Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,445
- 7,816
Leo Rais wa Kenya amelihutubia Taifa la Kenya juu ya kifo cha Rais Magufuli na kutoa pole kwa mama Janeth Magufuli na watanzania.
Amesema anakumbuka ziara ya Rais Magufuli nchini Kenya na kwa pamoja wakafungua barabara inayoitwa 'Seven Bypass' na kwake binafsi anaikumbuka heshma kubwa aliyopatiwa na Rais magufuli kwa kumtembelea mama yake, mama Ngina Kenyatta nyumbani kwake na kumualika yeye Rais Kenyatta kumtembelea Chato na kupata nafasi ya kumsalimia mama yake na kulala kwa Rais Magufuli.
Kenyatta amesema amepoteza rafiki, kiongozi mwenzake na nchi ya Kenya inasimama imara na Tanzania katika wakati mgumu.
Kenyatta ameongea na makamu wa Rais, Mama Samia Hassan na kumpa pole za wakenya
Amesema anakumbuka ziara ya Rais Magufuli nchini Kenya na kwa pamoja wakafungua barabara inayoitwa 'Seven Bypass' na kwake binafsi anaikumbuka heshma kubwa aliyopatiwa na Rais magufuli kwa kumtembelea mama yake, mama Ngina Kenyatta nyumbani kwake na kumualika yeye Rais Kenyatta kumtembelea Chato na kupata nafasi ya kumsalimia mama yake na kulala kwa Rais Magufuli.
Kenyatta amesema amepoteza rafiki, kiongozi mwenzake na nchi ya Kenya inasimama imara na Tanzania katika wakati mgumu.
Kenyatta ameongea na makamu wa Rais, Mama Samia Hassan na kumpa pole za wakenya