Msaada wa kurudisha account yangu ya Whatsapp

Msaada wa kurudisha account yangu ya Whatsapp

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
11,180
Reaction score
22,172
Ndugu wadau Nimeipata changamoto baada ya account yangu ya Whatsapp kuwa banned. Ni takribani week 1 sasa.
Nimekuwa nikipenda hizi unofficial apps kama Gb Whatsapp, ila walinionya ya kuwa huwa zina kuwa zinafanya uwe banned

Sasa wadau kimeniramba tangu juzi account yangu imekuwa ikiniletea message hiyo? Japo kuwa tayari Nimeisha install official app ila bado inaniambia ni download official app.

Screenshot_20260708_115334.jpg


Hii ni kwa sababu account yangu iko banned, Je kuna hack yoyote ya kuweza kufuta hiyo ban? Nimejaribu kuwasiliana nao wakaniambia ni download official app ila sioni matokeo.

Masada ndugu zangu maana account hii ndo inanisaidia kwenye mishe zangu.
 
Tafuta simu ambayo ipo logged in tayari nenda kwenye account halafu add account (ingiza hiyo namba yako) halafu remove account nyengine.

Au njia rahisi nenda Android>Data>Whatsapp>database the futa zile backup folder zote then futa hiyo WhatsApp pakua nyengine
 
Tafuta simu ambayo ipo logged in tayari nenda kwenye account halafu add account (ingiza hiyo namba yako) halafu remove account nyengine.

Au njia rahisi nenda Android>Data>Whatsapp>database the futa zile backup folder zote then futa hiyo WhatsApp pakua nyengine
Ngoja ni jaribu nitaleta mrejeshoo
 
Tafuta simu ambayo ipo logged in tayari nenda kwenye account halafu add account (ingiza hiyo namba yako) halafu remove account nyengine.

Au njia rahisi nenda Android>Data>Whatsapp>database the futa zile backup folder zote then futa hiyo WhatsApp pakua nyengine
Nimejaribu step 2 ila bado inaleta message ile ile
 
Mkuu futa kabisa wasap ndo ufanye Ivo halafu rudia hio process....
Usipofanya Ivo ukirun WhatsApp inaload zilezile cache za mwanzo
Daah mkuu hii itakuwa ban kwenye account kabisa sio hizo cache nimejaribu mno. Mpka nika download recent app ila wapi.
 
Nimefanya hivyo ila sio kwamba nilikua hacked nikipigwa ban kwasababu ya kutumia unofficial apps
Niliifungiwa miaka kadhaa iliyopota nikawaandikia kuwa nilikua hacked account yangu wakaniludishia...

Nilikua natumia FM Whatsapp
 
Niliifungiwa miaka kadhaa iliyopota nikawaandikia kuwa nilikua hacked account yangu wakaniludishia...

Nilikua natumia FM Whatsapp
Wewe unachelewa kuchanganya hivi ukipigwa ban hapa if huwa unakata rufaa au unasubiri ban iishe?
 
Kilichopigwa ban ni namba yako,hakuna jinsi ila ni lazima wao ndio wakutolee hiyo ban,

Wasiliana nao kisha wataifungua na kukufuatilia kama unaitumia kwenye App yao original,

Sometimes huchukua muda mpaka wakufungulie.
 
Back
Top Bottom