Physical access ya simu yake ni n
Hii njia safi sana na wala hawatumii nguvuTafuta mrembo mzuri mpe hyo kazi mbinu za kifilist hzo hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Nzuri hii, ila itafanya kazi tu kama admin ni dumeTafuta mrembo mzuri mpe hyo kazi mbinu za kifilist hzo hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Inawezekana kwa kutumia binary code japo sio rahisi maana lazima humtumie ujumbe admin aufungue kama link ndo utaweza kumuondoa ila Whatsapp inaweza kufuta akaunti yako uko ripotiwaSalam.
Kuna jamaa ni mmoja kati ya maadmin wa4, sasa amewaondoa uadmin wenzake na kubaki yeye. Anafanya mambo ya hovyo.
Kuna njia gani ya kufanya ili Kumpoka U-Admin?
Note: Kutengeneza group lingine sio option.
Sifa ya ziadaTafuta mrembo mzuri mpe hyo kazi mbinu za kifilist hzo hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Ewaah hayo ndo mambo sasaSifa ya ziada
Huyu mrembo anatakiwa kuwa na tabia za kimalaya malaya.
Sexual based violencehii iliwahi kutokea miaka ya nyuma nikateka group,
ilikuwa hivi mimi wala sikuwa admin sema kuna docs zilikiwa zitumwe kwenye group ila zinagoma sababu kulikuwa kuna watu hawaja update Whatsapp zao. hii ni 2014
watu wanaambiwa wa update ila ila tu watu kadhaa bado hawaja update, nikajitolea ku remove watu wote ambao hawataki ku update Whatsapp zao ili docs zitumwe halafu ntawarudisha bas nikapewa u admin nikafanya ivo.
Zikapita siku kadhaa, nikatongoza demu kwenye inbox mambo hayakuenda sawa halafu yeye akaja kwenye group akatishia kutuma screenshot, nilochokifanya nika wavua uadimin maadmin wote halafu nikam remove huyo dem. halafu mimi ndo nikatishia kufuta group