Hatimaye Yanga yaporomoka mpaka nafasi ya 4

kinje ketile

JF-Expert Member
Dec 12, 2015
4,288
8,283
Baada ya kuvinjari kileleni Kwa masaa kadhaa kwenye ligi Ya VPL hatimaye Yanga yaporomoka tena mpaka nafasi ya 4, hii ni baada ya S.S.C kushinda 4G, hata hivyo pongezi kwake kocha mpya Zlatko krmpotic kwa kuwa Yanga Afrika haijawahi kugusa nafasi hiyo Kwa takribani miaka 2 nyuma.

Kongole Yanga
 
Baada ya kuvinjari kileleni Kwa masaa kadhaa kwenye ligi Ya VPL hatimaye Yanga yaporomoka tena mpaka nafasi ya 3...
Sio nafasi ya tatu, ni ya nne huko

1600626018885.png
 
Sio
Baada ya kuvinjari kileleni Kwa masaa kadhaa kwenye ligi Ya VPL hatimaye Yanga yaporomoka tena mpaka nafasi ya 3,....hii ni baada ya S.S.C kushinda 4G ,... hata hivyo pongezi kwake kocha mpya Zlatko krmpotic kwa kuwa Yanga Afrika haijawahi kugusa nafasi hiyo Kwa takribani miaka 2 nyuma. Kongole Yanga
Sio nafasi ya tatu ni hadi ya nne
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom