watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    GE2020 Upinzani, msiende mahakamani wala msihamasishe watu kuingia barabarani. Tuacheni Wananchi tuyaone wenyewe

    Sina mengine zaidi ya hayo, heading inajieleza vizuri. Ni kweli mtakosa mapato, lakini mnaweza kujibidisha na kupata shughuli nyingine hata ikiwezekana kilimo. Tuachieni hii miaka mitano ili tujionee wenyewe. Msihangaike kwenda mahakamani maana huko mtapoteza fedha na muda wenu bure...
  2. Roving Journalist

    GE2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    MATOKEO - LIVE: Wakuu, Tunawaletea matukio na matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yatakavyokuwa yakitangazwa. Orodha rasmi ya wagombea wanaowania Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Kama ilivyo kwenye karatasi ya kupigia kura) 1...
  3. LIKUD

    Watanzania mlimchagua Magufuli katika Ulimwengu wa Rohoni toka enzi za JK

    Chaguo la watanzania katika ulimwengu wa roho ni Rais Dokta.Joh Pombe Magufuli. Katika ulimwengu wa rohoni watanzania mlimchagua Magufuli toka Jk akiwa madarakani.. How? Majibu haya hapa. Hivi ndivyo ulimwengu wa rohoni unavyo fanya Kazi. Nitaelezea Kwa mifano moja Kwa moja. 1. MAMA WA...
  4. MK254

    Haijatokea duniani, Watanzania wafaulu kufuta upinzani

    Nacheck hapa matokeo ya uchaguzi wa Tanzania, yaani upinzani umefutwa rasmi, mpaka sasa hawana mbunge hata mmoja aliyefaulu kwenye pembe zote za nchi aliyegombea kwa tiketi ya chama cha upinzani, ni mwendo wa CCM kote kote, kijani kwa kwenda mbele. Kwa kifupi bunge litafurika wabunge wa mlengo...
  5. FUTURE HUNTER

    Je, Watanzania hawapo tayari kwa mabadiliko?

    Poleni kwa kuzimiwa internet. Nirejee kwenye mada yangu,Je watanzania wanaweza kweli kupigania kuikomboa nchi toka kwa mkoloni mweusi huyu. Kila siku tumekuwa tukiona matukio mengi ya uonevu kutoka chama dola lakini hakuna siku watanzania wakachukua hatua stahiki za kuwawajibisha wahusika...
  6. Dua

    Hongera sana Watanzania wote chini ya uongozi imara wa CCM na kiongozi wetu Dkt. Magufuli

    Hongera sana Watanzania kwa kutuheshimisha na kutuletea maendeleo. Dkt. Magufuli utaendelea kuwa kileleni katika uongozi uliotukuka. Sasa tuna kazi moja kubwa ya kuijenga Tanzania kuelekea kwenye maendeleo ya kweli ya kuwanufaisha Watanzania kutokana na kazi zao. Watanzania tusonge mbele...
  7. S

    Watanzania tufunge mkanda, kipindi kigumu zaidi kinakuja

    Nchi yetu ni moja ya nchi inayopkea misaada na mikopo mingi kutoka nchi wahisani na mashirika ya fedha ya kimataifa kuendeshea miradi na shughuli mbalimbali za maendeleo hapa nchini. Fedha hizi,hasa misaada,zinatusaidia kupunguza nakisi ya Bajeti lakini pia zinatupa uwezo wa kulipa deni la...
  8. O

    GE2020 Chadema Kubalini matokeo, Watanzania Wote tunaendelea na Shughuli zetu tumeanza kuwasahau

    Baada ya tarehe 28 October, Tanzania hali ni shwari na yenye utulivu Watanzania tumemaliza Uchaguzi na Chadema wameshindwa Vibaya sana wamebaki kama Chauma. Lissu nani alikudanganya kuwa utawaambia Watanzania Nendeni Barabarani nao watatoka. Washabiki wako wa mtandaoni wako Instagram wanapitia...
  9. J

    GE2020 Ahsanteni Watanzania kwa kutuchagua ila tusisahau CCM bila Upinzani ni sawa na Dini bila Shetani, hakuna visingizio!

    Kwa upande wa udiwani matokeo yaliyokwishatoka yanaonyesha CCM ikiwa mbele kwa kuzoa kata nyingi. Hata ubunge hakuna Mgombea wa Upinzani aliyetangazwa kushinda hadi sasa na tayari kiongozi mkuu wa CHADEMA ameshapoteza kiti chake cha ubunge kule Machame. CCM tunawashukuru sana Watanzania kwa...
  10. Chizi Maarifa

    GE2020 NEC, ZEC na CCM hili tamko linasubiriwa na Watanzania wote. Mnatoa saa ngapi?

