GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,877
Juzi ulipokuwa ukilialia kama ambavyo ' Voice Note ' yako ime ' trend ' kweli kweli kuhusu ' Kusakamwa ' na wana Yanga kwa kile walichodai kuwa ulikuwa ' ukiwahujumu ' nilikuonea Huruma na Kudhani wanakuonea ila kwa ' Uwongo ' uliousema Leo kuhusu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Hayati Benjamin William Mkapa nimeamini kuwa ' Kutokupendwa ' Kwako na wana Yanga ni sahihi mno.
Akizungumza bila Aibu wala Uwoga leo hii Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Lugano Mwakalebela a,k,a Tumbo Tumbo ' alidanganya ' na hadi ' Kuwadanganya ' wana Yanga SC na wana Umma kuwa Hayati Rais Mstaafu Mkapa alikuwa ni Mshabiki ' lia lia ' wa Yanga SC wakati ukweli ni kwamba Hayati Mkapa hakuwa Mpenda Soka wala Michezo.
Wakati wa Uzinduzi wa Uwanja wa Taifa ( sasa Uwanja wa Mkapa ) akihojiwa na aliyekuwa Mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC wakati huo Abdallah Idrisa Majura kuwa Yeye ni Shabiki wa Timu hapa nchini Tanzania alisema kuwa hana Timu, hapendi Mpira na pia si Mwanamichezo kivile ile aliamua tu Kuwaachia Zawadi ya Uwanja Watanzania baada ya Kuona jitihada zao katika Michezo.
Akizungumza bila Aibu wala Uwoga leo hii Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Lugano Mwakalebela a,k,a Tumbo Tumbo ' alidanganya ' na hadi ' Kuwadanganya ' wana Yanga SC na wana Umma kuwa Hayati Rais Mstaafu Mkapa alikuwa ni Mshabiki ' lia lia ' wa Yanga SC wakati ukweli ni kwamba Hayati Mkapa hakuwa Mpenda Soka wala Michezo.
Wakati wa Uzinduzi wa Uwanja wa Taifa ( sasa Uwanja wa Mkapa ) akihojiwa na aliyekuwa Mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC wakati huo Abdallah Idrisa Majura kuwa Yeye ni Shabiki wa Timu hapa nchini Tanzania alisema kuwa hana Timu, hapendi Mpira na pia si Mwanamichezo kivile ile aliamua tu Kuwaachia Zawadi ya Uwanja Watanzania baada ya Kuona jitihada zao katika Michezo.