yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. MKATA KIU

    Tetesi: Jezi mpya za Yanga hazitatolewa mpaka stock ya jezi za zamani iuzwe yote

    Habari wadau Inasemekana gsm wamegoma kutoa jezi mpya mpaka za zamani ziishe..
  2. GENTAMYCINE

    'Injinia' Hersi Said wa Yanga SC na GSM yako ni lini utaacha 'Uwongo' wako na kupenda 'Kuwadanganya' mno wana Yanga?

    'Injinia' Hersi Said acha kudhani kuwa Watanzania hawafatilii mambo ya Michezo kama hao wana Yanga SC wako ambao kila mara unapenda 'Kuwadanganya' na sijui umewapa 'Sumu' gani ambayo aliyekuwa 'Mfadhili' wako Kipenzi kabisa Yusuph Mehboob Manji hakuwapa. Ulianza kuwaongopea wana Yanga SC kuhusu...
  3. beth

    Kocha mpya wa Yanga ni Zlatko Krmpotic

    RASMI: Kocha mpya wa klabu ya Yanga ni Zlatko Krmpotic, raia wa Serbia ambaye ameingia makubaliano ya mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo. Kocha huyo anatarajiwa kuwasili kesho jijini Dar es Salaam tayari kwa kushiriki kilele cha #WikiYaMwananchi
  4. Kipenzi Changu

    Mashabiki wa Yanga wadanganywa tena kama watoto

    Baada ya hizi habari Yanga imefuta post zoote zilizozungumzia usajili wa huyu jamaa
  5. GENTAMYCINE

    Kwa 'Mapungufu' haya ya 'Kimsingi' kati ya Makamu Mwenyekiti wa Yanga Mwakalebela na Mhamasishaji Nugaz bado tu tukisema Yanga kuna 'Shida' mtabisha?

    Akizungumza jana kupitia Kipindi cha Sports Extra cha Clouds FM Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Lugano Wilfred Mwakalebela alisema tena kwa 'Kujimwambafai' kabisa kuwa Wanachama na Mashabiki wa Yanga SC kama kawaida leo 'wajazane' na 'wajimwage' Uwanja wa Ndege wa Kimataifa ili Kumpokea...
  6. P

    Carlinhos, Kiungo fundi na bora kabisa kutoka Angola atua nchini kujiunga na Yanga

    Carlos Stenio Fernandes Guimares"Carlinhos", amewasili nchini Tanzania mchana wa Leo tayari kabisa kwa kuanza kuitumikia timu yake mpya ya Yanga Carlinhos ambaye anacheza nafasi ya Kiungo mshambuliaji, anasemekana atakuwa ni kiungo bora kabisa ambaye amewahi kucheza kwenye ardhi hii ya Tanzania...
  7. mbutamaseko

    Harmonize wimbo wa Yanga usingeimba singeli ungetoboa sana, hapa ni kama umecopy na kupaste tu

    Ifike wakati washauri wa wasanii hawa wawaze nje ya Box. Kwanza kutumika tu na Yanga ni kuiga walichafanya Mikia (Simba) lakini Kama haitoshi na nyimbo uliotunga ni umecopy Kama sio kubadili tu maneno. Huo wimbo wa Yanga ungeimba kwa mahadhi tofauti na singeli ungeenda mbali sana, Ila kwa...
  8. kavulata

    Alichokosea Dr. Msolla kuhusu mashabiki Yanga kuchangia usajili

    Dr. Msolla kwa nia njema kabisa alisema kuwa wadau wa Yanga wachangie fedha ya kusajili wachezaji 2 wa kigeni. Kwa kauli hii dk Msolla Amevuruga saikolojia ya wachezaji, amevuruga saikolojia ya Wana Yanga na amewapa nafasi upande wa pili kutibua vichwa vya wachezaji na mashabiki wa Yanga kuwa...
  9. Superbug

    Yanga inakufa Serikali iingilie kati kuiokoa

    Jamani Kama mjuavyo Simba na yanga ndio mihimili ya soka Tanzania. Mpira Tanzania ni maisha ni siasa ni uchumi usalama na amani. Bila yanga imara hata sisi Simba hatutakuwa na raha. Naitahasharisha serikali iingilie Kati kuiokoa yanga inaenda kufa kabisa itakuwa Kama mji mpwapwa tukuyu stars...
  10. Mkongwe Mzoefu

    Ushabiki wa siasa katika taasisi za soka: Wakati umewadia sasa kwa FIFA kushusha rungu lake kwa vilabu vya Yanga na Simba

    Wewe ni mwekezaji tuu, na unahisa sizizozidi 49% hivyo Simba haiwezi kuwa Mali yako completely na kufanya utakalo bila ridhaa ya wengine. Nani kakutuma umpigie kampeni Magufuli katika shughuli rasmi za club bila ridhaa ya wanachama? Club yetu haina itikadi ya kisiasa wala kidini hivyo ukome na...
  11. Dam55

    Yanga chazeni na Simba siku ya wananchi tutawapangia kikosi rafiki

    Ombi langu kwenu wananchi tukaribisheni siku ya mwananchi Kama kweli mna nia ya kupima team yenu kwa usajili mlio fanya. Tutawapangia kikosi rafiki Kama hiki. 1. Salim 2. kameta 3 Gadiel Michael 4. Ame 5. Kenedy 6. Mzamiru 7. Dilunga 8. Fraga 9. Ilamfya 10 Ndemla 11. Miraji Athuman...
  12. Barbarosa

    Simba na Yanga zilianzishwa na mzungu, klabu zetu tulizojenga ziko wapi?

