wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Y

    Wanawake mnakosea sana

    Natumai muwazima wa afya tele wananzengo. Leo napenda kuwakumbusha kidogo wanawake walio katika ndoa. Wanawake wengi walio katika ndoa wakikosewa/kukosana na wenza wao mara nyingi hulipiza kisasi kwa kuwanyima papuchi. Kwa hili mnakosea sana coz ni ngumu sana kuyaishi maisha ya ndoa bila...
  2. Wazo la kabwela

    Maajabu ya mwanamke yaliyowashinda hata wanafalsafa kuelewa

    Ukinipinga pinga kwa hoja. Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level, kuwaelewa ni ishu iliyowashinda hata wana falsafa, Newton na uwezo wake wote linapokuja suala la wanawake lazima atoke kapa na (ndio maana haieleweki hata kama akioa). Manabii na...
  3. Sky Eclat

    Wanawake wa Afrika ni wepesi kubadilika na kuacha maadili ya asili kulingana na mazingira kuliko wanawake wa Kichina au Wahindi

    Katika mafundisho ya jamii, jamii za zetu zote zinamtaarisha mtoto wa kike kuwa mlezi wa familia. Kuondoka nyumbani kwa mtoto wa kike ni kukabidhiwa kwa mume. Mume huyu anakua ndiyo mtu wa kukulinda na wewe unategemewa umlee. Ujue chakula chake, usingizi wake na afya yake. Katika familia...
  4. Y

    Wanawake punguzeni uongo

    Natumai hamjambo wakuu Jana nikiwa katika harakati zangu za hapa na pale nilikutana na dada mmoja matata wa age ya 27-30, nikawa nimemwelewa sana nikaomba tubadilishane contact akakubali but alikuja nitibua nilipomuuliza ushadate na wangapi eti kwa umri huo ananijbu wawili, dah! alinikata stim...
  5. F

    Kwanini wanawake wa Kitanzania siku hizi wanamwita Zari the boss lady "Bibi Tukinao"?

    Halo JF celebrities. Nimekuwa nikiona mitandaoni, Zari The Boss Lady akiitwa Bi Tukinao! Wanaomwita hivyo ni wanawake. Sasa hili jina maana yake nini na kwanini kabatizwa hivyo?
  6. R

    Mshangao: Wanaume tuliooa wanawake wazuri tuna matatizo gani lakini?

    Ngoja leo tuongee na wanaume tuliooa wanawake wazuri kuona tunakwama wapi. Jana katika pita pita zangu mitaa ya kishua nikaibukia uswazi kwetu. Nikakutana na mwanadada Mashaallah analia huku akiongea kwa hasira akimtaja mtu mmoja kwa jina Mohamed. Alikuwa akipiga makelele Mohamed, Mohamed una...
  7. Thread Starter

    Wanawake, Perfect Guy (Man) wako ana sifa na vigezo vipi?

    Habari zenu wadau, wakubwa kwa wadogo... Natumai mko poa na mnaoumwa Mungu awajalie unafuu ikawe heri Naomba niende moja kwa moja kwenye mada Nina swali ambalo nahitaji majibu na ufafanuzi kutoka kwa watoto wa kike sanasana (wajuba wa kiume sio mbaya pia). Hii ishu imenitokea mimi kabisa...
  8. P

    Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

    Wanawake, mko nyuma ya keyboard. Tuambieni sisi waume zenu tujue, msituonee aibu. Tuchaneni kisawasawa, nini haswa kinawafanya mnachepuka nyie mlioolewa ama mlio kwenye mahusiano yanayotarajiwa kuzaa ndoa? Ama wale mnaokuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja, nini huwa chanzo? Wanaume, Leo...
  9. Y

    Sijui kwanini navichukia sana vitu vinavyopendwa na wanawake

    Natumai hamjambo wakuu. Wakuu nimejikuta nina huu ugonjwa ambao hata sijui umetokea wapi, yaani nimejikuta navichukia vitu karibia vyote vinavyopendwa na wadada, mfano viepe (chipsi), matumizi ya emoji na nk. Napovitumia najihisi kama nafanya mambo yakike. Je, hii ni hali ya kawaida au kuna...
  10. Mhafidhina

    Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

    Naomba kufahamu madhara yatokanayo na kuangalia picha/video za ngono kwa watu wa aina zote, Wanaume kwa Wanawake...! - Tatizo jingine la mdau wa JF. ========= MAONI NA USHAURI WA WANAJF 1. 2. 3.
  11. Sky Eclat

    Wanawake tuambizane unapomkamata mume wako na mwanamke mwingine unachukua hatua gani?

