William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Nasoma posti zake kupitia wanawake live fb. Anaposti kila uchwao story za wanawake wanasemekana kuteswa katika ndoa zao na kuamua kuachika kabisa.
Pamoja na kubainisha malengo yake ni kupigania haki za wanawake, kuwainua kiuchumi nakuwatetea Ila anachofanya Sasa kinaonekana wazi NI kujenga uadui Kati ya wanawake na waume zao.
Najua aliyopitia na huenda hayuko sawa kisaikolojia kuhusu ndoa. Akiwa na ushawishi wake anaenda kubomoa taifa. Mi namshauri Leo Tena humu JF.
Sawa sikatai pigania haki za akinadada wasinyanyasike. Lakini kwanini mwisho wa siku uhitimishe na kuachana?!! Huwezi pinga ukatili bila kuhimiza kuvunja ndoa za watu? Kila ndoa inachangamoto zake na inasemekana kiutafiti Hadi 40% ya wanaume hunyanyaswa kwenye ndoa zao na wanawake Ila hawasemi, huona aibu.
Unachokifanya ni utume wa shetani. Taifa ovu hutokana na familia mbovu au ukosefu wa familià.
Dadaangu omba Mungu akujalie upendo. Himiza upendo katika familia ili kupinga ukatili. Toa mifano ya familia Takatifu zinavyoishi kwa upendo na walivyoweza kuepuka manyanyaso na wanavyotafua changamoto zao.
Mungu alimpa Mariam Mama yake Yesu mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu. Lkn baada ya hapo akampa Mume wa kumsaidia kulea Mimba na mtoto. Kama mimba iliwezekana patikana bila Mume lkn Malezi bora bila familia Mungu hakuruhusu itokee kabisa. Yeyote apingae ndoa NI nabii wa shetani.
Tuko pamoja kupinga ukatili wa wanawake kwa njia Yoyote Ile lakini sio kuhimiza kuvunja ndoa za watu.
Pamoja na kubainisha malengo yake ni kupigania haki za wanawake, kuwainua kiuchumi nakuwatetea Ila anachofanya Sasa kinaonekana wazi NI kujenga uadui Kati ya wanawake na waume zao.
Najua aliyopitia na huenda hayuko sawa kisaikolojia kuhusu ndoa. Akiwa na ushawishi wake anaenda kubomoa taifa. Mi namshauri Leo Tena humu JF.
Sawa sikatai pigania haki za akinadada wasinyanyasike. Lakini kwanini mwisho wa siku uhitimishe na kuachana?!! Huwezi pinga ukatili bila kuhimiza kuvunja ndoa za watu? Kila ndoa inachangamoto zake na inasemekana kiutafiti Hadi 40% ya wanaume hunyanyaswa kwenye ndoa zao na wanawake Ila hawasemi, huona aibu.
Unachokifanya ni utume wa shetani. Taifa ovu hutokana na familia mbovu au ukosefu wa familià.
Dadaangu omba Mungu akujalie upendo. Himiza upendo katika familia ili kupinga ukatili. Toa mifano ya familia Takatifu zinavyoishi kwa upendo na walivyoweza kuepuka manyanyaso na wanavyotafua changamoto zao.
Mungu alimpa Mariam Mama yake Yesu mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu. Lkn baada ya hapo akampa Mume wa kumsaidia kulea Mimba na mtoto. Kama mimba iliwezekana patikana bila Mume lkn Malezi bora bila familia Mungu hakuruhusu itokee kabisa. Yeyote apingae ndoa NI nabii wa shetani.
Tuko pamoja kupinga ukatili wa wanawake kwa njia Yoyote Ile lakini sio kuhimiza kuvunja ndoa za watu.