    Leo hii nchi nzima ni aidha Yanga au Simba, hata watu ambao hawaishi Dar lakini ni washabiki wa Yanga au Simba kwanini? Wewe unaishi Mwanza au Arusha Yanga au Simba inakuhusu nini? Huko uliko kwani hakuna timu, kwa nini usitoe sapoti yako kwa timu yako ya nyumbani uliko? Hata mnaelewa maana ya...
  13. kavulata

    2020/21 Simba atafungwa 5-1 na Yanga

    Kutokana na usajili unaofanyika kwenye timu zetu, Simba Kuna mechi itafungwa magoli 5-1 na Yanga msimu ujao. Moderator tafadhali utunze pazuri huu uzi kwaajili ya matumizi ya baadae. Vigezo nilivyotumia kufikia utabiri huu Ni kuwaangalia Kagere, Boko, Mkude, Kapombe, Nyoni, Wawa ambao Ni wazee...
  14. Rajab_Omar

    Kwanini Mashabiki wa Yanga ndiyo Wanaoogoza kulalamikia Simba kudhulumiwa na Mo Dewji?

    Nimegundua kuwa kila ninapokutia Malalamiko dhidi ya Mo Dewji basi Mlalamikaji ni Mashabiki wa Yanga na sio Simba! Je Yanga amekuwa na huruma kwa kumtetea Simba dhidi ya kile wanachodai ni Utapeli wa MO? Au wanachotaka MO aondoke ili sisi Simba tufanane na Wao kwenye kuomba? Mashabiki Utopolo...
  15. Komeo Lachuma

    Yanga wanahangaika sana kusema Mo hafai na kumpinga kuliko Simba wenyewe

    Nimeshangaa....kwa sasa Yanga ni kama wameongeza chuki kwa Mo Dewj. Wanamchukia sana. Mpaka kuhoji kama amekabidhi tsh Bilion 20 au bado. Wanafikiri B 20 unakabidhi tu kama unavyokabidhi tsh 50,000 kujitambulisha kwa demu wako. Simba hatuna waswas na Mo.tunaona anachofanya.tume relax na...
  16. Kipenzi Changu

    Yanga punguzeni ushamba, mnatia aibu bara letu

    Yanga wamemtambulisha CEO Kivuli Senzo aliyekuwa Simba SC. Katika utambulisho wameonyesha ujuzi wa bosi huyo pamoja na timu alizopitia. Yanga imefanya jambo la aibu kwa kuonyesha timu zote alizopitia isipokuwa Simba Sc timu ambayo alikuwa kabla ya kuajiriwa na Yanga. Hii inatia kinyaa,hakika...
  17. Sibonike

    Wakisajili ni sawa, ikisajili Yanga eti inatakatisha fedha kupitia mpira

    Ndiyo maneno ya mwanasiasa mmoja shabiki wa Simba. Imasikitisha sana. Naona wameanza Kama waliyofanya kwa Manji baada ya Yanga kuanza kushusha vifaa vya maana. Mtulie hivyo hivyo. Hiyo ilikuwa trailer. Movie yenyewe bado.
  18. Chizi Maarifa

    Sisi Yanga ni kicheko tu: Chama, Chama, Chama Mwamba wa Lusaka. Simba wanalia tu...

    Ni muda sasa toka GSM mtuambie mnamsainisha huyu Mwamba Tupeni raha wenzenu. Tupeni utamu Malizeni issue yake leo hii Chama awe wetu. Hapo ndo patakapowauma Simba. Tumchukueni Chama kupoza maumivu ya Morrison na Larry Bwalya. Msihangaike sana Chama anatufaa na tumeshamwona mambo yake live ni...
  19. Shark

    Yanga Mchukueni Hashim Mbaga Kulipa Kisasi

    Wakuu Kwema? Kwa sasa tuko kwenye usajili, ndio msimu wake huu. Simba walimsajili aliekua Mchezaji wa Yanga Bernad Morrison. Yanga "wakalipa" kwa kumchukua aliekua CEO wa Simba bwana Senzo Masingiza Mbatha. Sasa Simba wamechukua Mchezaji aliekua akiwaniwa na Yanga Mzambia Larry Bwalya. Ushauri...
  20. GENTAMYCINE

    Wana Yanga SC Wenzangu hivi ni mpaka lini Simba SC itaendelea 'Kutunyayasa' namna hii katika Usajili? Tuwafukuzeni upesi GSM na Msola watuachie Timu

    Nikiwa kama Mshabiki Mwandamizi kabisa wa Yanga SC 'nimekerwa' sana na aina ya 'Unyanyasaji' wa 'Kimafia' kabisa tunaofanyiwa na Timu bora si tu Tanzania bali Afrika ya Mashariki na Kati, Duniani hadi hadi Mbinguni ya Simba Sports Club halafu Sisi Wanayanga tunabaki 'Kunyamaza' tu pekee. Wiki...
Back
Top Bottom