Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 6,458
- 11,893
Hakuna haja ya kumgombania Morrison mmoja...
Nachoamini vilabu vyetu vikubwa hapa nchini vinakosa scouting nzuri za kuibua vipaji maridhawa kutoka hapa hapa nchini.
Yanga bwanaa
Au kisa Ni ile pasi ya morisson kumpa chama na chama kumpasia mfungaji kwa kisigino.
Natamani kuona vilabu vyetu vikubwa hapa nchini vikijikita katika kuibua vipaji adhimu KUTOKA kwenye ardhi ya NYUMBANI.
Mungu IBARIK TANZANIA
Nachoamini vilabu vyetu vikubwa hapa nchini vinakosa scouting nzuri za kuibua vipaji maridhawa kutoka hapa hapa nchini.
Yanga bwanaa
Au kisa Ni ile pasi ya morisson kumpa chama na chama kumpasia mfungaji kwa kisigino.
Natamani kuona vilabu vyetu vikubwa hapa nchini vikijikita katika kuibua vipaji adhimu KUTOKA kwenye ardhi ya NYUMBANI.
Mungu IBARIK TANZANIA