watoto

Watoto Church, formerly Kampala Pentecostal Church (KPC) is an English-speaking cell-based community church located around East Africa and headquartered in Kampala, Uganda. The vision of the church is "an English speaking cell-based community church, celebrating Christ, growing and multiplying as each one reaches one, touching those around us with the love of Jesus, bringing healing to the cities and the nations." Watoto means "the children" in Swahili.

View More On Wikipedia.org
  1. Trubarg

    Nini kinafanya watoto kupenda kung'ata nyonyo ya Mama?

    Nauliza kutokana na experience niliyiipata kwa mtoto wangu. Mwanzoni alipokuwa mdogo (Chini ya 2yrs) alikua Hana hiyo Tabia..but alipofika 2yr ndo akaanzisha hiyo Tabia. Ilifikia wakati Hadi anagombana na mama yake na kuamua kuachackumnyonyesha. Nini chanzo Cha hii kitu wadau.
  2. Emar

    Wazazi tunafeli sana kulea watoto

    Habari wakuu, Bila kupoteza mda hebu nijikite kwenye mada Jamii yetu imezungukwa na utamaduni tofauti katika kukuza na kulea watoto, wapo wanaoamini kuwa hatupaswi kuiga tamaduni za kimagharibi za kuwapa uhuru watoto badala yake wanawafunza watoto katika kufanya kazi za nguvu na kuwa na...
  3. Money Penny

    Hizi ndoa hizi! Money Penny washauri vijana wasikimbilie kabisa...

    Bado naendelea kurekodi VIPINDI vyangu vya YouTube, ndio maana skuhizi siandiki Uzi Sana huku hata HADITHI kwenye website nimesimama Kwanza, YouTube unachukua muda wangu mwiingi nikitoka hapo chokest ! naenda ku-du na mume alafu kushakucha narudi studio tena. Anyway wiki hii nilikuwa na wageni...
  4. Miss Zomboko

    Madagascar: Waziri wa Elimu atimuliwa baada ya kununua pipi za Tsh. Trilioni zaidi 4 ili kuwasaidia watoto kunywa mitishamba ya #Corona

    Waziri wa elimu nchini Madagascar amefukuzwa kazi kwa sababu ya mipango yake ya kuagiza peremende au pipi zenye thamani ya zaidi ya dola milioni 2 sawa na (£1.6m) kwa watoto wa shule. Rijasoa Andriamanana amesema wanafunzi watapewa pipi tatu kila mmoja watakazokula baada ya kunywa dawa ya...
  5. sabuwanka

    Changamoto za watoto wa nje ya ndoa

    Wanajukwaa wasalaam, mkitaka kujua khali yangu Mimi ni bukheri wa afya, namshukuru Mola wetu kutuzidishia urijali kwa ustawi wa familia zetu Leo napenda niulize hasa kwa wanaume wenzangu wenye watoto nje ya ndoa, ni Changamoto gani mnazopotia, na mnazitatua vipi, na je watoto hao wana namna ya...
  6. Afrika Yote

    FAMM (AMTL) Co. walivyopeleka msaada wa kujikinga na Corona kwa Watoto wa Huruma

    Habari za mida huu, mapambano ha Corona yanaendeleaje huko? Narudi kwenye point ya msingi hapa, nimekuja kugundua kuwa watu wengi wenye uwezo kidogo wa kujipatia mahitaji ya kila siku basi kwa namna moja au nyingine ni rahisi sana kusahau kwamba kuna watu wenye uhitaji wapo sehemu hivyo huwa na...
  7. Sema Tanzania

    Malezi - Sheria ya Mtoto inasemaje kuhusu picha za watoto mitandaoni?

    Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009 inatamka wazi kwamba 'Mtu hatachapisha, kutengeneza, kuonyesha au kuagiza kuchapishwa, kuendeshwa au kuonyeshwa picha au taswira ya mtoto au mtoto aliyefariki, inayoonyesha ukatili au katika pozi za ngono.' Ama kwa kujua au bila kujua, jamii hukiuka sheria hii...
  8. Chaliifrancisco

    Wanawake jifunzeni Uzazi wa Mpango halafu kuweni Wastaarabu

    Wakuu hata salamu sitaki maana nina moto mbayaa. Leo nilikua na kidate na manzi mmoja mtoto wa mashavuni nimemind flag long time kinyama ila ndio akawa anambwelesha kidizaini sema chalii ya bakta nikakaza niaje basi juzi kati tukapanga kuwa leo ndio tutakutana fasi za niaje tuendelee kuyajenga...
  9. Trubarg

    KDF wamuua gaidi wa al-Shabab na wanawe wawili

    Katika Hali isiyokuwa ya kawaida wanajeshi wa Kenya KDF wamewaua watoto wawili wanaokuwa wanaishi na baba yao ambaye anashukiwa kuwa Ni gaidi wa ALSHABAB. Hali hiyo ilitokea wakati polisi walipofika katika makazi ya gaidi Huyo ambaye aliwatumia watoto hao kuwaokoa watoto hao Kama ngao ya kuzuia...
  10. Trubarg

    Al-Shabaab suspect who used his 2 children as human shield killed in dawn attack

    Katika Hali isiyokuwa ya kawaida wanajeshi wa Kenya KDF wamewaua watoto wawili wanaokuwa WAMESHIKILIWA Kama hostages na ALSHABAB. Hali hiyo ilitokea walipokuwa wanafanya jitohada za kuwaokoa watoto hao. Wanamgambo wawili pia waliuawa. ----- Police officers killed a suspected al-Shabaab...
  11. Geza Ulole

