DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,503
- 1,906
Jana katika mizunguko yangu nilienda sehemu kupata chakula kidogo kukawa kuna wadada wanabishana kuhusu jambo moja.
Kati ya mwanaume mvuta bangi na mnywa pombe yupi ana afadhali ikiwa wote wanajiheshimu..
Je, wanawake wa humu JF swali langu ni bora uwe na mahusiano na mwanaume anaekula bangi au anaekunywa pombe ila condition ni moja wote wanajiheshimu?
Kati ya mwanaume mvuta bangi na mnywa pombe yupi ana afadhali ikiwa wote wanajiheshimu..
Je, wanawake wa humu JF swali langu ni bora uwe na mahusiano na mwanaume anaekula bangi au anaekunywa pombe ila condition ni moja wote wanajiheshimu?