Watanzania tuchukue tahadhari ya Corona. Jirani zetu Kenya hali ni tete haspitali zimezidiwa wagonjwa

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,839
141,756
Tunakumbushana tu hasa katika kipindi hiki ambacho kuna mikusanyiko ya kila aina na majirani wa nchi jirani wanavuka mipaka kuja kuhani msiba huu mkubwa tulionao.

Tafadhali tuchukue tahadhari wenzetu Kenya hali ni tete.

Zaidi soma > Wataalamu wa afya wanahofia kuwa wagonjwa wengi wa Corona wanafariki wakiwa nyumbani bila kujua wanaugua

Kenya.jpg
 
Kenya ni Europe ile acha wakutane na mziki wa cd laki tatu.
Wao si waingereza bwana acha wapambane na mdudu jeuri Covid.
 
Back
Top Bottom