Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,997
- 173,638
Alot has been said multiple times ila imekuwa ni malumbano yasio na mwisho tu. Nimewaletea clip hii japo iwe funzo na muweze kuelewa kuwa nini hasa tunahitaji katika ndoa ili kujenga familia yenye amani na furaha.
Ni life experience ya ndoa na funzo toka kwa mwanamke ambaye aliolewa akaachika sababu ya kuendekeza upumbavu. Kuna la kujifunza before hamjajigeuza ma superwoman.
Ni life experience ya ndoa na funzo toka kwa mwanamke ambaye aliolewa akaachika sababu ya kuendekeza upumbavu. Kuna la kujifunza before hamjajigeuza ma superwoman.