The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.
mlezi anaweza kutafuta milioni 15 fastafasta kwenye mechi vs simba(hata kama ni za wauza magodoro) ila kwenye issue muhimu akihojiwa anakuambia siwezi toa hela zangu za mshahara
sasa pre match meeting huko benghazi libya imemalizika , Baadaye AHLY TRIPOLI wanaingiza team uwanjani watakaguliwa...
Ufuatao ni mtiririko wa Ufaulu wa Kitaaluma ( Chuo Kikuu ) kwa ngazi ya Shahada ya Kwanza ( Bachelor Degree ) na tabia ya Mhusika katika Jamii na hata Maisha yake ya baadae.....
1. FIRST CLASS G.P.A
Hawa huwa ni Watu wenye Akili nyingi ila katika Maisha ya Mtaani ndiyo huwa Wafeliji wakubwa...
Hebu tupeane update za zoezi la kuhama kwa wamachinga eneo ulipo.
Mimi nimepita pale UHASIBU kutokea Kigamboni, nimekuta Wamachinga woote wameitikia wito wa kuhama, wapo busy wanabomoa vibanda vyao
baada
dar
dar es salaam
habari
jiji
jkt
kutolewa
machinga
matukio
mmoja
muonekano
ndani
ondoa
picha
safi
suma jkt
usiku
vibanda
wamachinga
wanyonge
wapi
Biashara United inakabiliwa na changamoto ya nauli kwenda kwenye mechi ya marudiano na hata pesa za waamuzi ilikuwa changamoto, Yule mkuu wa mkoa Yuko wapi au anahaidi mechi ya Simba
Wakuu habari. Poleni kwa mishe na matatizo.
Nahitaji mtalaam wa mental health (therapist au psychologist) kwaajili ya kunisaidia.
At least mara 2 kwa week kila session angalau ya 2 hours. Location Dar bei iwe rafiki.
Am not Okay na maisha yanazidi nipiga.
Nashukuru.
Haikande Hichilema rais kipenzi cha watu wa Zambia akiwa njiani alisimama ghafla kusemezana na wapiga kura wake kwa bashasha:
Hakuna chopper juu, hakuna makomandoo wala wasiojulikana kumsuka suka mtu kama walivyo wasuka suka kina Dk. Diallo karibu kuangushwa chini 😁😁.
Si mnakubalika? Si...
Dunia iko kwenye mapinduzi ya nne ya viwanda (4th Industrial Revolution). Katika hili, Tz kama taifa iko kwenye stage gani? 1st, 2nd, 3rd au 4th? Na katika stage iliyopo vipi ni viashiria kwamba iko kwenye stage hiyo? Na kwanini iko kwenye stage hiyo? Kilichoifikisha au kuishikilia kwenye stage...
Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Uwepo wa mustakabala mpya wa mahusiano baina watu na watu pia watu na serikali hauwezi kudunishwa.
Ni muhimu kuzipitia sekta mbalimbali katika kuamshana kwenye harakati hizi takatifu.
Tuanze hapa na Sekta ya Usafirishaji:
Sekta hii ni katika sekta zilizonyanyasika vilivyo.
Ukitaka...
Wakati najiandaa kuandika waraka nilioupa jina "Msajili wa vyama vya siasa unataka nini tukusaidie" nikakutana na taarifa ya ofisi ya Chadema kuchomwa moto huko Tunduma. Naomba niyajadili yote kwa pamoja na kwa ufupi.
Pamekuwa na tuhuma na kuandikiana barua na kujibishana kati ya Chadema na...
Baada ya kuonaa Waziri Mkuu akitua katika kiwanja cha kimataifa cha Chato kufunga kongamano la vijana nimekumbuka ziara za Marais awamu aliyopita huko Chato
Bila shaka tunakumbuka kuwa awamu iliyopita Chato ilipokea marais na wageni mashuhuri kadhaa waliokuwa wakikutana ma mwenyeji wao Hayati...
Kwenye kuhesabu kilometers na mileage za kila mkoa Kuna zero na hapo kwenye zero ndio huanzia sifuri ya mkoa kwenda mikoa mingine Sasa kwa morogoro Kuna alama iliwekwa na mjerumani je Nani anajua ilipo?
Mimi naifahamu barabara kwa anaeijua aseme! Na kwenye Uzi huu kila mtu ataje zero point ya...
Hivi nyie wenye marafiki ambao mnatembeleana na kukutana physically weekend mnawapata wapi?
Mbona mi niko mwenyewe sana Yaani weekend nazichukia bora weekdays nikiwa kazini muda unaenda ila weekend niko mwenyewe kama zombie.
Nijichanganye wapi na mimi nijuane ata na washkaji wawili watatu...
Uzi huu unalenga kuwasaidia vijana ambao hawajui wapite wapi na wapi ili wafikie ndoto zao, jieleze kwa kina toka mwanzo ulipoanza haso zako, kipindi ambacho ulikuwa huna hata pesa ya kula, haso ulizopitia, huku ukionyesha njia na biashara unayofanya sasa, changamoto zake, ilikuwasaidia wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.