yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. GENTAMYCINE

    Mwadui FC chezeni kama mlivyocheza na Simba SC jana pia mkicheza na Yanga SC ili mbebe Kombe la VPL kabisa

    Kumbe Mpira huwa mnaujua sasa kwanini kila Msimu wa Ligi huwa mnapumulia tu Mashine huku mkiwa hatarini Kushuka daraja na badala yake mnabaki tu Kusumbua Waamuzi kwa ‘ Kuwahonga ‘ Pesa zenu kidogo za hapa Mgodini ili mbakie Ligi Kuu? Ombi Kuu kwenu ni kwamba nawaombeni nyie Mwadui FC kuwa hata...
  2. K

    Viongozi wa Yanga usajili wa wachezaji ndio unawaangusha

    Kinachoiangusha Yanga ni kutofanya usajili wa maana. Wachezaji waliowasajili wengi hawana viwango kabisa. Igeni mfano wa jirani zenu wa Simba na Azam, wanapocheza utafurahi kabisa. Mchezaji kama Ngassa ni wa nini kumsajili? Umri umemtupa na hata mchezo anaouonyesha ni kiwango cha chini...
  3. Erythrocyte

    Je, Poulsen kumng'oa Zahera Yanga ?

    Hii kitu imekaaje wakuu ?
  4. Erythrocyte

    Lipumba alifuata nini uwanjani?

    Huyu mtu aliyoyafanya nchi hii hamkutakiwa kumruhusu kutia pua uwanjani .
  5. DonDonald

    Kombe la Shirikisho: Yanga yaanza vibaya kwa kukubali kufungwa 2 -1 dhidi ya Pyramids ndani ya CCM Kirumba

    Mabingwa wa kihistoria nchini, Dar es Salaam Young Africa al maarufu kwa jina la Yanga wanaingia uwanjani leo kupambana na timu ya soka ya Pyramids ya kutoka nchini Misri katika mechi ya kwanza ya mtoano kutafuta nafasi ya kuingia kwenye hatua ya makundi kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho...
  6. GENTAMYCINE

    Mchezaji mahiri na muhimu Yanga SC Kelvin Yondan akosa mazoezi kisa 'chai' huko mkoani Mwanza

    Tukisema kuna 'njaa' mnakasirika na kununa. Chanzo: Gazeti la Mtanzania la 26/10/2019, ukurasa wa 21.
  7. GENTAMYCINE

    Baada ya wachezaji wa timu tajiri nchini ya Simba SC kukabidhiwa pikipiki, hivi ndivyo mchezaji wa Yanga SC Fei Toto alivyopewa makavu yake

    Yafuatayo ni Mawasiliano ‘ Kiduchu ‘ kwa njia ya Meseji ( SMS ) kati ya Mchezaji Mwandamizi wa Simba SC Hassan Dilinga ( HD ) na Kiungo wa Timu Masikini na inayoenda Kushuka daraja nchini kwa Msimu huu Yanga SC hasa baada ya Kusikia kuwa Rafiki yake huyo pamoja na Wenzake wa Simba SC leo...
  8. GENTAMYCINE

    Huenda huyu ndiye akawa mwana Yanga SC mwenye ' Akili ' kubwa kuliko wengineo na ambaye pia ninamheshimu na kumkubali

    " Majeraha kwa kalengo ni kama kifo na binadamu na hili viongozi tuli wapa ushauri mapema kuhusu usajili wake.Una msajili vipi mchezaji alie umia mara 21 ndani ya mwaka mmoja tena una enda kumpa mkataba wa miaka miwili mchezaji alie cheza mechi 4 tu msimu mzima bila kumpima afya kwa kisingizio...
  9. GENTAMYCINE

    Njaa kali klabuni na kutoheshimu 'utaalam wa kiufundi' wasababisha wachezaji muhimu wa Yanga SC kupata majeraha makubwa

    Tukiwa tunawaambieni kuwa mna njaa halafu hamna 'wataalam' wa mpira katika klabu yenu ya Yanga muwe mnatuelewa kwani ni aina yenu ya 'ubishi' ndiyo ambayo imekuwa 'ikiwagharimu' na hatimaye mnajikuta mnafanya vibaya katika mechi zenu mbalimbali kisha mnadai Simba SC inabebwa wakati si kweli...
  10. K

    Ushauri kwa timu ya Yanga

    Nikiri wazi kuwa mimi ni shabiki na mpenzi wa Timu ya Dar Young Africans. Jana nimeshuhudia timu ya Yanga ikicheza dhidi ya timu ya Mbao. Niishauri Timu ya Yanga kuwa mchezo waliouonyesha jana bado kabisa. Tafuteni wachezaji wenye uwezo kimpira kuliko vijana mlio nao sasa hivi. Majirani zenu...
Back
Top Bottom