watoto

Watoto Church, formerly Kampala Pentecostal Church (KPC) is an English-speaking cell-based community church located around East Africa and headquartered in Kampala, Uganda. The vision of the church is "an English speaking cell-based community church, celebrating Christ, growing and multiplying as each one reaches one, touching those around us with the love of Jesus, bringing healing to the cities and the nations." Watoto means "the children" in Swahili.

View More On Wikipedia.org
  1. Nafaka

    Inaelekea COVID-19 ni nadra sana kuwa na effect kubwa kwa vijana na watoto

    Nilikuwa napitia matangazo ya chanjo za COVID-19 za Australia, chanjo itaanza kutolewa kwa wale walioko katika hatari zaidi ya kupata maambukizi kama watoa huduma za afya, wafanyakazi wanaoishi kwenye makazi ya kuhudumia wa zee na walemavu, walinzi wa mipakani, na watoa chanjo wenyewe. Kisha...
  2. B

    Kama Taifa, viongozi wetu wasituchukulie sisi kama watoto wadogo

    Mabibi na mabwana sisi ni taifa na kama taifa cheo ni dhamana tu. Kiongozi yeyote kwa uongozi wake ni muhimu akazingatia ukweli kuwa kwa dhamana aliyo nayo si kuwa sasa eti ndiyo anayo fursa kamili ya kufanya au hata kusema lolote kwa kuwa tu eti dhamira yake itakuwa imemtuma huko. Rais wetu...
  3. Analogia Malenga

    Ukuta wakatisha uhai wa watoto wawili wa familia moja

    Watoto wawili wa familia moja wamefariki baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba chanzo kikitajwa kuwa ni mvua inayoambatana na upepo iliyonyesha wilayani Geita juzi Jumapili Januari 24, 2021. Waliofariki ni Asheri Malima(4) na Laurencia Malima (2) waliokuwa wakiishi kijiji cha Kasesa kata ya...
  4. The Assassin

    Kwanini wazazi wa siku hizi wako 'obsessed' sana na ufaulu wa Division One kwa watoto wao?

    Ukikutana na kila mzazi leo anataka shule inayofaulisha, wazazi wako busy kuulizia ufaulishaji wa shule. Juzi matokeo yalitoka kila mzazi ama mlezi anakata kujua shule hiyo division one ngapi, sijui nini. Swali langu, kwa nini wazazi ama walezi wameshikwa sana na ufaulu wa watoto, division...
  5. Miss Zomboko

    Madhara ya kupenda kuweka picha za Watoto mitandaoni

    Kadri siku zinavyokwenda, wazazi wengi hupenda kuweka picha za watoto wao mitandaoni huku wakiwapongeza na kujivunia walivyo warembo, wenye akili na wepesi kujifunza ama wanavyowaletea furaha. Mshawasha na wepesi wa kutaka 'kushea' picha za mtoto wako hasa kwa marafiki (na hata wasio marafiki)...
  6. S

    Miaka 60 ya uhuru, bado tunaning'iniza watoto kwenye miti kuwapima uzito

    Hii habari nimesoma twitter, habari inayosema watoto wadogo wanapimwa uzito kwa kuning'inizwa kwenye mti huko wilayni Tarime mkoa wa Mara(kuna picha ikionyesha tukio hilo). Hakika nimeshangazwa sana na hii habari, ila inaelekea hali hii ni ya kawaida tu kwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu huku...
  7. Research Solutions TZ

    Umasikini Unaathiri zaidi wanawake na watoto

    Recently tumekuwa tukisikia mzazi kamuua au kajeruhi mwanaye kwa kosa fulani. Ustawi wanataka mtoto akinyanyaswa kaaripoti kwao lakini je mtoto atawezaje kuendelea kuishi na mzazi ikiwa alisha mshataki. Mbali na hilo serikali haina vituo rasmi kwa ajili ya kuwalea watoto wanaonyanyswa na wazazi...
  8. Infantry Soldier

    Watoto wanaokuja nyumbani na vitu vya kuokota (Pesa, Midoli, Mipira,). Je, ni sahihi kwa wazazi kuruhusu tabia hii?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums. Watoto wanaokuja nyumbani na vitu vya kuokota (Pesa, Midoli, Mipira). Je, ni sahihi kwa wazazi kuruhusu tabia hii? Mimi siwezi kujisifia kwamba nilikuwa na wazazi makini sana katika suala la malezi kwa maana wakati nipo mdogo...
  9. YEHODAYA

    Watanzania wapenda kusomesha nje ya nchi pelekeni watoto Ufilipino bei rahisi elimu kubwa inatambuliwa Marekani

    Vyuo vikuu vya ufilipino Ada nafuu haizidi dola 2500 kwa mwaka na elimu yao iko juu sana. Marekani na Canada wanaikubali sana
  10. J

    Mimba za utotoni sio changamoto pekee kwa Watoto wa kike

    Mbali na suala la mimba za utotoni imebainika pia kwamba changamoto nyingine wanazokumbana nazo watoto wa kike ni pamoja na ukosefu wa taulo pindi wanapokuwa katika siku zao. Baadhi ya Familia, Koo na Makabila kuendeleza mila ya kutoa kipaumbele kwa Mtoto wa kiume kwenye fursa za maendeleo...
  11. Red Giant

