Ferruccio Lamborghini

JF-Expert Member
Apr 15, 2020
1,664
2,517
TUNAFAHAMU kwamba katika ukanda wa Afrika, nchi ya Tanzania ndio ilikuwa inaongoza kwa kuwa na bei rahisi za mabando ya simu kuliko nchi yoyote hapa Afrika (Sub Saharan).

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-1


Jambo hili liligeuka kuwa silaha kwa tasnia yetu ya muziki wa Bongo Fleva katika sura ya Bara la Afrika, ilikuwa rahisi sana Msaga Sumu kugonga views milioni kuliko msanii wa Afrika Kusini, Kenya, Ghana, Zambia, n.k kupata hata robo ya hizo views.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-2


Views zilikuwa ni silaha yetu, ziifanya hata watu wa mataifa mengine kuanza kutufatilia, hata kwenye tuzo za kimataifa hizo views zilikuwa na uzito wake.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-3

Ukija pia kwenye platform za kusikiliza miziki kupitia Boomplay na Audiomac nako pia tulikuwa tunakimbiza maana internet ilikuwa bei rahisi. Lakini mambo yamebadilika sasa, tangu wiki iliyopita kumekuwa na mabadiliko makubwa sana kwenye mtandao wa YouTube.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-4

YouTube, hali ni mbaya, hata Lavalava aliekuwa havumi sana ilikuwa kawaida kupata views laki 4 ndani ya siku lakini hadi sasa ana views kupata views 252K na hizi huenda nyingi ni za mashabiki namba 2 wa bongo fleva kutoka Kenya.
7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-5


Maua Sama nae ngoma yake ipo trending number 1, tulizoea ngoma kishika usukani basi kwenye siku ya 4 itakuwa na views walaki laki 7 mpaka milioni 2, lakini cha kushangaza hadi sasa ni views laki 2 tu nazo si ajabu zikiwa nyingi kutoka kenya.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-6

Malkia wa Wasafi, Zuchu nae naona upepo umemwendea ndivyo sivyo, video ina wiki ila ni views laki 745 tu, kiukweli Zuchu ilibidi hapa awe na views hata milioni 2 au 3, hapa napo wakenya wamehusika sana.

Kiufupi tutarajie anguko la kazi za wasanii kwenye online platforms, mabando kwa sasa mtu anaingia YouTube kwa machale sana, ni heri aingiziwe video kwenye simu yake huko vibandani. Kwa kipindi hiki mashabiki wa Kenya huenda watajaza views zaidi kuliko Watanzania.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-7

Kwa sasa nadhani wa nigeria wamefurahia sana hili suala, na pengine kabla mwaka haujaisha mabando yatapandishwa tena na huu utakuwa msumari wamoto kwenye upande wa YouTube views.

Upande mwingine najaribu kujiuliza, au wameacha kununua views ndio maana wanapata views wa kawaida? Hata zile stori za kwamba mimi nimeibiwa views na upande wa pili hazisikiki….. Bado sina majibu, nisaidie na wewe mawazo yako.


©GP
 
TUNAFAHAMU kwamba katika ukanda wa Afrika, nchi ya Tanzania ndio ilikuwa inaongoza kwa kuwa na bei rahisi za mabando ya simu kuliko nchi yoyote hapa Afrika (Sub Saharan).

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-1


Jambo hili liligeuka kuwa silaha kwa tasnia yetu ya muziki wa Bongo Fleva katika sura ya Bara la Afrika, ilikuwa rahisi sana Msaga Sumu kugonga views milioni kuliko msanii wa Afrika Kusini, Kenya, Ghana, Zambia, n.k kupata hata robo ya hizo views.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-2


Views zilikuwa ni silaha yetu, ziifanya hata watu wa mataifa mengine kuanza kutufatilia, hata kwenye tuzo za kimataifa hizo views zilikuwa na uzito wake.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-3

