whatsapp

  1. Komeo Lachuma

    Muendelezo wa msg za Whatsapp za G55 Kwa mwenzao aliyeshtukia Mchezo

  2. Faana

    Picha: Jinsi Whatsapp, Facebook zilivyobadili approach

  3. Heritage123

    Pata Status views wengi Katika Whatsapp Account Yako !

    Kwenye dunia ya leo ya kidigitali, WhatsApp siyo tena app ya kuwasiliana tu na marafiki — ni fursa ya biashara. Ukiitumia vizuri, unaweza kujenga audience kubwa ya watu wanaoaminika, wanaojali bidhaa/huduma zako, na ambao wako tayari kununua. 👇🏽 Hapa chini nitakuonesha hatua kwa hatua jinsi ya...
  4. Mr Why

    Ungana nami leo ujifunze kutumia RCS Chats, mbadala wa WhatsApp katika kifaa chako cha Android

    Je, unatumia kifaa cha Android? Je, unatafuta mbadala wa WhatsApp baada ya kuitumia kwa muda mrefu? Ndiyo, inawezekana, ukiwa na Kifaa cha Android iwe Simu, Tablet huna ulazima wa ku download App ya WhatsApp, unaweza kupata Features zote za WhatsApp ikiwemo kutuma Picha, Video, GIF, Poll...
  5. FRANCIS DA DON

    Wivu kwa vijana wadogo wanaofanikiwa haraka, haya ni majibu ya ‘ChatGPT’ juu ya hilo

    Nadhani wengi mnakumbuka sakata la Niffer… Majibu ya ChatGPT ni haya.. [Why are older people jealous of sucessful young people?] =============== Wivu dhidi ya vijana waliofanikiwa unaweza kutokana na sababu mbalimbali za kisaikolojia na kijamii, ingawa si watu wote wazima wanahisi hivyo. Hapa...
  6. Teknolojia ni Yetu sote

    Watumiaji wa Whatsapp watakua na uwezo wa kuweka video ya zaidi ya sekunde 90 kwenye Status

    Hii ni habari njema kwa wale wapenzi wa mtandao wa Whatsapp, kampuni ya Meta inayomiliki mtandao wa Whatsapp imesema Muda sio mrefu itaweza kuachiwa Feature mpya ya watu kuweza kuweka video ndefu kwenye status. Feature hii imeshaanza kufanya kazi kwa baadhi ya watumiaji wa Whatsapp ambao...
  7. KENZY

    Story na chatGPT la WhatsApp, ona lilivyonijibu..

    Hili roboti kuna muda linachekesha sana kwenye majibu yake!, binafsi nimelisave kama "Akili mnemba".
  8. Lady Whistledown

    Marekani: Meta Yaweza Kulazimika Kuuza Instagram na WhatsApp

    Kampuni ya teknolojia ya Meta, inayomilikiwa na bilionea Mark Zuckerberg, huenda ikalazimika kuuza Instagram na WhatsApp kufuatia kesi ya ukiritimba (antitrust) inayosikilizwa nchini Marekani. Meta, ambayo pia inamiliki Facebook, ilinunua Instagram mwaka 2012 na WhatsApp mwaka 2014. Serikali ya...
  9. M

    Screeshots thread: Idadi yako kubwa ya WhatsApp status views

    Mzuka! Kama hutojali, turingishie kwa picha idadi kubwa ya status viewers unazopata/ulizowahi kupata. Mimi binafsi ni 000 digits, sijawahi fika 0000. (Ila picha sina). Mufti kuku The Infinity BICHWA KOMWE - Maghayo #Uzi_Tayari
  10. KakaKiiza

    Je wajua? kama Whatsapp yako ina Chat GPT??

    Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nikwamba kama unatumia smartphone basi utakuwa na Watsapp application katika hiyo simu yako, basi na katika hiyo whatsapp ytako kuna akili mnemba (AI) iliyotengenezwa na Chat GPT ili iwe rahisi kwako kuuliza vitu na kujibiwa! Je unaipataje ni Rahisi sana...
  11. mrembomzuri

    Nahitaji mume kuanzia miaka 45

    UKIWA CHINI YA MIAKA 45 NI MARUFUKU KUNITAFUTA. Hello mimi niko single, nahitaji mume, Miaka 45-75.....awe anajiweza kutunza na kuhudumia mke, familia. Dini yoyote, niko tayari kuwa hata mke wa 2, 3, 4.
  12. Barakha John

    WhatsApp Imeiga tena kutoka Tiktok & Instagram : Hili Litakushangaza ….

    #mwanakidigitali hii utaipenda … WhatsApp wamefanya mabadiliko makubwa kwenye Ststus zake na sasa unaweza kuweka muziki wowote unaotaka unapo post picha kupitia WhatsApp status 📌 Ona hatujasalimiana hata 😆 Mambo ni vipi #mwanakidigitali …. Najua swaumu itakuwa kali poleni kwa mfungo kwa wewe...
  13. T

    Nawezaje kuweka Audio Status Whatsapp

    Msaada tafadhali mwenye kujua
  14. R

    Nimekuta namba yangu ya Tigo niliyotumia miezi mitatu iliyopita imebadilishwa usajili, whatsapp yangu imebadilishwa ?

    Leo nikiwa natumia whatsapp nimekuta picha ya namba yangu ya Tigo kuna mtu mwengine kajipiga selfie Naenda kuangalia usajili wa majina kwa njia ya kutuma pesa nakuta majina tofauti. Hili jambo limenishangaza sana juu ya privacy ya namba zangu, kwa bahati nzuri haikuwa namba nayotumia sana...
  15. Scars

    WhatsApp ipo down

  16. PamojaTz

    Vitabu kwa lugha ya Kiswahili vinapatikana. Nicheki kwa Whatsap

    Kutokana na uhitaji mkubwa wa vitabu kwa lugha ya kwetu, hatuna budi kuwaletea vitabu hivyo (Softcopy na Hardcopy). Njia ya kuhudumiwa ni kupitia WhatsApp 0737317870 pekee.
  17. T

    Unawezaje kumuondoa Admin aliyetengeneza Group la whatsapp,

    Wakuu kuna mtu amehack group langu la whatsapp la muhimu sana. Naombeni kufahamu inawezekanaje hii, mtu umemuamini na kumpa uadmin halafu unaamka unakuta "You're no longer an admin" wakati wewe ndiye whatsapp group creator. Naombeni kufahamishwa wajuzi wa mambo Teknolojia ni Yetu sote
  18. R

    Hakuna watu wananikera whatsapp kama hawa kina "Samahani naitwa fulani nilikuwa naomba urafiki

    Na siku hizi wamekuja tofauti, zamani unatumiwa ujumbe moja kwa moja, sikuhizi utatumiwa meseji habari yako, hellow, vipi, n.k. Unaweza kudhani ni mtu mnafahamiana labda huna namba yake, unamjibu kwa heshima ghafla unatumiwa meseji "Samahani naitwa fulani nilikuwa naomba urafiki naomba unisevu...
  19. Empty container for sale

    Umewahi kujiuliza ni familia ngapi zinakula na kunywa kwa kipato kinachopatika Facebook, instagram,whatsapp?

    To be honest Kwa sisi wafanya -biashara tunabidi kumshukuru Sana Mungu na kumuombea maisha marefu mmiliki wa hii mitandao ,Facebook, Instagram na WhatsApp. Familia zetu zinakula na kunywa kupitia hii mitandao Tunauza bidhaa za mamilion , tunanunua bidhaa n.k God bless you makizigibagi.
  20. Satirical Yet Awesome

    Hizi Settings za 'Status Privacy' za Whatsapp zinafanya kazi kweli?

    Habari 👋 Moja kwa moja kweny mada. Aisee, Leo nimeyakoroga, leo majira ya mchana kabla ya kuweka status kuna mtu nilim-hide kweny option settings za "status privacy", then nikapost, alaf nikazima data nikaendelea na shughuli zangu. Asaiv nimerudi home nimewasha data nakuta message kibao za...
Back
Top Bottom