Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Habari,
Nimekuwa nafatilia mada za huyu dada muda wote amekuwa mtu wa kulaumu wanawake kupigwa na waume zao je amewahi jiuliza changamoto ni nini Mpk wapate vipigo?
Wakati flani wanawake wanakera na kuudhi sanaaa wapo wanaowanyanyasa sana waume zao walalamike wapi?
Wanaume wasioweza kusema mara zote hukimbilia kupiga kama sehemu ya kupunguza hasira.
Sasa huyu Dada muda wote ni wanaume wamefanya hivi mara wameua mara sijui ikoje sasa fatilia kwa makini yapo matukio kibao mabaya ya kutisha ambayo wanawake wanawafanyia wanaume na hayasemwi popote.
Tuache porojo za kwenye mitandao kwenye Ndoa au mahusiano kila mmoja atimize wajibu wake ipasavyo kwisha.
Asante
Nimekuwa nafatilia mada za huyu dada muda wote amekuwa mtu wa kulaumu wanawake kupigwa na waume zao je amewahi jiuliza changamoto ni nini Mpk wapate vipigo?
Wakati flani wanawake wanakera na kuudhi sanaaa wapo wanaowanyanyasa sana waume zao walalamike wapi?
Wanaume wasioweza kusema mara zote hukimbilia kupiga kama sehemu ya kupunguza hasira.
Sasa huyu Dada muda wote ni wanaume wamefanya hivi mara wameua mara sijui ikoje sasa fatilia kwa makini yapo matukio kibao mabaya ya kutisha ambayo wanawake wanawafanyia wanaume na hayasemwi popote.
Tuache porojo za kwenye mitandao kwenye Ndoa au mahusiano kila mmoja atimize wajibu wake ipasavyo kwisha.
Asante