JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 470
- 597
Haha hajitambui madaraka makubwa kuliko uwezo sio kosa lakeMkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amewataka walimu kuwapo shuleni saa 24 kwa ajili ya kupokea wanafunzi watoto wanaoandikishwa kuanza darasa la kwanza na awali ili mzazi akifika asirudi na mtoto nyumbani kwa kukosa huduma.View attachment 2077845View attachment 2077845
Walimu wa kiume matamko kama hayo huwa wanayafurahia kwelikweli, maana wanakua tayari wamepata get pass.Usalama wa walimu umehakikishw? Huwezi kumfanyisha binadamu kazi zaidi ya masaa nane, kama inabidi afanye kazi masaa 12 haya manne ya ziada ni over time.
Kwa mshahara upi mtu akae shuleni masaa 24?Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amewataka walimu kuwapo shuleni saa 24 kwa ajili ya kupokea wanafunzi watoto wanaoandikishwa kuanza darasa la kwanza na awali ili mzazi akifika asirudi na mtoto nyumbani kwa kukosa huduma.View attachment 2077845View attachment 2077845
Hata afya wanafanya rotation..sasa sijui kama anataka labda na walimu waanze shift kama manesi na askari.Kwani shule imekuwa sector ya afya
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amewataka walimu kuwapo shuleni saa 24 kwa ajili ya kupokea wanafunzi watoto wanaoandikishwa kuanza darasa la kwanza na awali ili mzazi akifika asirudi na mtoto nyumbani kwa kukosa huduma.View attachment 2077845View attachment 2077845
Tena anawashwa pabayaHuyu anawashwa azungumzie maslahi yao
Mke watu nayeSura yake inafanana na matamshi yake.
Katavi labda na misukule inasomaMasaa 24 unaandikisha tu wanafunzi?