wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa Zanzibar hawajui Hussein Mwinyi anawapeleka wapi

    Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu. Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara...
  2. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Neema Village, Mzungu anayebadilisha maisha ya Wakina Mama Arusha, serikali yetu inakwama wapi?

    Poleni na Majukumu, Serikali yetu kwa sasa inapitia katika kipindi kigumu cha tatizo la ajira rasmi kwa vijana na watu wazima pia. Pamoja na Yote Serikali imekuwa ikisisitiza vijana wajiajiri bila kuwawezesha ni kwa namna gani vijana waweze kujiajiri. Jijini Arusha mzungu mmoja aitwae Michael...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Endeleeni na mazoezi ya wazi Bunju/Boko, endeleeni na uzungu wenu

    Jamani kila siku tunawaomba hayo mazoezi nendeni hata gymkhana au zungusheni fensi ya mabati kule Bunju hamtaki eti nyie viongozi ni wazungu Utopolo mwaka huu wamesema liwalo na liwe lazima wachukue ubingwa na mimi naanza amini maneno yao kama huu uzungu feki hautakomeshwa itakuwa too late...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kipigo cha kushtukiza: Yote maisha, tusigombane, tuangalie tumejikwaa wapi, turekebishe na maisha yaendelee!

    Chonde chonde wana msimbazi wenzangu, tujiangalie na kujitathmini kwa uwazi, tusiruhusu kugombana, turekebishe na tusonge mbele!! Adui zetu tusiwape faida!! Ila tusifumbie macho udhaifu wa wazi uliopo kwenye timu yote. Tujue tumejikwaa na kukosea wapi! Turekebishane kwa upendo na maisha...
  5. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wapi wanauza misalaba ya ukutani?

    Nahitaji kimsalaba cha chuma kama hiko katikati hapo kwenye picha. Kwa hapa Dar, duka linalouza vifaa vya aina hii linapatikana wapi? Msaada please
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mama mdogo wa kutesti mitambo yuko wapi wadau?

    Imepita muda sijamsikia mama wa kutesti mitambo, mkumbusheni arudi kwenye game, tusije tukamsahau aisee Wasalaam!
  7. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Anapatikana wapi mwanaume mwenye mapenzi ya kweli, mvumilivu, msikivu, na anaejua kusamehe!

  8. C

    JamiiForums Tanzania Biashara United nje mashindano ya CAF. Hatarini kufungiwa, Mlezi yuko wapi? Jasho la Simba lapotea bure

    mlezi anaweza kutafuta milioni 15 fastafasta kwenye mechi vs simba(hata kama ni za wauza magodoro) ila kwenye issue muhimu akihojiwa anakuambia siwezi toa hela zangu za mshahara sasa pre match meeting huko benghazi libya imemalizika , Baadaye AHLY TRIPOLI wanaingiza team uwanjani watakaguliwa...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mwenyezi Mungu anakuona sema Ukweli Wewe uko Kundi ( Daraja ) lipi ( gani ) hapa?

    Ufuatao ni mtiririko wa Ufaulu wa Kitaaluma ( Chuo Kikuu ) kwa ngazi ya Shahada ya Kwanza ( Bachelor Degree ) na tabia ya Mhusika katika Jamii na hata Maisha yake ya baadae..... 1. FIRST CLASS G.P.A Hawa huwa ni Watu wenye Akili nyingi ila katika Maisha ya Mtaani ndiyo huwa Wafeliji wakubwa...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata USB ya aina hii?

    Naomba mwenye kuweza kuwa na usb ya iana hii, au zinapatikana wapi kwa dar, ni ya ipod, niliyokuwa naitumia imeharibika.nitashukuru.
  11. ZINDAGI

    JamiiForums Tanzania Tupeana updates za kuhama kwa Wamachinga

    Hebu tupeane update za zoezi la kuhama kwa wamachinga eneo ulipo. Mimi nimepita pale UHASIBU kutokea Kigamboni, nimekuta Wamachinga woote wameitikia wito wa kuhama, wapo busy wanabomoa vibanda vyao
  12. Travis 1

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata Baseball bat ndani ya Kenya au Tanzania?

    Nina shida ya hizi Baseball bat, kwa anaefahamu sehemu naweza pata l.
  13. R

    JamiiForums Tanzania Biashara United wamekwama tena kifedha. Mkuu wa mkoa yuko wapi?

    Biashara United inakabiliwa na changamoto ya nauli kwenda kwenye mechi ya marudiano na hata pesa za waamuzi ilikuwa changamoto, Yule mkuu wa mkoa Yuko wapi au anahaidi mechi ya Simba
  14. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua wapi nitapata Mtaalam/Daktari wa “Mental Health”

    Wakuu habari. Poleni kwa mishe na matatizo. Nahitaji mtalaam wa mental health (therapist au psychologist) kwaajili ya kunisaidia. At least mara 2 kwa week kila session angalau ya 2 hours. Location Dar bei iwe rafiki. Am not Okay na maisha yanazidi nipiga. Nashukuru.
  15. B

    JamiiForums Tanzania Rais wa Zambia kama Rais wa Watu, Sisi Tunakwama Wapi?

    Haikande Hichilema rais kipenzi cha watu wa Zambia akiwa njiani alisimama ghafla kusemezana na wapiga kura wake kwa bashasha: Hakuna chopper juu, hakuna makomandoo wala wasiojulikana kumsuka suka mtu kama walivyo wasuka suka kina Dk. Diallo karibu kuangushwa chini 😁😁. Si mnakubalika? Si...
  16. F

    JamiiForums Tanzania Tz iko wapi kwenye 4th Industrial Revolution?

    Dunia iko kwenye mapinduzi ya nne ya viwanda (4th Industrial Revolution). Katika hili, Tz kama taifa iko kwenye stage gani? 1st, 2nd, 3rd au 4th? Na katika stage iliyopo vipi ni viashiria kwamba iko kwenye stage hiyo? Na kwanini iko kwenye stage hiyo? Kilichoifikisha au kuishikilia kwenye stage...
  17. Fundi mahiri wa Ujenzi

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua mbwa aina ya bull dog. Ni wapi nitapata?

    Natafuta bulldog Wapi nitapata? Nikikosa bulldog Basi mbwa Kama huyu. Call 0655173113
  18. B

    JamiiForums Tanzania Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

    Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi. Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting Hatuna cha kujifunza kweli? Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia! Mwenye macho haambiwi tazama.
  19. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania Tuache Ufyatu: Nyerere Alikuwa Rais wa Wapi?

    Kumbukizi ya Nyerere inaweza kuadhimishwa popote. Nyerere hakuwa Rais wa Kijiji cha Butiama...Kuna vya kulalamika..hili si mojawapo.
  20. B

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya ni muhimu kwa Sekta Zote

    Uwepo wa mustakabala mpya wa mahusiano baina watu na watu pia watu na serikali hauwezi kudunishwa. Ni muhimu kuzipitia sekta mbalimbali katika kuamshana kwenye harakati hizi takatifu. Tuanze hapa na Sekta ya Usafirishaji: Sekta hii ni katika sekta zilizonyanyasika vilivyo. Ukitaka...
Back
Top Bottom