johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,966
- 141,972
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema anatamani sana atakapostaafu kama mwenyekiti wa Chadema taifa basi mrithi wake atoke Bawacha.
Source Tanzania Daima
My take; Namuona Halima Mdee akiandaliwa fursa ya kuongoza Chadema
Maendeleo hayana vyama!
Source Tanzania Daima
My take; Namuona Halima Mdee akiandaliwa fursa ya kuongoza Chadema
Maendeleo hayana vyama!