yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. Kipenzi Changu

    Video: Yanga ikichezea kichapo cha 4-1. This is Simba

    Kipi kinakufurahisha kwenye hii video. Mimi ni mkwara wa Luis Miqsonne akishangilia goli lake kwa kutamba Shadeeya Sibonike
  2. Kipenzi Changu

    Yanga ni bora kuwa maskini jeuri kuliko haya

    Huyu alituambia Shishimbe amesajiliwa tayari leo hii imeonekana kumbe hawakumsajili na wameshindwana.
  3. GENTAMYCINE

    Kwa hiki nilichokisikia Leo Wasafi FM huenda yale maneno ya ' Kashfa ' ya Kocha Luc Eymael kwa Uongozi wa Yanga alikuwa sawa

    Miezi kama si Miwili hivi nyuma nakumbuka kupitia Redio hiyo hiyo ya Wasafi FM ( japo Video yake ipo na ilienea pia ) Mmoja wa Mwana Yanga SC anayejifanya ana Hela na anataka Kushindana na Mo Dewji ' Injinia ' Hersi kwa ' Majigambo ' kabisa alisema kuwa tayari Klabu ya Yanga imeshamalizana na...
  4. Dam55

    TFF yatuma barua ya mashitaka CAF dhidi ya Kocha wa Yanga sc

    Hongereni TFF kwa kulishughulikia hili Tanzania hatutaki tabia za kibaguzi kwenye soccer letu.
  5. F

    Ukisikiliza audio ya kocha wa Yanga, ameongea ukweli mtupu. Uongozi wa Yanga haupendi kuambiwa ukweli

    Habari wadau, Nimesikiliza Audio ya kocha wa Yanga maneno aliyoyasema ni ya kweli tupu. Mimi ni mwanayanga ila sijasikia sehemu akitutukana. Viongozi wa Yanga wameibadilisha tafsiri ya maneno ya kocha ili walinde vibarua vyao na kujitetea maovu yao kwa mashabiki. Kocha amesema anashangaa...
  6. GENTAMYCINE

    Rais Dkt. Magufuli tuko katika Majonzi makubwa, lakini Kocha wa Yanga ametutukana Watanzania wote. Akamatwe upesi

    Hii haivumiliki na GENTAMYCINE nasema tena kuwa hii haivumiliki na namuomba Waziri wa Michezo aamuru Jeshi la Polisi nchini Tanzania chini yake IGP upesi sana wamsake (wamtafute) popote pale alipo Kocha wa Yanga SC Raia Ubelgiji Luc Eymael kwa ‘ Matamshi ‘ ya Kuidhalilisha Tanzania na hadi Sisi...
  7. Analogia Malenga

    Polisi waonya mikusanyiko ya kumpokea Lissu, na maandamano ya wanafunzi

    Jeshi la polisi limesema limeona baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakihamasisha kukusanyika ili kumpokea mmoja wa kiongozi wanayetarajia kurejea nchini Julai 27, 2020. Polisi wamesema hawana taarifa rasmi ya mikusanyiko hiyo inayohamasishwa mitandaoni. Wamesema ni haki yao kukusanyika lakini...
  8. GENTAMYCINE

    Makamu Mwenyekiti wa Yanga ' Tumbo Tumbo ' Fredrick Mwakalebela tafadhali acha ' Kudanganya ' Hayati Mkapa hakuwa Shabiki wa Yanga SC

    Juzi ulipokuwa ukilialia kama ambavyo ' Voice Note ' yako ime ' trend ' kweli kweli kuhusu ' Kusakamwa ' na wana Yanga kwa kile walichodai kuwa ulikuwa ' ukiwahujumu ' nilikuonea Huruma na Kudhani wanakuonea ila kwa ' Uwongo ' uliousema Leo kuhusu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Hayati Benjamin...
  9. Pdidy

    Yanga na Azam kucheza michuano ya kimataifa?

    Upo uwezekano mkubwa kwa Tanzania kupata nafasi nne za uwakilishi kwenye michuano ya vilabu barani Afrika (CAF CL na CC) kutokana na uwezekano wa Libya kuondolewa kwenye michuano hiyo baada ya kukosa sifa kwa kuwa hawakuendesha ligi yao kutokana na changamoto za kiusalama Kupitia michuano...
  10. F

    Yanga kutokea kambini hotelini mechi za Dar ni matumizi mabovu ya hela

    Habari wadau, Jana Yanga tumecheza na Singida. Nimeshangaa kuona wachezaji wametokea kambini kwenda uwanjani, badala ya kutokea nyumbani kwao ama makao makuu ya club. Hata mechi na simba nayo hivyo hivyo wachezaji wanatokea hotelini. Huu mfumo wa kukaa hotelini kila siku unaongeza gharama kwa...
  11. GENTAMYCINE

