Watoto Church, formerly Kampala Pentecostal Church (KPC) is an English-speaking cell-based community church located around East Africa and headquartered in Kampala, Uganda. The vision of the church is "an English speaking cell-based community church, celebrating Christ, growing and multiplying as each one reaches one, touching those around us with the love of Jesus, bringing healing to the cities and the nations." Watoto means "the children" in Swahili.
Mkuu wa shirika la polisi la Ulaya, Catherine De Bolle, amesema visa vya uhalifu wa kuwadhalilisha watoto kingono mitandaoni vinaongezeka kwa kipindi hiki cha vizuizi kutokana na janga la Corona. Akiita hali hiyo kuwa ni ya hatari.
Ripoti iliyochapishwa na shirika la polisi la Ulaya, Europol...
Kila kitu kina faida na hasara zake.Moja ya faida ya hizi shule za kisasa ni watoto kujua lugha ya malaika angali wakiwa na umri mdogo na kuwa fluent tofauti na wale wanaosoma shule za St. Kayumba.
Hata hivyo, kuna kasoro naiona na ambayo baada ya muda, tutakuja kuiona huko mbele na hii si...
Joto la mwili kupungua (hypothermia) #MtotoNjiti huwa anapoteza joto kwa haraka zaidi
Ni lazima kuhakikisha anatunzwa vizuri kwa kutumia njia kama vile kumfunika nguo, kumweka katika mashine maalum (incubators)
Njia nyingine ni kumweka kifuani kwa Mama (Kangaroo Mother Care) pia kuepuka...
The death of the loved one can have enormous impacts on well-functioning adult and it can become even more severe, more pronounced in the adolescents, for the teenager dealing with the loss of the loved one is an extremely challenging task. When the adolescent goes through the loss of the...
Haya ndio maisha watu wanajiamulia, kabla ya mwaka kuanza tunajua tuna watoto wangapi wanahitaji kwenda shule ila vyumba vya madarasa havitoshi na vinahitajika vingapi ili vitoshe.
Tunasakwa mtaani raia tunachangishwa ili tujenge madarasa. Wapo barabarani wanakula maisha, wanatembelea magari ya...
Wadau naomba msaada wa kujua sinema (movie) za vichekesho za watoto kuanzia miaka 3, ambazo si za vibonzo (katuni). Endapo zipo nyingine nzuri za katuni unakaribishwa pia kunipa msaada. Ila ningependa kuzijua zaidi ambazo si za katuni.
Wakulungwa Kuna tofauti gani kubwa kiviiiiiiiiiiileeee Kati ya Hawa vijana wawili.
1. Ana watoto hajafunga ndoa na anaishi vizuri na mkewe na Wana watoto wazuri tu na wanatarajia kufunga ndoa Mambo yakikaa sawa.
2. Amefunga ndoa ila hana watoto ila Mungu atawajalia watapata.
Kati ya hao...
Maelfu ya watu kutoka Tigray, Ethiopia wamekimbilia Sudan. Umoja wa Mataifa umesema kuwa zaidi ya watoto milioni mbili katika jimbo la Tigray nchini Ethiopia wamekatizwa na misaada ya kibinadamu huku ghasia zikiendelea.
Licha ya makubaliano ya yaliyofikiwa na serikali ya Ethiopia, mashirika ya...
Unafikiri ninapozungumzia habari za kuondoka kwenye njia ya foleni na kuhamia mwendokasi ninazungumzia ubinafsi wako na kupenda sifa kwako? Eti umesoma, una cheo, mtaa mzima wanakujua, kampuni yote wewe ndo wewe, na una vyeti kama vyote! Ninazungumzia habari za watoto wako na mamilioni ya kizazi...
Serikali imetoa siku 14 kwa wamiliki wa vituo vya malezi vya watoto na (Day Care), kurekebisha kasoro ili watoto hao walelewe katika mazingira sahihi na kwa kujibu wa Sheria.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii), Dk. John...
Mama mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Regina Daniel (24) mkazi wa Louxmanda Kijiji cha Bashnet Wilaya ya Babati mkoa wa Manyara, anatuhumiwa kuwauwa watoto wake watatu kwa kuwalisha maembe yenye sumu inayodaiwa ni ya Panya .
Tukio hilo la kusikitisha limetokea Desemba 5 mwaka huu ambapo...
Watoto watumika kama wapiganaji Mali, mapigano yaendelea Ethiopia
Ripoti ya mashirika ya kibinadamu yakiongozwa na shirika la umoja wa mataifa la kuwashughulikia wakimbizi UNHCR, imenakili visa 230 vya Watoto kusajiliwa na makundi ya wapiganaji katika miezi sita ya kwanza yam waka 2020...
Kukimbiwa na kutengwa na wenza (Baba wa Mtoto): Wanaume wengi na ndugu hudhani kupata Mtoto Njiti ni jambo la laana au mkosi hivyo humtenga Mama na Mtoto wake
Kushindwa kumudu gharama za malezi ya Mtoto: Watoto waliozaliwa kabla ya muhula kutimia au waliozaliwa na uzani wa chini wanahitaji...
"Behind every murder, there is a motive"
Wanawake wengi wa Kitanzania kama siyo wa Afrika utasikia, mimi ningetamani kuolewa na mzungu. Kwanza ni waaminifu na wana mapenzi ya kweli! Muda mwingine nawatazama nacheka kicheko cha mwenyekiti cha Hiiii! Wanaume wa kizungu wakichepuka wakata kuoa...
Sijisifii ila ndivyo nilivyo, watoto wananipenda sana tangu mimi ni mdogo, hawa watoto naozungumzia, mara nyingi ni watoto chini ya miaka 7
Kwa sasa nina miaka 29, nimeoa na tuna watoto wawili. Changamoto ninayopata niwapo kazini, kwenye biashara, mtaani na maeneo mengi huwa natokea tu kupendwa...
Grace Jacob ambaye ni mama mzazi wa Christina aliyenusurika kuuawa kwa kuchinjwa shingo kwa madai ya ushirikina, amesimulia namna tukio hilo lilivyotokea na alivyonusurika.
Tukio hilo linalodaiwa kufanywa na baba mzazi wa mtoto huyo, Jacob Taholo lilitokea Novemba 15 saa saba usiku katika...
Je, ni kweli watoto wa kiume siku hizi wanazaliwa wachache?
"Angalia mtaani/vyombo vya habari/watu unaosikia wamejifungua: utaona miongoni mwa watoto waliozaliwa, watoto wa kiume ni adimu -- watoto wengi wakiwa ni wa kike. " alisikika mtu mzima fulani akiongea.
Yana ukweli?
Katibu tawala mkoa wa Arusha Richard Kwitega ameitaka jamii kutambua kuwa haki za watoto sio hisani bali ni wajibu wao wa kutimiza haki hizo.
Ameyasema hayo wakati alipokuwa akiongea na watoto , walimu katika maadhimisho ya kimataifa ya siku ya mtoto duniani yaliyofanyika leo Arusha School...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.