    Nashauri watoto waache ishu ya kusalimia watu wazima kwa kuwashika kichwani

    Wakuu baada ya kula ugali, nyanya chungu, bamia, dagaa, kabichi, maharage, nyama roast na kushushia pepsi big nimepata wazo. Hili suala la mtoto kumshika mtu mzima wakati wa kusalimia naona kama halijakaa sawa. Naona kama linamjengea mtoto tabia ya kutojiamini, uoga na kumshusha thamani. Pia...
  12. Chizi Maarifa

    Kupenda kuchezea watoto wa watu kumemtokea puani

    Wala siyo mbali ni hapo tu Chalinze jamaa kajifanya kidume kutembea na binti. Kamtia mimba then anamkwepa. Binti kabembeleza sana jamaa achukue wajibu wake. Jamaa anajifanya mtown anakwepa kwepa tu mishale. Binti mara ya mwisho akasema sawa kama hii mimba si yako basi hamna shida ila kama ni...
  13. MALCOM LUMUMBA

    Hivi kwanini tunawabadilisha watoto wetu majina asilia baada ya ubatizo au kubadili dini?

    Wasalaam, Hivi kwanini mtoto alizaliwa anaitwa Mkwavinyika lakini baada ya kufanyiwa ubatizo anaanza kuitwa Paulo. Au mtu alizaliwa anaitwa Mushaija lakini baada ya kutaka kumuoa Maiumuna anasilimu na kuanza kuitwa Juma. Sasa nataka kufahamu haya yote yanatokana na nini: Je, majina yetu asilia...
  14. Liverpool VPN

    Nimenyang'anywa Watoto wangu na moyo unaniuma maana nawataka sanaa

    .... Nyuzi ifutwe .... Moderator
  15. M

    Nawalaumu wanaume wanaotelekeza watoto, japokuwa wadada mmezidi kutubambikia watoto

    Habari ya mwaka mpya wakuu. Mwaka 2013 nilienda field mgodi wa Bulyanhulu huko kakora uliokuwa unamilikiwa na Accacia, kwenye kivuko pale Busisi nikakutana na dada mmoja mrembo sana. Tukiwa tunasubiri kivuko kianze safari nikasogea karibu naye nikaanzisha mazungumzo na yeye yaliyopelekea kukaa...
  16. 0ozg Tz

    Uzi wa kuwapongeza wanaume,kwa kutimiza majukumu yao ipasavyo mwisho wa mwaka,na mengine ya watoto kurudi shule yapo pending

    Natumai wengi wenu mko poa,na wachache wanaoumwa mungu atawapa ahuweni. Bila kupoteza wino kama kichwa cha Uzi kilivyo,ningependa kuainisha mambo ambayo wanaume wa kweli huwa wanayafanya mwisho wa mwaka.Nazani Hii dunia bila wanaume nazani ingekuwa kama mbuga tu. Jamani Kuna wanaume kwa kweli...
  17. Sky Eclat

    Wakati dunia inapigana na ukatili kwa watoto ikiwemo viboko mashuleni, Tanzania ukatili wa watu wazima unafanyika hadharani

    Hii tabia ya viongozi kuchapa raia viboko ni udhalikishaji na ukatili unaopaswa kukemewa kwa nguvu zote. Ki tendo cha kumpigia viboko mtu mzima hadharani ni kumshushia thamani na utu wake. Maafa ya kisaikolojia atakaa nayo mtu yule kwa muda mrefu na wengine hatutaelewa wameathirika kiasi gani...
  18. sky soldier

    Mambo ya kupeleka watoto bweni yamepitwa na wakati, tuwapeleke inapobidi tu!!

    Hawa ndio waende inapobidi 1. Kama kakosa shule sehem unayoishi 2. Kama kapangiwa shule inayoleta changamoto ya usafiri Mi nashangaa hadi leo imekuwa kama fasheni kupeleka watoto boarding. Tukianza na elimu ya msingi kiukweli sio haki kumpeleka mtoto boarding maana shule zipo nyingi sana na...
  19. Miss Zomboko

    Serikali yaanzisha ujenzi wa vituo vya malezi ya watoto ili kukabiliana na ukatili dhidi yao

    SERIKALI kupitia Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii kwa kushirikiana na Shirika la Brac Tanzania imeanza kuratibu uanzishwaji wa Vituo vya Malezi kwa watoto wadogo vitakavyomilikiwa na kuendeshwa na Jamii ya eneo husika. Hayo yamesemwa jijini Dar E s Salaam na Mkurugenzi wa Idara ya...
  20. sky soldier

    Ushuhuda wa familia yetu: Nguvu kubwa itumike kuwafundisha watoto kujitegemea ili wasisote kama sisi wahitimu wa vyuo

    Habari zenu wakuu, Leo nmeona nitoe neno hapa, zama zimebadilika wadau, Kukazia elimu zamani ilikuwa ni kujiongezea uhakika wa kujitegemea ukiwa mkubwa kwa kuajiriwa serikalini au kwenye makampuni. Na hata mimi binafsi kwenye familia yetu wazazi wetu walituasa sana tusome sambamba na adhabu...
Back
Top Bottom