    Baba ataka DNA test baada ya watoto kutaka kumuua kwa kugombania mali yake

    ====== Mzee Jackson Kibor now wants his six sons subjected to DNA test Controversial Eldoret tycoon Mzee Jackson Kibor has vowed to have DNA tests conducted on his six sons to ascertain if he is their biological father before they can inherit his property. According to Mr Kibor, he did not...
  12. Roving Journalist

    HakiElimu: Uzinduzi wa ripoti za makuzi, ulinzi na elimu bora ya awali inayowaandaa vyema watoto kujiunga na elimu ya msingi

    Ripoti hizo mbili zinazozinduliwa ni: Intergration of Child Protection into Early Childhood Development (Namna Bora ya Kujumuisha Dhana ya Ulinzi wa Mtoto Katika Elimu ya Awali) Assessment of Learning and Teaching Environment for Pre-primary Education in Tanzania, 2019 (Mazingira ya Kujifunza...
  13. Mtini

    Wangapi mlipitia huku? Tulipokuwa watoto tuliharibu sana miundo mbinu ya TTCL

    Nakumbuka wakati nakua tulikuwa tunatengeneza magari ya waya za tairi na waya zile zenye rangi rangi za TTCl. Kipindi hicho tulikuwa tunazunguka mitaa ya wazito maarufu kama uzunguni ambako ndio kulikuwa na watumiaji wengi wa simu za mezani kipindi hicho, basi tunatafuta zile njia zilizopita...
  14. Kizinga mpemba

    Mtoto wa miezi 2 analia mpaka napata wasiwasi na maziwa hataki kunyonya na nipo mbali na hospitali tatizo linaweza kuwa ni kwa wenye udhoefu wa watoto

    Msaada wa haraka mtoto wa miezi 2 analia mpaka napata wasiwasi tatizo linaweza kuwa nini mbaya zaidi maziwa hataki kunyonya. Kuwa ni kwa wenye udhoefu wa watoto
  15. Mkogoti

    Bolivia: Watoto watatu walazwa baada ya kung'atwa na buibui, wadai walitamani kuwa "Spider Man"

    #UNAAMBIWA Watoto watatu wa Familia moja nchini Bolivia Miaka (8 ,10 na 12) wamelazwa Hospital Baada ya kuruhusu Buibui mweusi awang' ate kwa makusudi kwa kuamini kuwa watageuka Spider -man>> wamevimba, wanajutia sana, tujifunze kuwaelimisha watoto ili watofautishe movie na maisha halisi" Ni...
  16. Faru dume

    Tulivyowaza tukiwa watoto

    Poleni wananzengo, Si vibaya kukumbuka nyakati zilizopita pindi tukiwa watoto wadogo ukiachana na maswali ya kidadisi kama vile "Eti mama mimi nimetoka wapi?" Je ulishawahi kuwaza nini kipindi cha utoto wako ukaja gundua sio kweli ulivyokuwa ukihisi? Mfano mimi nilijua watu wazima hawaendi...
  17. C

    Je, shule zikifunguliwa, wazazi tunasomesha watoto private tutalipa ada ya mwaka mzima?

    JF Baada ya mwanga kuanza kuonekana kwamba muda si mrefu shule zote zitafunguliwa hapa nchini kwa vyuo na kidato cha sita kutangulia ili kupima upepo Wamiliki wa shule binafsi hawako nyuma, tayari leo wameanza kutuma meseji kwa wazazi wakihamasisha tulipe ada huku wakitoa onyo kali kwa...
  18. Mzukulu

    Kwanini Watu wazima wengi huwa Wakijamba ' Accidentally ' mbele ya Watoto Wadogo waliowazunguka hupenda Kuwasingizia Wao?

    Kwani kwa Mtu mzima kama ikitokea amejamba kwa bahati mbaya au hata nzuri vile vile mbele ya Watoto akikiri tu au akisema kuwa Mjambaji ni Yeye na asitafutwe Mwingine kuna Kosa lolote au ni Dhambi mpaka wengi Wao hupenda sana Kuwasingizia Watoto ambao Kiuhalisia hawajajamba? Naamini Mjadala huu...
  19. Miss Zomboko

    Bunge lapitisha sheria ya afya ya mimea. Faini ya milioni 500 kutolewa kwa watakaoikiuka

    SHERIA ya Afya ya Mimea 2020 imepitishwa pamoja na mambo mengine imetoa adhabu kwa Bodi ya Shirika itakalovunja sheria hiyo kupigwa faini isiyopungua Sh milioni 10 na isiyozidi Sh milioni 500. Vile vile kwa mtu atakayevunja sheria hiyo atatozwa faini isiyopungua Sh 50,000 na isiyozidi sh...
  20. M

    Mheshimiwa Rais, kabla ya watoto kurudi shule, wewe toka kwanza nyumbani kwako Chato rudi ofisini Ikulu

    Kwa mujibu wa sheria za nchi ofisi rasmi ya raisi ni Ikulu, Ikulu zozote zilizo ndani ya nchi na wala siyo nyumbani kwake. Kwa sasa zaidi ya siku 50 Rais anafanyia kazi za nchi ndani ya nyumba yake huko Chato, sijajua yale mafaili confidential ya nchi anayaweka sebuleni kwake au dining room...
Back
Top Bottom