#1. adriz
Anasali kila siku, anatoa Sadaka, anaimba kwaya, ana maisha ya juu (Tajiri) husoma neno Kanisani, ana maringo (majipu), dharau anazimiliki yeye, mpenda majungu, Mfitini tukuka na anaaminika na wasiomjua.
#2. GENTAMIYCINE
Ana mwaka wa 11 sasa hata Mlango wa Kanisa Katolilki haujui...