demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Tangu june 2019 mpaka hivi sasa.
Nadhani unaweza kuniita player, ila kusema ukwel warembo wengi wanavutiwa na mimi. Mimi ni mtu wa viwanja sana, hivyo kwa kawaida napata one night stand si chini ya mara moja kwa wiki na warembo ninawadaka sehemu mbalimbali. Yafuatayo ni baadhi niliyojifunza kuhusu wanawake ndani ya mwaka mmoja.
- Hawa wenzetu wana hamu (genye) mara 2 zaidi yetu sisi. wanapenda migegedo mara nyingi iwezekanavyo. nadhani weng wao wako addicted na migegedo.
- Wengi wao walio wazuri kimuonekano hawana akili za kutosha. huwa wanawachukulia wanaume kama mashine za kuwagegeda tu. hawawachukulii wanaume kama watu wa kujihusisha nao kwenye mahusiano ya muda mrefu.
- Uso wako sio jambo la muhumu, lakini muonekano wako wa mwil una mata sana. Ni viumbe vipendavyo kuzingatia muonekano hivyo basi ukiwa na mwili uliojikata vyema unauwezekano mkubwa wa kuwachota. Asilimia 70 ya warembo ninlio gegeda wamesifia muonekano wangu wa mwili.
- Nguo/Mavazi hayajalishi. Pisi kali ambazo nimegegeda nilizidaka nikiwa na mavazi ya kawaida sana.
- Kama wewe unajijua ni mfupi na una sura mbaya wala usijalibu klwenda maeneo ya viwanja kama vile klabu etc kwa sababu uwepo wa mtu kama mimi utakufanya usionekane kabisa na wala kuzingatiwa kabisa na pisi kali.
Jinsi nilivyo:-
Urefu 5'8
Rangi Maji ya kunde
Tabia Mchangamfu wastani.
Kpato Wastani sana yaani.
-
Nadhani unaweza kuniita player, ila kusema ukwel warembo wengi wanavutiwa na mimi. Mimi ni mtu wa viwanja sana, hivyo kwa kawaida napata one night stand si chini ya mara moja kwa wiki na warembo ninawadaka sehemu mbalimbali. Yafuatayo ni baadhi niliyojifunza kuhusu wanawake ndani ya mwaka mmoja.
- Hawa wenzetu wana hamu (genye) mara 2 zaidi yetu sisi. wanapenda migegedo mara nyingi iwezekanavyo. nadhani weng wao wako addicted na migegedo.
- Wengi wao walio wazuri kimuonekano hawana akili za kutosha. huwa wanawachukulia wanaume kama mashine za kuwagegeda tu. hawawachukulii wanaume kama watu wa kujihusisha nao kwenye mahusiano ya muda mrefu.
- Uso wako sio jambo la muhumu, lakini muonekano wako wa mwil una mata sana. Ni viumbe vipendavyo kuzingatia muonekano hivyo basi ukiwa na mwili uliojikata vyema unauwezekano mkubwa wa kuwachota. Asilimia 70 ya warembo ninlio gegeda wamesifia muonekano wangu wa mwili.
- Nguo/Mavazi hayajalishi. Pisi kali ambazo nimegegeda nilizidaka nikiwa na mavazi ya kawaida sana.
- Kama wewe unajijua ni mfupi na una sura mbaya wala usijalibu klwenda maeneo ya viwanja kama vile klabu etc kwa sababu uwepo wa mtu kama mimi utakufanya usionekane kabisa na wala kuzingatiwa kabisa na pisi kali.
Jinsi nilivyo:-
Urefu 5'8
Rangi Maji ya kunde
Tabia Mchangamfu wastani.
Kpato Wastani sana yaani.
-