    Huenda ' Mikosi ' ya Yanga SC kufanya vibaya huwa inaanzia kutoka kwa hawa Wasemaji wake wa ' hovyo hovyo ' Bumbuli na Nugaz

    Leo asubuhi akihojiwa na Wasafi FM kupitia Mtangazaji Yussuf Mkule Msemaji wa Yanga ya Mshindo Msolla aitwae Hassan Bumbuli kwa ' Majigambo ' kabisa alisema kuwa Yanga imepanga Kufanya ' Mauwaji ya Shalubela ' kuliko yale yaliyofanywa na Simba SC na Azam FC ya Kuifunga Singida United Goli 8...
  12. Chizi Maarifa

    Yanga yafanya mauaji - Yatuma ujumbe wa kutisha kwa Simba

    Yanga Sc ya dar leo imeitandika Singida United kipigo cha kikatili na hasira kali cha bao 3-1 Katika mchezo uliochezwa uwanja wa Taifa/Mkapa Dsm. Mchezo huo uliokuwa wa piga nikupige,mkali na wenye kuonesha soka la kitabuni soka la kuvutia...mchezaji wa yanga mahiri kwa jina la ykpe leo...
  13. Miss Zomboko

    Serikali: Mechi ya Simba na Yanga imeonesha elimu zaidi bado inahitajika kuhusu CoronaVirus

    SERIKALI imesema changamoto ya kupeana nafasi kwa mashabiki walioingia uwanjani katika mchezo wa Simba na Yanga inaashiria elimu zaidi inahitaji ili kuchukua tahadhari ya janga la maambukizi ya virusi vya corona viwanjani. Katika mchezo huo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam...
  14. Crocodiletooth

    Mvua ya ajabu iliyonyesha Jumatano na Alhamisi ilikuwa ndiyo angamizo la wana yanga

    Maana hata mamlaka za hali ya hewa hazikuiona mvua hile ya ghafla kiasi kile ( jokes)
  15. F

    Je, Morrison angeweza mfanyia Zahera uhuni anaomfanyia mzungu na viongozi wa Yanga na bado akapata namba?

    Habari wadau Swali la kizushi.. je Morisson angeweza kumfanyia Mwinyi Zahera mambo anayowafanyia viongozi msimu huu. Hapo ndipo nawaelewa watu wakali kama Zahera au Magufuli.. Ukali unasaidia sana kuleta nidhamu.. Yanga ya Zahera hata hela ilikuwa haina za mishahara ila bado kocha alikuwa...
  16. Pdidy

    Kumchezesha muhuni Morrison, benchi la Yanga lilaaniwiwe kabisa

    Hakuna shaka lawama hizi ziwaendee benchi la ufundi kwa ushenzi waliofanya kumchezesha huyu mhuni Morrison. Wale wanaomwelewa alichokifanya hata mwezi hana sidhan alistahili kuvaa jezi za yanga tena. Ushauri Hilo liwe funzo
  17. hiram

    Hii inapatikana kwenye matokeo ya CAF

    Hii inapatikana kwenye matokeo ya CAF champions league 2019 na bado code namba ni hiyo hiyo 255
  18. mgt software

    Uchumi wa kati matukio mawili, kipigo cha Yanga na Kipigo cha Shilole

    Wana Jf, katika matukio hatari na ya kutia hasira, tangia tupate uchumi was kati, tumepata vipigo vya mbwa mwizi viwili chakwanza cha Shilole cha pili cha yanga. Kipigo cha yanga ndicho kinatisha kwani kilitendeka kwa uwazi, wakati cha Shilole kilikuwa kwa kificho sana mpaka alivyojitoa na...
  19. F

    Yanga imemfukuza Mwinyi Zahera, imekuwa mbovu kuliko ya Zahera

    Papaa Zahera aliendesha timu bila mishahara Timu iliyojaa wachezaji wa kiwango cha chini kuliko hii ya leo ila timu ilikuwa na morali na matokeo ilikuwa inapata Na hata timu tajiri kama azam na simba zilipata shida sana kucheza na yanga ya Zahera Mkwassa na Msolla wakampiga majungu...
  20. ommytk

    Yanga baada hiki kipigo tulichopigwa na Simba leo Msolwa kuna haja abaki klabuni

    Hivi kweli Yanga shida nini uongozi au kuna jambo lingine manake kama pesa kwasasa ipo shida nini. Hivi viongozi wanajua shida tunayopata mashabiki, hebu Msolwa na wenzake watupishe kidogo. Hivi Msolwa atakuja kutuambia nini klabuni na kumuelewa. Nimeumia sana leo.
Back
Top Bottom