Ndiyo nyie mnajifanyaga watu wazima 😀Mine 0% 😁
TushajizeekeaNdiyo nyie mnajifanyaga watu wazima 😀
Educated.. elite.. kisa hamuwekagi status
I like when people do what makes them happy, mimi sio mpenzi wa kuupdate social status zangu ila napenda sana kucheki baadhi ya contacts zangu hasa meme lords na watu wangu wa karibu/ ndugu kwaajili ya kupata taarifa muhimu kama misiba/harusi n.k.Nawapenda sana wapost memes… me kama
Mtu haweki memes au bible verses ajue sifunguagi status yake 😀
Mpaka nikupost birthday status… aloooo wee jipige kifua mara 3. Maana ntakuwa nakupenda sanaa 💕
I like when people do what makes them happy, mimi sio mpenzi wa kuupdate social status zangu ila napenda sana kucheki baadhi ya contacts zangu hasa meme lords na watu wangu wa karibu/ ndugu kwaajili ya kupata taarifa muhimu kama misiba/harusi n.k.
Sahihi mkuu..ila nimegundua pia unaweza kuishi vizuri bila hata kutumia whatsapp. Nliwahi pata changamoto moja ikanifanya niwe nje ya whatsapp for a while,,nikazoea ile hali...nilivyo rejea nkakosa kabisa mzuka na whatsapp.Status ukiwa mjinga mjinga unaweza kuexpose maisha yako..... ama mfano ..sijui umejenga, umepata kazi, cheo, n .k !
Pia ni sehemu ya mtu kusoma/kujua ufahamu wako kirahisi kulingana na yale unayoweka !
Kupitia hizo scenario 2 .. mm nimeshaacha kabisa kupost ....kuna watu hata Status zao sifungui kwa sababu najua maudhui nitakayokutana nayo....
Miezi michache tu iliopita ndio nimegundua kuwa status sio ile DP kwenye whatsapp yangu.Ndiyo nyie mnajifanyaga watu wazima 😀
Educated.. elite.. kisa hamuwekagi status
Unawaza engine za magari muda woteMiezi michache tu iliopita ndio nimegundua kuwa status sio ile DP kwenye whatsapp yangu.
Huu nao ni uzi???Hivi ndivyo ilivyo Whatsapp status yangu kimaudhui
Dini (Mahubiri, nyimbo, Aya za biblia n.k)-50%
Mpira-20%
Matukio(ndoa, birthdays, misiba n.k)-20%
Fursa za uchumi,biashara-5%
Memes, Quotes-5%