    Iwe na maneno uliyoyasikia kwa muda mrefu, leo unawakuta bar wakitafuna nyama choma. Kuna wake wa Mikocheni wanafikiria hajulikani Mbagala, mara unamuona mume wako na taulo kiunoni anatoka kuoga tena kwenye nyumba ya choo cha ushirika. Utachukua maamuzi gani?
  12. kibovu

    Wanawake wanapishana

    Igweeeeee, Wadau mambo vipi kiukweli ndugu zangu wanawake wanapishana masham sham baada ya kumgegeda bao la kwanza . Wadau sijui tatizo ni kwangu tu yaani kuna baazi ya wanawake nikimaliza kumgegeda bao la kwanza hata huwa sitaki kumuona natamani aondoke niendeleee kulala peke yangu tu na...
  13. Guacamole

    Unajua kwanini kozi ya uuguzi (Nursing) inaitwa kozi ya wanawake?

    Kama uliwahi kujiuliza hili swali, basi jibu lipo hapa.. Mambo yoote yanaanzia kwa huyu mwanamama anaekwenda kwa jina la Florence Nightingale. Huyu anatambulika kama muuguzi wa kwanza kabisa duniani na ndie mwasisi wa kozi ya uuguzi. Kwa wale wenzetu wa mambo ya uuguzi, jina hili sio geni...
  14. Tajiri Mapesa

    Hivi kwanini wanawake wengi ni wachawi?

    Habarini za leo wakuu, poleni na mihangaiko ya kila siku. Wakuu nina swali, ni topic ambayo naifanyia utafiti. Topic inasema hivi, "Hivi kwanini wanawake wengi ni wachawi?" Maana hata tukisimuliwa habari za kuloga lazima tutaambiwa mbibi fulani ndio ameroga. Tukisimuliwa habari za kuloga mume...
  15. gonamwitu

    Najisikia raha sana ninapowaumiza wanawake

    Ahlan wasalan wanajukwaa salamu nawasalimia, Linapokuja suala la mahusiano ya kimapenzi, mimi ni mmoja kati ya wanaume nilyeumizwa sana na wanawake imefikia stage nawachukia sana wanawake. Kutoka chini ya uvungu wa moyo wangu, kwa nia ya dhati kabisa nimedhamiria kuwaumiza wanawake na...
  16. Mtoto wa nzi

    Kuna wanawake wana moyo wa kuvumilia...

    Siku zote najinasibu ni mtu wa gambe, yes napiga tungi kwelikweli na hapa napost hii. Nimerudi nimemkuta mke wangu Muanglican anasali rosali. Nimefunguliwa na Dada Wa kazi, kanipakulia mke yupo tu chumbani. Naingia chumbani ananiambia “NAJUA UNA MTOTO NJE YA NDOA YETU, TUMEKAAA MIAKA MINNE...
  17. A

    Je, ni kweli baadhi ya wanawake/wanaume wana mikosi hapa Duniani?

    Salaam, Ni matumaini yangu makubwa kwamba wote tu wazima wa afya njema. Na kama kuna mtu anaumwa au afya yake imetetereka kidogo basi mwenyezi Mungu atakusimamia ili uweze kupona haraka na kuriudi katika hali yako ya kawaida. Kama kicha chwa huu uzi kimesemavyo ni kwamba nimekuwa nikisia watu...
  18. Chaliifrancisco

    Wanawake jifunzeni Uzazi wa Mpango halafu kuweni Wastaarabu

    Wakuu hata salamu sitaki maana nina moto mbayaa. Leo nilikua na kidate na manzi mmoja mtoto wa mashavuni nimemind flag long time kinyama ila ndio akawa anambwelesha kidizaini sema chalii ya bakta nikakaza niaje basi juzi kati tukapanga kuwa leo ndio tutakutana fasi za niaje tuendelee kuyajenga...
  19. J

    Hii ina ukweli wowote kwa Wanaume wa TZ na kwa wanawake je?

    Wanaume wa Tz hawakuambii it's over ila utapigwa matukio mpaka utakimbia mwenyewe.
  20. Analogia Malenga

    Tafiti: Wanawake ni wachache wanaojifunza 'Coding'

    FreeCodeCamp ni mmoja kati ya mtandao unaotoa elimu nyingi kuhusu kuandika ‘codes’ ili kutengeneza ‘projects’ mbalimbali ikiwemo kutengeneza ‘App’ za android, vikokotoo na tovuti Hivi karibuni wamefanya tafiti kwa watu 65,000 na mtokeo yalionyesha kuwa wanawake 7.7% walikuwa wanajifunza, wakati...
Back
Top Bottom