    Tumeona kwa macho yetu baadhi ya watu wanaojiita wana CCM wakijaribu kuhujumu uchaguzi huu. Tumeona ambavyo wanaonekana wakiwa na kura fake ambazo wanataka kuzichanganya na halisi. Hawa ni wahujumu, wahujumu na wafitini ambao wanataka kuonesha kuwa Mh. Rais hatakiwi na hawezi shinda hivi hivi...
  11. V

    Wachina wanavyowanyanyasa Watanzania

    Kwema wana jukwaa leo nimekuja na hoja jinsi wajina wanavyowanyanyasa wazawa ambao wamewaajiri katika kampuni za ujenzi Kuna kampuni moja inaitwa Chicco inajenga mto ng'ombe unaopita mitaa ya Sinza, Mtogole mpaka Mkwajuni. Mradi ambao uko chini ya Manispaa ya Kinondoni. Lakini mwanzoni mwa wiki...
  12. BAK

    GE2020 Pongezi nyingi sana kwa Lissu, Mkewe, Uongozi wa CHADEMA na Watanzania walioshiriki kwenye kampeni za CHADEMA

    Napenda kuchukua fursa hii kumpongeza sana Lissu kwa kampeni zake za hali ya juu na zilizokuwa na mahudhurio makubwa sana kila kona ya Nchi yetu uliyopita. Lugha zako za upendo ulizotumia na kutugusa mamilioni ya Watanzania Wazee, vijana na hata watoto. Ulikutana na vikwazo vya aina mbali mbali...
  13. J

    GE2020 Nawatakia Watanzania wote Uchaguzi wenye Baraka na Amani ya Mungu ile ipitayo fahamu zote

    Kwanza namshukuru Mungu kwa kutuvusha salama na hatimaye kuifikia siku hii ya leo tunapoenda kuchagua viongozi wetu. Ninamuomba mwenyezi Mungu awatie nguvu ninyi nyote ili tuweze kukamilisha jukumu hili la kikatiba kwa amani. Tukumbuke kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi na kwamba siasa haijengi...
  14. Miss Zomboko

    GE2020 Dkt. Magufuli: Hamasishaneni mkapige kura kesho. Ukimaliza rudi nyumbani ili kuitunza tunu ya amani na mshikamano tulionao

    RAIS Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kutumia utashi wao kuchagua viongozi wanaowafaa, watakapokwenda kwenye vituo vya kupigia kura kesho. Akizungumza jana wakati wa uzinduzi wa msikiti uliojengwa katika Wilaya ya Chamwino jijini Dodoma, aliwataka Watanzania kuhamasishana kwenda kupiga...
  15. funaku

    GE2020 Hongereni Watanzania tukaioneshe Dunia kuwa tupo huru na hakuna wa kuharibu amani yetu

    Habari za jioni watanzania! Kwa kipindi cha takribani mwezi mmoja tumekuwa kwenye mchakato wa uchaguzi. Katika kipindi chote hiki Watanzania tumeonesha ustaarabu wetu kwa kufanya kampeni safi bila ugomvi au rushwa. Wapo waliotumwa kuvuruga hali ya hewa hata kabla ya kuingia siku ya upigaji...
  16. Keynez

    Kwa mkupuo, Twitter imeverify account za Watanzania zaidi ya 6

    Habari za hivi punde zinazoashiria upepo wa matumaini unazidi kuvuma, ni kuwa Twitter imeverify account zifuafazo, tena kwa mkupuo. Tundu Lissu Fatma Karume Chadema Tanzania John Mnyika Zitto Kabwe Carherine Ruge ACT Wazalendo Najua kuna watakaokuja na kubeza na hata kutaka kulinganisha na...
  17. M

    Watanzania hatupaswi kumlaumu Magufuli, tujilaumu wenyewe kwa kuishi kwa mazoea

    Watanzania wa kipindi cha kwanza cha Mkapa watakubaliana nami kuwa mazoea yanaharibu sana fikra za jamii. Kipindi cha kwanza cha Mkapa nchi ilikuwa imetoka katika uongozi wa ruksa maana yake nchi ilikuwa haina mifumo imara hivyo alipoingia Mkapa alisababisha watu wengi kuanza...
  18. Mag3

    GE2015 Shuhudieni CCM walivyoshangilia tishio la kupotezwa kwa Watanzania wenzao wenye mawazo tofauti, halafu eti tunashangaa ndugu zetu wapinzani kupotea!

    Naam, hiyo ndiyo Tanzania na hao ndio viongozi wa chama tawala wanaotaka tuwape ridhaa ya kuendelea kututawala kwa miaka mingine mitano. Cha ajabu ni kwamba wapo Watanzania wenzetu ambao wako tayari kutoa ridhaa hiyo bila hata kuhoji. Kitu kimoja kilicho wazi ni kwamba tukifanya makosa tena...
  19. Malick M. Malick

    GE2020 Oktoba 28 ni Dkt. Magufuli tu ndio chaguo la Watanzania

    October 28 ,2020 Watanzania twendeni tukamsimike Dkt. Magufuli Kwa ushindi wa kishindo ,miaka mitano mingine ya kazi, Afrika inajua ,Dunia inajua kazi ya Mtoto wa Afrika kutoka Chato ,mwana Mageuzi ya kweli. Tunajua nchi za Magharibi hawapendi Juhudi za mwamba JPM kuipeleka nchi katika...
  20. S

    Je vioja vya Tume za uchaguzi ndio vinatuwakilisha waTanzania wote Jinsi tulivyo ?

    Huwaga naona aibu sana sana,yanapojitokeza mambo yanayoonyesha ni ukosefu wa elimu au WaTanzania hatufai kupewa dhamana ,na hii hali inayojitokeza ambayo matatizo yanatokana na Tume za uchaguzi ,kusema kweli yanatuchafua waTanzania wote kwa kiasi fulani. Tume wangejiandaa kwa wizi sio...
Back
Top Bottom