yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. Dam55

    JamiiForums Tanzania Yanga chazeni na Simba siku ya wananchi tutawapangia kikosi rafiki

    Ombi langu kwenu wananchi tukaribisheni siku ya mwananchi Kama kweli mna nia ya kupima team yenu kwa usajili mlio fanya. Tutawapangia kikosi rafiki Kama hiki. 1. Salim 2. kameta 3 Gadiel Michael 4. Ame 5. Kenedy 6. Mzamiru 7. Dilunga 8. Fraga 9. Ilamfya 10 Ndemla 11. Miraji Athuman...
  2. Barbarosa

    JamiiForums Tanzania Simba na Yanga zilianzishwa na mzungu, klabu zetu tulizojenga ziko wapi?

    Leo hii nchi nzima ni aidha Yanga au Simba, hata watu ambao hawaishi Dar lakini ni washabiki wa Yanga au Simba kwanini? Wewe unaishi Mwanza au Arusha Yanga au Simba inakuhusu nini? Huko uliko kwani hakuna timu, kwa nini usitoe sapoti yako kwa timu yako ya nyumbani uliko? Hata mnaelewa maana ya...
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania 2020/21 Simba atafungwa 5-1 na Yanga

    Kutokana na usajili unaofanyika kwenye timu zetu, Simba Kuna mechi itafungwa magoli 5-1 na Yanga msimu ujao. Moderator tafadhali utunze pazuri huu uzi kwaajili ya matumizi ya baadae. Vigezo nilivyotumia kufikia utabiri huu Ni kuwaangalia Kagere, Boko, Mkude, Kapombe, Nyoni, Wawa ambao Ni wazee...
  4. Rajab_Omar

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mashabiki wa Yanga ndiyo Wanaoogoza kulalamikia Simba kudhulumiwa na Mo Dewji?

    Nimegundua kuwa kila ninapokutia Malalamiko dhidi ya Mo Dewji basi Mlalamikaji ni Mashabiki wa Yanga na sio Simba! Je Yanga amekuwa na huruma kwa kumtetea Simba dhidi ya kile wanachodai ni Utapeli wa MO? Au wanachotaka MO aondoke ili sisi Simba tufanane na Wao kwenye kuomba? Mashabiki Utopolo...
  5. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Yanga wanahangaika sana kusema Mo hafai na kumpinga kuliko Simba wenyewe

    Nimeshangaa....kwa sasa Yanga ni kama wameongeza chuki kwa Mo Dewj. Wanamchukia sana. Mpaka kuhoji kama amekabidhi tsh Bilion 20 au bado. Wanafikiri B 20 unakabidhi tu kama unavyokabidhi tsh 50,000 kujitambulisha kwa demu wako. Simba hatuna waswas na Mo.tunaona anachofanya.tume relax na...
  6. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Yanga punguzeni ushamba, mnatia aibu bara letu

    Yanga wamemtambulisha CEO Kivuli Senzo aliyekuwa Simba SC. Katika utambulisho wameonyesha ujuzi wa bosi huyo pamoja na timu alizopitia. Yanga imefanya jambo la aibu kwa kuonyesha timu zote alizopitia isipokuwa Simba Sc timu ambayo alikuwa kabla ya kuajiriwa na Yanga. Hii inatia kinyaa,hakika...
  7. Sibonike

    JamiiForums Tanzania Wakisajili ni sawa, ikisajili Yanga eti inatakatisha fedha kupitia mpira

    Ndiyo maneno ya mwanasiasa mmoja shabiki wa Simba. Imasikitisha sana. Naona wameanza Kama waliyofanya kwa Manji baada ya Yanga kuanza kushusha vifaa vya maana. Mtulie hivyo hivyo. Hiyo ilikuwa trailer. Movie yenyewe bado.
  8. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Sisi Yanga ni kicheko tu: Chama, Chama, Chama Mwamba wa Lusaka. Simba wanalia tu...

    Ni muda sasa toka GSM mtuambie mnamsainisha huyu Mwamba Tupeni raha wenzenu. Tupeni utamu Malizeni issue yake leo hii Chama awe wetu. Hapo ndo patakapowauma Simba. Tumchukueni Chama kupoza maumivu ya Morrison na Larry Bwalya. Msihangaike sana Chama anatufaa na tumeshamwona mambo yake live ni...
  9. Shark

    JamiiForums Tanzania Yanga Mchukueni Hashim Mbaga Kulipa Kisasi

    Wakuu Kwema? Kwa sasa tuko kwenye usajili, ndio msimu wake huu. Simba walimsajili aliekua Mchezaji wa Yanga Bernad Morrison. Yanga "wakalipa" kwa kumchukua aliekua CEO wa Simba bwana Senzo Masingiza Mbatha. Sasa Simba wamechukua Mchezaji aliekua akiwaniwa na Yanga Mzambia Larry Bwalya. Ushauri...
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wana Yanga SC Wenzangu hivi ni mpaka lini Simba SC itaendelea 'Kutunyayasa' namna hii katika Usajili? Tuwafukuzeni upesi GSM na Msola watuachie Timu

    Nikiwa kama Mshabiki Mwandamizi kabisa wa Yanga SC 'nimekerwa' sana na aina ya 'Unyanyasaji' wa 'Kimafia' kabisa tunaofanyiwa na Timu bora si tu Tanzania bali Afrika ya Mashariki na Kati, Duniani hadi hadi Mbinguni ya Simba Sports Club halafu Sisi Wanayanga tunabaki 'Kunyamaza' tu pekee. Wiki...
  11. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Serikali mpo wapi Wananchi tunanyanyaswa bila sababu? Yanga tumewakosea nini sisi?

