watoto

Watoto Church, formerly Kampala Pentecostal Church (KPC) is an English-speaking cell-based community church located around East Africa and headquartered in Kampala, Uganda. The vision of the church is "an English speaking cell-based community church, celebrating Christ, growing and multiplying as each one reaches one, touching those around us with the love of Jesus, bringing healing to the cities and the nations." Watoto means "the children" in Swahili.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima

    Historia ya Benjamin Mkapa MFULULIZO WA MATUKIO MBALIMBALI YALIYOTOKEA WAKATI WA MSIBA NA MAZISHI YA HAYATI MZEE BENJAMINI WILLIAM MKAPA WANANCHI WASIMAMA BARABARANI KUAGA MWILI WA RAIS MKAPA Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, wameonekana wakisimama barabara kuonyesha heshima kwa...
  2. Pdidy

    Jifunzeni kusali na watoto wenu asubuhi kabla ya kwenda shule

    Familia nyingi zinateseka na watoto sababu ya kuachia kila kitu mabinti wa kazi Wako leo hii waliojisahauu na sasa mabinti wakazi wamekuja sec wife na hawana nguvu ya kuwaondoa anaelipa mume kumbe ni kwa ujinga wako mwenyewe Turudi kwenye màda kifupi ningeombà mjitahidi watoto wenu kabla ya...
  3. A

    Majina ya watoto (Vikembe) wa wanyama/viumbe

    Kuna ripoti fulani nilikuwa nasoma nikakutana na neno "vifaranga" ikimaanisha samaki wachanga. Ni sawa samaki wachanga kuitwa vifaranga? Majina mengine ya watoto (vikembe) wa wanyama mbalimbali ni kama ifuatavyo: Ng'ombe......Ndama Nzige...kimatu/maige/tunutu/matumatu/funutu Ndege....Kinda...
  4. Analogia Malenga

    UNICEF yasema watoto milioni 40 Duniani wameshindwa kusoma chekechea kutokana na Corona

    Mkanganyiko wa elimu uliosababishwa na janga la COVID-19 unawazuia watoto kuanza kupata elimu yao wanayostahili ilisema taarifa ya UNICEF Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto-UNICEF lilisema Jumanne kwamba kufungwa kwa majengo ya elimu kutokana na janga la COVID-19...
  5. Chizi Maarifa

    Kama kuna Wanawake wakali wanataka watoto hawajapata

    Wadau nimeona nijiajiri.kazi zimekuwa ngumu sana. Nikaangalia haya maisha na changamoto zake kuzigeuza kuwa fursa. Nmepata wazo, kuna watu huwa mpaka wanaenda nje ya nchi kutaka pandikiza mimba.mimi naona hiyo ni gharama. Nitakuwa tayari kuwapa mimba wanawake ambao wana uhitaji.bei...
  6. Sema Tanzania

    Malezi - Sababu nne kwa nini watoto wanahitaji malezi ya baba pia

    Ripoti ya idadi ya watu ya mwaka 2000 huko nchini Brazil ilionyesha kwamba familia milioni 11.2 kati ya familia milioni 44.7 zinaongozwa na wanawake. Nchini Nikaragua 25% ya watoto huishi na mama zao pekee. Mnamo mwaka 1990 huko nchini Kosta Rika takwimu zilionyesha kwamba idadi ya watoto...
  7. J

    Membe: Kikwete siyo kaka yangu

    Amesema wakati akichukua fomu hapo Dodoma. Amesema asingeficha kama angezaliwa baba mmoja yeye na Jakaya! Chanzo: Michuzi
  8. Miss Zomboko

    Wazazi 35 kutoka Tunduru wamekatwa baada ya kukutwa wakiwafundisha watoto chini ya miaka 8 mbinu za kufanya tendo la ngono

    JUMLA ya wazazi 35 kutoka kata ya Nalasi wilayani Tunduru wamekatwa baada ya kukutwa wakiwafundisha watoto wa kike walio chini ya umri wa miaka 8 mbinu za kuishi na wanaume na kufanya tendo la ngono maarufu kama msondo. Mkuu wa wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro ambaye ni Mwenyekiti wa kamati...
  9. sky soldier

    Watoto wa matajiri wengi ni wapweke. Ni rahisi kuwa nao kama Marafii/Wapenzi

    Muhimu: Nimesema wengi sio wote Ni kutokana na maisha waliyoyaishi Akitoka shuleni, nyumbani hakuna kutoka (geti kali), ni kiangalia katuni na kufanya homework Shule zao darasani unakuta watu 20 tu, hapo sana sana anaweza kuwa na mabesti wawili tu. Na mambo mengine kadha na kadha. Hiki kitu...
  10. GENTAMYCINE

    Mimba za Utotoni kwa Watoto wa Kike Mkoani Ruvuma ni kama vile Israeli na Roho ya Binadamu!