Ukija pia kwenye platform za kusikiliza miziki kupitia Boomplay na Audiomac nako pia tulikuwa tunakimbiza maana internet ilikuwa bei rahisi. Lakini mambo yamebadilika sasa, tangu wiki iliyopita kumekuwa na mabadiliko makubwa sana kwenye mtandao wa YouTube.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-4

YouTube, hali ni mbaya, hata Lavalava aliekuwa havumi sana ilikuwa kawaida kupata views laki 4 ndani ya siku lakini hadi sasa ana views kupata views 252K na hizi huenda nyingi ni za mashabiki namba 2 wa bongo fleva kutoka Kenya.
7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-5


Maua Sama nae ngoma yake ipo trending number 1, tulizoea ngoma kishika usukani basi kwenye siku ya 4 itakuwa na views walaki laki 7 mpaka milioni 2, lakini cha kushangaza hadi sasa ni views laki 2 tu nazo si ajabu zikiwa nyingi kutoka kenya.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-6

Malkia wa Wasafi, Zuchu nae naona upepo umemwendea ndivyo sivyo, video ina wiki ila ni views laki 745 tu, kiukweli Zuchu ilibidi hapa awe na views hata milioni 2 au 3, hapa napo wakenya wamehusika sana.

Kiufupi tutarajie anguko la kazi za wasanii kwenye online platforms, mabando kwa sasa mtu anaingia YouTube kwa machale sana, ni heri aingiziwe video kwenye simu yake huko vibandani. Kwa kipindi hiki mashabiki wa Kenya huenda watajaza views zaidi kuliko Watanzania.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-7

Kwa sasa nadhani wa nigeria wamefurahia sana hili suala, na pengine kabla mwaka haujaisha mabando yatapandishwa tena na huu utakuwa msumari wamoto kwenye upande wa YouTube views.

Upande mwingine najaribu kujiuliza, au wameacha kununua views ndio maana wanapata views wa kawaida? Hata zile stori za kwamba mimi nimeibiwa views na upande wa pili hazisikiki….. Bado sina majibu, nisaidie na wewe mawazo yako.


GP
Ni huzuni mkuu
 
TUNAFAHAMU kwamba katika ukanda wa Afrika, nchi ya Tanzania ndio ilikuwa inaongoza kwa kuwa na bei rahisi za mabando ya simu kuliko nchi yoyote hapa Afrika (Sub Saharan).

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-1
Hii ni audio.

Kwa kawaida audii huwa hazipati views nyingi.
Jambo hili liligeuka kuwa silaha kwa tasnia yetu ya muziki wa Bongo Fleva katika sura ya Bara la Afrika, ilikuwa rahisi sana Msaga Sumu kugonga views milioni kuliko msanii wa Afrika Kusini, Kenya, Ghana, Zambia, n.k kupata hata robo ya hizo views.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-2
Hiki kipande cha wimbo hakipo kwenye akaunti rasmi ya Harmonize.

Jifunzeni kuangalia vyanzo vyenu vya taarifa maana taarifa nyingi za bongo siku hizi ni fake.

Nyie ndio huwa mnaangalia taarifa za uzushi kutoka kwenye akaunti yoyote YouTube halafu mnakusanya wajinga mtaani, mnaanza kuwasimulia.
Views zilikuwa ni silaha yetu, ziifanya hata watu wa mataifa mengine kuanza kutufatilia, hata kwenye tuzo za kimataifa hizo views zilikuwa na uzito wake.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-3

Ukija pia kwenye platform za kusikiliza miziki kupitia Boomplay na Audiomac nako pia tulikuwa tunakimbiza maana internet ilikuwa bei rahisi. Lakini mambo yamebadilika sasa, tangu wiki iliyopita kumekuwa na mabadiliko makubwa sana kwenye mtandao wa YouTube.
Zuchu mara nyingi huwa anategemea "promo kubwa" sasa yawezekana kwasababu wimbo wenyewe kafanya na Spice Diana kundi lake wameutelekeza.
7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-4

