whatsapp

  1. stakehigh

    Features gani zingekuepo WhatsApp ingekuwa imekidhi mahitaji yako makubwa?

  2. magabelab

    Kutumia akili unde kusikiliza redio na kutuma taarifa muhimu kwenda Whatsapp group.

    Lengo: Kupokea sauti kutoka redio ya FM, kuichuja matangazo, kubadilisha sauti iliyobaki kuwa maandishi, kufupisha maandishi, na kutuma taarifa muhimu kwenye kundi la WhatsApp. --- ### Sehemu ya 1: Vifaa na Mahitaji (Hardware and Software) #### Vifaa (Hardware): 1. Arduino Uno: Hiki ndicho...
  3. T

    INAUZWA Instagram account inauzwa

    Account ndogo ya Instagram inauzwa, Followers 5800, nicheki 0743546090 Call/text ama WhatsApp
  4. Drax001

    Kama ulishawahi kumuona mtu whatsapp muda wote yupo online hadi saa nane za usiku soma hii..

    ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT. ""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot"" 1. VIEW STATUS HERSELF THEN JUST NOW 🙄📱Ina uwezo wa kuview status hata ukiwa offline muda wowote. 2. TUMA NYIMBO KWA...
  5. Drax001

    Hizi ndio features 2000+ ambazo huzifahamu kwenye WhatsApp

    ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT. ""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot"" 1. VIEW STATUS HERSELF THEN JUST NOW 🙄📱Ina uwezo wa kuview status hata ukiwa offline muda wowote. 2. TUMA NYIMBO KWA...
  6. N

    Infobip brings voice calling to WhatsApp business users

    What you need to know: The feature allows businesses to receive and initiate voice calls globally, using WhatsApp’s native interface so customers never leave the app. Global cloud communications platform Infobip today announced the launch of WhatsApp Business Calling, a new feature that...
  7. youngkato

    Badilisha whatsapp yako kuwa duka

    WhatsApp imekuwa moja ya sehemu muhimu zaidi ya kuuza bidhaa na huduma zako moja kwa moja kwa mteja. Wengi wanaitumia kwa mawasiliano ya kawaida, lakini wachache wanaitumia kuuza kwa mkakati. Hapa chini tunajadili njia saba kuu na kuzichambua kwa kina uwezo wake, changamoto na mbinu za kuzitumia...
  8. JanguKamaJangu

    Polepole: Kiongozi wa Umma ukificha last seen ya WhatsApp, ukiwa ‘online’ hauonekani huo ni uhuni

    Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole aliwahi kutoa kauli kali kuhusu tabia ya baadhi ya viongozi wa umma kujificha kwenye mitandao ya kijamii, hususan WhatsApp. Akizungumzia suala hilo, Polepole alisema “Wewe ni kiongozi wa umma, lakini simu yako kwenye WhatsApp ukiwa umetumiwa...
  9. S

    MSAADA OPPO A83 HAISUPPORT WHATSAPP NA YOUTUBE

    HABARI WADAU, Kichwa kinajieleza, nimejaribu kutafiti nikabaini Google inc ambao ndio wamiliki wa Android wameblock whatsapp na Youtube kwenye Android 7 kushuka chini, japokuwa whatsapp wenyewe hawana tatizo na device zenye matoleo hayo. sasa kama kuna maujanja ya kufanya naomba kuelekezwa...
  10. M

    Whatsapp API

    WhatsApp API ni Application Programming Interface ya WhatsApp, ambayo inayotumika kuunganisha WhatsApp na mifumo mingine ya biashara, kama vile chatbot, CRM (Customer Relationship Management Mfano wa whatsapp chatbot ya booking hostel Kwa vyuo vya Dar es salaam link👇🏾...
  11. Mtu Alie Nyikani

    Bila shaka hizi social media zimefungwa Tanzania? (Facebook, Whatsapp & Instagram), au lah!! Basi ni tatizo la kiufundi

    WanaJF habari za wakati? Nimeamka Leo tangu asubuhi kwa ajili ya harakati za hapa na pale , ghafura nashangaa Simu yangu inakua nzito kwenye upande wa mtandao, Whatsapp nikituma message haziendi, Facebook same to Instagram hili jambo limenishangaza sana mpaka nimejiuliza labda bando limeisha...
  12. Lavit

    Hii shida ya WhatsApp status kujimix ni kote au?

