Huwaga ana ni block kisha ana ni un block mwenyewe.
This time around naingia WhatsApp kuna jina nilikuwa na search herufi ya mwanzo ya jina lake inafanana na ya huyu mtu, so likaja jina lake na tazama naona " Hi there am using WhatsApp".
But kwenye profile still bado hakuna picha yake...
Hongera kwa Watumiaji wa iPad! Kuanzia Leo tarehe 27/05/2025, WhatsApp Inapatikana Rasmi Kwenye iPad Yako!
Kwa muda mrefu, ilikuwa ni ndoto tu. Watumiaji wa iPad wamekuwa wakitamani na kusubiri kwa hamu uwezekano wa kutumia WhatsApp moja kwa moja kwenye vifaa vyao vikubwa bila kutegemea simu au...
Poleni sana na hali ya ufisadi unaoendelea hapa nchini wakuu.
Niko katka hali ya kutransform kuachana na michepuko na nibaki njia salama.
Sasa bana toka mwanzoni mwa week hii nikaamua kuweka picha ya wife kama profile huko whatsapp.aisee nimeoga mvua ya matusi ya kila aina kutoka kwa baadhi ya...
Phishing Link ni Nini?
Hivi ushawahi kuona zile link zinakuja WhatsApp zinasema:
"Tazama nani anakupenda,"
"Bonyeza upate GB 50 za bure,"
au "Tazama nani anakuchukia kwenye group."
Zile link nyingi huwa mtego – zinaitwa phishing links.
Ni link zinazotengenezwa kuonekana kama halali, lakini...
Hii kitu imenishinda kabisa.
Kitu hunishangaza ni kuona mwanaume anaweka status, ile huduma imekaa kikike sana. Tena kwa mabinti wa seco labda na vyuo.
Wanawake imekuwa kama sehemu ya kupigana vijembe na hata midume nayo imeanza hizo pigo za kike.
Show off za kijinga jinga zimejaa kwenye...
Kwenye dunia ya leo ya kidigitali, WhatsApp siyo tena app ya kuwasiliana tu na marafiki — ni fursa ya biashara. Ukiitumia vizuri, unaweza kujenga audience kubwa ya watu wanaoaminika, wanaojali bidhaa/huduma zako, na ambao wako tayari kununua.
👇🏽 Hapa chini nitakuonesha hatua kwa hatua jinsi ya...
Je, unatumia kifaa cha Android?
Je, unatafuta mbadala wa WhatsApp baada ya kuitumia kwa muda mrefu?
Ndiyo, inawezekana, ukiwa na Kifaa cha Android iwe Simu, Tablet huna ulazima wa ku download App ya WhatsApp, unaweza kupata Features zote za WhatsApp ikiwemo kutuma Picha, Video, GIF, Poll...
Nadhani wengi mnakumbuka sakata la Niffer…
Majibu ya ChatGPT ni haya..
[Why are older people jealous of sucessful young people?]
===============
Wivu dhidi ya vijana waliofanikiwa unaweza kutokana na sababu mbalimbali za kisaikolojia na kijamii, ingawa si watu wote wazima wanahisi hivyo. Hapa...
Hii ni habari njema kwa wale wapenzi wa mtandao wa Whatsapp, kampuni ya Meta inayomiliki mtandao wa Whatsapp imesema Muda sio mrefu itaweza kuachiwa Feature mpya ya watu kuweza kuweka video ndefu kwenye status.
Feature hii imeshaanza kufanya kazi kwa baadhi ya watumiaji wa Whatsapp ambao...
Kampuni ya teknolojia ya Meta, inayomilikiwa na bilionea Mark Zuckerberg, huenda ikalazimika kuuza Instagram na WhatsApp kufuatia kesi ya ukiritimba (antitrust) inayosikilizwa nchini Marekani. Meta, ambayo pia inamiliki Facebook, ilinunua Instagram mwaka 2012 na WhatsApp mwaka 2014.
Serikali ya...
Mzuka!
Kama hutojali, turingishie kwa picha idadi kubwa ya status viewers unazopata/ulizowahi kupata.
Mimi binafsi ni 000 digits, sijawahi fika 0000. (Ila picha sina).
Mufti kuku The Infinity
BICHWA KOMWE -
Maghayo
#Uzi_Tayari
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nikwamba kama unatumia smartphone basi utakuwa na Watsapp application katika hiyo simu yako, basi na katika hiyo whatsapp ytako kuna akili mnemba (AI) iliyotengenezwa na Chat GPT ili iwe rahisi kwako kuuliza vitu na kujibiwa! Je unaipataje ni Rahisi sana...
UKIWA CHINI YA MIAKA 45 NI MARUFUKU KUNITAFUTA.
Hello mimi niko single, nahitaji mume, Miaka 45-75.....awe anajiweza kutunza na kuhudumia mke, familia. Dini yoyote, niko tayari kuwa hata mke wa 2, 3, 4.
#mwanakidigitali hii utaipenda …
WhatsApp wamefanya mabadiliko makubwa kwenye Ststus zake na sasa unaweza kuweka muziki wowote unaotaka unapo post picha kupitia WhatsApp status 📌
Ona hatujasalimiana hata 😆
Mambo ni vipi #mwanakidigitali …. Najua swaumu itakuwa kali poleni kwa mfungo kwa wewe...
Leo nikiwa natumia whatsapp nimekuta picha ya namba yangu ya Tigo kuna mtu mwengine kajipiga selfie
Naenda kuangalia usajili wa majina kwa njia ya kutuma pesa nakuta majina tofauti.
Hili jambo limenishangaza sana juu ya privacy ya namba zangu, kwa bahati nzuri haikuwa namba nayotumia sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.