BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,211
- 39,033
Wanawake wa Bongo bhana wa ajabu sana yaani wanashoboka sana kwa Waarabu. Mimi nawaona sana hasa tukiwa batani yaani unaweza mfata akakudharau akienda Mwarabu tu hta kama choka mbaya kashajaa.
Dada zetu Waarabu wana wapa nini?
Dada zetu Waarabu wana wapa nini?