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Siku nyingine ya maumivu makubwa kwangu.mi mwaka huu ntakufa tu kwa presha. Mikia mmekuwa wahuni na wakatili sana. Sijapata ona watu wakatili kama nyinyi. Mmemchukua Morrison mmemchukua Bwalya.tumemtafuta sisi siku zote. Midfielder kisheti, mchezaji wa Chipolopolo. Sisi Yanga ndo...
  12. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Yanga tukatae Uhuni wa GSM huko mbeleni tutajuta

    GSM Waliokuwa Home Shopping Centre ni wahuni toka Serikali ya Kikwete. Hawa tunawafahamu walikuwa wakifanya uhuni kukwepa kodi, baadaye alipoingia Magufuli madarakani walijifanya wamefilisika na kubadili jina luwa GSM. Ni wahuni toka zamani na wezi wakubwa. Hawa wamekuja ichukua team yetu...
  13. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Naomba niwe wa Kwanza kumuomba Radhi aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC 'Mbeleshi' Luc Eymael kumbe 'alipowadhalilisha' Watu fulani hakukosea

    Kuanzia Leo GENTAMYCINE nitaanza kuwa makini sana hasa pale Mtu akiwa 'anamdhalilisha' au 'anamdhalilisha' fulani kwani badala ya Mimi kuanza kuona kuwa ana 'Makosa' huenda kumbe akawa yuko sahihi na pengine anastahili hata 'Pongezi' zangu. Kwa kilichotokea leo Karume Stadium huenda aliyekuwa...
  14. Shark

    JamiiForums Tanzania Yanga kukata Rufaa Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo (CAS) juu ya Bernard Morrison

  15. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

    Baada ya vikao nenda rudi kwa siku takribani 3 hatimaye TFF wamejitokeza na kusema kuwa wamefikia uamuzi baada ya vikao vizito Mchezaji raia wa Ghana, Bernard Morrison amepewa uhuru wa kujiunga na Simba Sc baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kusema kuwa Mkataba wake na Yanga Sc...
  16. H

    JamiiForums Tanzania Naona 99.9% Yanga anashinda dhidi ya Morrison

    Kwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili. BM Amejitia kitanzi mwenyewe Wakati BM alikuwa akihojiwa...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Kweli nimeamin Wanachama, mashabiki na wapenzi wa Timu ya Yanga linapokuja swala la Timu ya Yanga wote wanakuwa na akili sawa!!

    Bila kujali elimu zao, nafasi zao kama waziri', muhandisi, kamishna, mkurugenzi au mwandishi wa habari wote level yao ya uelewa inakuwa chini ya STD 7!! Imagine mwandishi eti anahoji mbona Morrison alikubali kwenye audio clip badala ya kuhoji Mkataba ni OG au Fake! Imagine mtu mwenye akili...
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Baada ya ukweli kuhusu sakata la Bernard Morrison 'Kuvuja', huenda Yanga SC 'ikanyang'anywa' alama zake na viongozi wake kufungwa na kukamatwa

    Taarifa nilizozipata kutoka katika Chanzo changu 'Nyeti' zinasema kwamba kilichogundulika juu ya Sakata zima la Mchezaji Bernard Morrison ni kwamba Klabu ya Yanga 'imedanganya' kuhusu 'Mkataba' wake na kwamba hata 'Sahihi' yake pia 'imefojiwa' kinyume na Sheria. Ukweli kamili wa hili upo njiani...
  19. kavulata

    JamiiForums Tanzania Senzo kuhamia Yanga ni hatari kuliko Morrison kuhamia Simba

    Kwa vyovyote vile Morrison ni mchezaji tu wa timu asiye na nidhamu na kazi yake, lakini Senzo ni taasisi. Senzo ana Mambo yote ya club ya Simba mabaya na mazuri kifuani mwake, ambayo sasa ni rasmi yanaweza kufika mikoni mwa mwajiri wake mpya. Wasiwasi yangu ni Yale mabaya (Kama yapo)...
  20. Shark

    JamiiForums Tanzania Katika timu ya Yanga kuna cheo cha CEO?

    Wakuu kwema? Niende kwenye mada, mfumo wa uendeshaji wa timu uko katika Katiba ya timu husika ambayo mostly probably hupitishwa na wanachama wa timu husika. Mtendaji mkuu wa Simba huteuliwa (appointed) na Board of Directors chini ya Mwenyekiti Mohammed Dewji wakati mtendaji mkuu wa Yanga...
Back
Top Bottom