    Jumla ya wazazi 35 wakazi wa Kata ya Nalasi katika Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, wamekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuwafungia watoto wa kike chini ya miaka minane huku wakiwafundisha mbinu za kuishi na wanaume maarufu kama “Msondo” mila ambayo imekuwa ndiyo chanzo kikubwa cha mimba za...
  11. Sky Eclat

    Wazazi wanajitoa sana kuhajikisha watoto wanapata mahitaji yao ya kila siku

    Ninakumbuka miaka ya 1980 enzi zile Afrika ya Kusini siasa za ubaguzi wa rangi zimetamalaki. Nchi nyingi zilijitenga na Afrika ya Kusini, passport ya Tanzania iliandikwa kabisa hairuhusu mmiliki kuingia nchi hiyo Jirani yetu Baba yao alifanikiwa kupata kazi Afrika ya Kusini kwenye migodi ya...
  12. Analogia Malenga

    Kibaha Pwani: Kijana aua watoto wawili, naye auawa

    Watoto wawili wa familia moja wameuawa kikatili katika Kitongoji cha Kwazoka wilayani Kibaha mkoani Pwani, baada ya kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Yasin Abdala kuvamia nyumbani kwao na kisha kuwakata kwa panga. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa amesema kuwa tukio...
  13. ommytk

    Hivi mbona watoto wa siku hizi hawachezi michezo tuliyocheza zamani kama kombolela?

    Wadau hili ni kuwa michezo tuliyocheza zamani imepitwa na wakati au kama vile ukuti, kombolela, rede, kibaba na kimama, magari ya udongo, kuendesha matairi au kufunga kamba na kuendesha kama basi unapakia abiria. Hii michezo sioni kwa watoto wetu wa sasa. Je, imepitwa na wakati?
  14. Analogia Malenga

    Kampeni ya kuzuia Watoto kucheza kamari yazinduliwa

    Jamii imeaswa kuwalinda watoto kutojihusisha na kucheza kamari kutokana na kukithiri kwa matokeo hasi ya michezo hiyo. Wito huo ulitolewa juzi Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (GBT), James Mbalwe wakati akizindua kampeni ya ‘mlinde mtoto’ inayolenga...
  15. M

    Kuoa wanawake wawili au kuwa na watoto wa mama tofauti kwa dunia ya leo ni kujitafutia matatizo

    Wanaume wenzangu, dunia imeshabadilika. Leo ukiwa na watoto wa mama tofauti kwenye familia yako jua unatengeneza kaa la moto baadae na kuwa na wake wawili ndio kabisa kwa asilimia kubwa unakuwa unajitengenezea jehanamu yako mwenyewe. Nimeshuhudia familia nyingi sana zinavurugana mpaka kufikia...
  16. polokwane

    Wizara ya Elimu liwekeni sawa hili la watoto kutoka shule saa 11:30 jioni

    Watoto wanaumia sana na hii ratiba hasa kwa mazingira ya shule zetu watoto wanafika majumbani saa mbili hadi saa tatu usiku ukiwauliza wanadai foleni mara daladala zinasumbua Hebu Serikali mlione hili hata kama ndio kusoma hapana
  17. Barackachess

    Tuwafundishe watoto wetu kutembelea tovuti hizi ziwasaidie katika elimu

    Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA) ikitumika vizuri katika sekta ya elimu itasaidia kujenga mazingira mazuri na kuwezesha kuwepo kwa mbinu bora katika ufundishaji na ujifunzaji. Nimetembelea tovuti mbalimbali za elimu hapa TANZANIA, Nimeona mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu hasa...
  18. Nyanswe Nsame

    Mkazi wa Isamilo Mwanza atuhumiwa kuwabaka na kuwalawiti watoto watano

    Mkazi wa Isamilo Mwanza atuhumiwa kuwabaka na kuwalawiti watoto watano WATOTO watano wenye umri Kati ya miaka sita hadi saba wamebakwa na kulawitiwa kwa nyakati tofauti katika mtaa wa Isamilo msikitini kata ya Isamilo wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza. Watoto hao ambao majina yao...
  19. Yoyo Zhou

    “Natumai watoto wa maskini pia wawe na fursa ya kujiunga na Vyuo Vikuu bora”

    “Natumai watoto wa sehemu maskini pia wawe na fursa ya kujiunga na vyuo vikuu bora” Alichosema hayo ni Zhang Guimei mwenye umri wa miaka 63. Yeye ni mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya juu ya wilaya ya Huaping, mjini Lijiang. Hii ni shule maalum, ambayo wanafunzi wake wote ni wasichana kutoka...
  20. Pdidy

    Analala kwa watoto, saa nane anaingia room

    Najua wengi mnakumbana nayo haya, wanandoa kama sio analala kwa watoto basi atakaa sebuleni mpaka usiku wa manane arudi chumbani Huyu ndiye anaitwa mke, ndoa zimeficha mambo mengi sana, kesho tujadiliane suluhisho ya haya yote
Back
Top Bottom