Yanga baada hiki kipigo tulichopigwa na Simba leo Msolwa kuna haja abaki klabuni

ommytk

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
482
1,053
Hivi kweli Yanga shida nini uongozi au kuna jambo lingine manake kama pesa kwasasa ipo shida nini.

Hivi viongozi wanajua shida tunayopata mashabiki, hebu Msolwa na wenzake watupishe kidogo. Hivi Msolwa atakuja kutuambia nini klabuni na kumuelewa.

Nimeumia sana leo.
 
Timu yetu haiko vizuri sana! Viongozi kama wako siriaz msimu ujao walete wachezaji wa maana sio kina Yikpe na yule mtovu wa nidhamu!
 
Hivi kweli Yanga shida nini uongozi au kuna jambo lingine manake kama pesa kwasasa ipo shida nini.

Hivi viongozi wanajua shida tunayopata.mashabiki.ebu msolwa na wenzake watupishe kidogo.hivi msolwa atakuja kutuambia nini klabuni na kumuelewa.

Nimeumia sana leo.
kwano msolwa bado ni kiongozi wa yanga mi nilisikia timu kaachiwa Eng hersi said
 
Tuseme ukweli,Yanga hakina kikosi makini ,huwezi hata kufananisha kikosi cha yanga na kagera sugar au namungo,ni kwa vile vyombo vya habari vinawakuza tu lakini yanga hamna kikisi makini ,lalamikieni usajili na siyo kufukuza viongozi,nye hamna wachezaji
 
Hivi kweli Yanga shida nini uongozi au kuna jambo lingine manake kama pesa kwasasa ipo shida nini.

Hivi viongozi wanajua shida tunayopata.mashabiki.ebu msolwa na wenzake watupishe kidogo.hivi msolwa atakuja kutuambia nini klabuni na kumuelewa.

Nimeumia sana leo.

Jiulize yanga ya mwinyi zahera haina mwenyekiti wala haina hela ilikuwaje performance vs yanga ya mwenyekiti msolla huku mkwasa huku nugaz na huku tajiri gsm mzee wa bonus mishahara na hela nyingi performance yake ikoje
 
Back
Top Bottom