YouTube, hali ni mbaya, hata Lavalava aliekuwa havumi sana ilikuwa kawaida kupata views laki 4 ndani ya siku lakini hadi sasa ana views kupata views 252K na hizi huenda nyingi ni za mashabiki namba 2 wa bongo fleva kutoka Kenya.
Lavalava hizo ndio views zake. Sioni tofauti.
7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-5


Maua Sama nae ngoma yake ipo trending number 1, tulizoea ngoma kishika usukani basi kwenye siku ya 4 itakuwa na views walaki laki 7 mpaka milioni 2, lakini cha kushangaza hadi sasa ni views laki 2 tu nazo si ajabu zikiwa nyingi kutoka kenya.
Hata Maua ngoma zake nyingi huwa hazipatai views wengi kwa pamoja. Hivyo sioni tofauti
Alikiba katoa Album nzima. Kwahiyo usitegemee atapata views wengi kama angetoa single.
Malkia wa Wasafi, Zuchu nae naona upepo umemwendea ndivyo sivyo, video ina wiki ila ni views laki 745 tu, kiukweli Zuchu ilibidi hapa awe na views hata milioni 2 au 3, hapa napo wakenya wamehusika sana.

Kiufupi tutarajie anguko la kazi za wasanii kwenye online platforms, mabando kwa sasa mtu anaingia YouTube kwa machale sana, ni heri aingiziwe video kwenye simu yake huko vibandani. Kwa kipindi hiki mashabiki wa Kenya huenda watajaza views zaidi kuliko Watanzania.

7b0c73f5d1aefa94d09f5105fbf86e27-7

Kwa sasa nadhani wa nigeria wamefurahia sana hili suala, na pengine kabla mwaka haujaisha mabando yatapandishwa tena na huu utakuwa msumari wamoto kwenye upande wa YouTube views.

Upande mwingine najaribu kujiuliza, au wameacha kununua views ndio maana wanapata views wa kawaida? Hata zile stori za kwamba mimi nimeibiwa views na upande wa pili hazisikiki….. Bado sina majibu, nisaidie na wewe mawazo yako.


©GP
Njia pekee na rahisi ya kuthi itisha madai yako ni pale ambapo wasanii wakubwa watatoa SINGLE zao chini ya promo wanazofanya kawaida halafu tuone viwes ziwe chache.
 
Huko youtube labda kuwe na kitu cha maana sana, sio miziki kwakweli.

Kuhusu miziki itabidi niwe naiangalia kwenye TBC au Wasafi tv, ila pia tutakuwa tunahamishiana kwenye memori kadi na flash kama zamani.

Wasanii wa Nigeria watatuburuza sana, Tumewapa points za kutosha.

Sio kwamba kusema pesa haipo, La hasha, hizi bei ni za kinyonyaji na kutukomoa, Tcra walishasema mabando hayatapanda mpaka wao wenyewe watoe tamko ila mabando yamepandiahwa kijangili, Ntanunua bando la kuperuzi jf, whatsapp, twitter, n.k huko youtube tayari kuna kingamuzi 😂😂
 
Huko youtube labda kuwe na kitu cha maana sana, sio miziki kwakweli.

Kuhusu miziki itabidi niwe naiangalia kwenye TBC au Wasafi tv, ila pia tutakuwa tunahamishiana kwenye memori kadi na flash kama zamani.

Wasanii wa Nigeria watatuburuza sana, Tumewapa points za kutosha.

Sio kwamba kusema pesa haipo, La hasha, hizi bei ni za kinyonyaji na kutukomoa, Tcra walishasema mabando hayatapanda mpaka wao wenyewe watoe tamko ila mabando yamepandiahwa kijangili, Ntanunua bando la kuperuzi jf, whatsapp, twitter, n.k huko youtube tayari kuna kingamuzi

 
Back
Top Bottom