha wa Yanga maneno aliyoyasema ni ya kweli tupu. Mimi ni mwanayanga ila sijasikia sehemu akitutukana.
Viongozi wa Yanga wameibadilisha tafsiri ya maneno ya kocha ili walinde vibarua vyao na kujitetea maovu yao kwa mashabiki.
Kocha amesema anashangaa mashabiki wa Yanga wakiwa wanazomea hovyo hovyo tu kama sio binadamu wenye akili, kama nyani ama mnyama ambaye hana IQ.
Hii viongozi wa Yanga wameibadili na kusema amesema wanaYanga wote ni manyani.
Binafsi nimewai kuona mtu akiambiwa anaongea kama chiriku ila sijawai kuona akisema ameambiwa yeye ni chiriku.
Mtu anaambiwa ana tamaa kama fisi, aimaanishi yeye ameambiwa ni fisi
Viongozi wa yanga wajanja sana, wanajua madudu yao wamemuangushia kocha jumba bovu
Kocha huyu mzungu hajamsajili yikpe wala molinga wala mchezaji yeyote, sasa waliosajili madudu wanamuangushia jumba bovu.
Kwa maneno ya kocha Mkataba wa Yanga na kocha aliambiwa anapewa nyumba nzuri sehemu salama Dar, akaambiwa analipiwa DSTV, akaambiwa atalipiwe wireless internet ila Yanga hawajatimiza hata moja.
Walisema atapewa gari limsaidie usafiri Dar hajapewa.
Viongozi wamejaa uswahili Swahili kocha analalamika.
Sasa why wabadilishe maana.
Hoja inajibiwa kwa hoja, ilipaswa hoja za kocha zijibiwe kwa hoja kama je alitimiziwa masharti ya mkataba wake yote?
Sikiliza audio hapo chini kisha utoe hukumu.
Mchawi ya Yanga ni Msolla, Mkwassa na waswahili wengine.
Pongezi sana kwa Simba na Mo kwa kuachana na Waswahili na kuweka mzulu awaongoze.
Nimesikiliza Audio ya kocha wa Yanga maneno aliyoyasema ni ya kweli tupu. Mimi ni mwanayanga ila sijasikia sehemu akitutukana.
Viongozi wa Yanga wameibadilisha tafsiri ya maneno ya kocha ili walinde vibarua vyao na kujitetea maovu yao kwa mashabiki.
Kocha amesema anashangaa mashabiki wa Yanga wakiwa wanazomea hovyo hovyo tu kama sio binadamu wenye akili, kama nyani ama mnyama ambaye hana IQ.
Hii viongozi wa Yanga wameibadili na kusema amesema wanaYanga wote ni manyani.
Binafsi nimewai kuona mtu akiambiwa anaongea kama chiriku ila sijawai kuona akisema ameambiwa yeye ni chiriku.
Mtu anaambiwa ana tamaa kama fisi, aimaanishi yeye ameambiwa ni fisi
Viongozi wa yanga wajanja sana, wanajua madudu yao wamemuangushia kocha jumba bovu
Kocha huyu mzungu hajamsajili yikpe wala molinga wala mchezaji yeyote, sasa waliosajili madudu wanamuangushia jumba bovu.
Kwa maneno ya kocha Mkataba wa Yanga na kocha aliambiwa anapewa nyumba nzuri sehemu salama Dar, akaambiwa analipiwa DSTV, akaambiwa atalipiwe wireless internet ila Yanga hawajatimiza hata moja.
Walisema atapewa gari limsaidie usafiri Dar hajapewa.
Viongozi wamejaa uswahili Swahili kocha analalamika.
Sasa why wabadilishe maana.
Hoja inajibiwa kwa hoja, ilipaswa hoja za kocha zijibiwe kwa hoja kama je alitimiziwa masharti ya mkataba wake yote?
Sikiliza audio hapo chini kisha utoe hukumu.
Mchawi ya Yanga ni Msolla, Mkwassa na waswahili wengine.
Pongezi sana kwa Simba na Mo kwa kuachana na Waswahili na kuweka mzulu awaongoze.