    Wakuu natumia Ios, ila kuna kitu strange huwa kinatokea nikiwa na naview status za watu. Kinachotokea ni kwamba mtu A akiweka status basi inaweza appear kwa watu wengine pia, nao wanaonekana wamepost status hiyo hiyo! Nimejaribu kuupdate whatsapp ila shida iko pale pale, sasa swali langu ni...
  13. Right Marker

    Makundi yote ya WhatsApp Tanzania yamegeuka kuwa makundi ya ushabiki wa Simba & Yanga

    Makundi yote ya WhatsApp Tanzania yamegeuka kuwa makundi ya ushabiki wa SIMBA & YANGA. Hatukatai kwamba mpira ni burudani kubwa sana hapa nchini, lakini sasa imekuwa kero kwenye makundi ambayo hayakuanzishwa kwa ajili hiyo. Unakuta kundi linaanzishwa mahususi kwa ajili ya kupeana matukio na...
  14. marklondon101010

    Elon Musk has just unveiled XChat, a what app alternative

    Elon Musk has just unveiled XChat, a revolutionary new platform that is set to redefine private communication. With a strong focus on security and user privacy, XChat offers a suite of features that will elevate the messaging experience. It boasts end-to-end encryption, ensuring that all your...
  15. Isenye

    Tumeachana lkn kila ninachokiweka kwenye status yangu whatsapp lazima anihoji.

    Habari zenu Kuna mwanamke tumezaa watoto watatu, baada ta kuona chemistry haziendani tukaamua kuachana.sasa mwenzangu kila status ninayoweka whatsapp lazima anihoji ni nani na inahusiana na nini? Nifanyaje hapa wadau?
  16. B

    Alini block ila now naona kwenye whatsapp yake " Hi there am using WhatsApp " Hii ina maanisha nii wataalamu? Kwamba ame ni unblock? Au?

    Huwaga ana ni block kisha ana ni un block mwenyewe. This time around naingia WhatsApp kuna jina nilikuwa na search herufi ya mwanzo ya jina lake inafanana na ya huyu mtu, so likaja jina lake na tazama naona " Hi there am using WhatsApp". But kwenye profile still bado hakuna picha yake...
  17. Mfitinishaji

    Hatimae WhatsApp kupatikana kwenye iPad

    Hongera kwa Watumiaji wa iPad! Kuanzia Leo tarehe 27/05/2025, WhatsApp Inapatikana Rasmi Kwenye iPad Yako! Kwa muda mrefu, ilikuwa ni ndoto tu. Watumiaji wa iPad wamekuwa wakitamani na kusubiri kwa hamu uwezekano wa kutumia WhatsApp moja kwa moja kwenye vifaa vyao vikubwa bila kutegemea simu au...
  18. tang'ana

    Nimeweka picha ya wife kama profile picture huko whatsapp, nimeoga mvua ya matusi kutoka kwa michepuko yangu

    Poleni sana na hali ya ufisadi unaoendelea hapa nchini wakuu. Niko katka hali ya kutransform kuachana na michepuko na nibaki njia salama. Sasa bana toka mwanzoni mwa week hii nikaamua kuweka picha ya wife kama profile huko whatsapp.aisee nimeoga mvua ya matusi ya kila aina kutoka kwa baadhi ya...
  19. black-tz

    Phishing Link ni Nini? Hivi ushawahi kuona zile link zinakuja WhatsApp zinasema: "Tazama nani anakupenda," "Bonyeza upate GB 50 za bure," au "Tazama

    Phishing Link ni Nini? Hivi ushawahi kuona zile link zinakuja WhatsApp zinasema: "Tazama nani anakupenda," "Bonyeza upate GB 50 za bure," au "Tazama nani anakuchukia kwenye group." Zile link nyingi huwa mtego – zinaitwa phishing links. Ni link zinazotengenezwa kuonekana kama halali, lakini...
  20. X

    Hivi wenzetu mnaoweka status WhatsApp mnafaidika nini? Mna utoto mwingi sana

    Hii kitu imenishinda kabisa. Kitu hunishangaza ni kuona mwanaume anaweka status, ile huduma imekaa kikike sana. Tena kwa mabinti wa seco labda na vyuo. Wanawake imekuwa kama sehemu ya kupigana vijembe na hata midume nayo imeanza hizo pigo za kike. Show off za kijinga jinga zimejaa kwenye...
Back
Top Bottom