Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.
Maandiko yaliwaonya ishini na wanawake kwa akili. Wanaume jueni haya juu ya wanawake ambayo hamyajui au mnayajua Ila hamtaki kukubali huu ndio ukweli.
1)wanawake baadhi sio wote wakipenda wanapenda kweli,wanauwezo wa kuwa na huyo mwanaume mmoja maisha yao yote ndani ya ndoa .Ila ni baadhi...
Mimi ni mkatoliki ila nakiri wazi kwamba nafurahishwa na namna waislam kwenye ibada zao na mazishini wanavyowatenga wanawake wake peke yao.
Yani nikiwaona wanawake wako nyuma wamekaa peke yao wamejifunika kanga au shungi au sisi wanaume tunapanda magari kwenda kuzika wao tunawaacha nyumbani...
Baadhi ya wanawake/kinadada ni janga. Unakutana na mwanamke kwenye daladala sjui ni wigi linatoa uvundo ama ni yeye mwenyewe basi ni karaha tupu.
Ukimuangalia usoni make up ya maana! Mkononi bonge la msimu hayo marashi ya kienyeji harufu yake inavyotoka hapo sasa.
Jamani hayo mawigi kama...
Wakuu kati ya maswali yanayogonga kichwa changu ni hili la kuhusiana na Wanawake Mbeya.
Nilienda Mbeya wakati wa rikizo, na nilipata kutembelea wilaya mbalimbali za Mbeya.
Nilichoshangaa kuona ni hiki, kila mwanamke niliye kua namwona alikua amebeba bonge la shepu nyuma lililo jazia.
Sasa...
Tangu june 2019 mpaka hivi sasa.
Nadhani unaweza kuniita player, ila kusema ukwel warembo wengi wanavutiwa na mimi. Mimi ni mtu wa viwanja sana, hivyo kwa kawaida napata one night stand si chini ya mara moja kwa wiki na warembo ninawadaka sehemu mbalimbali. Yafuatayo ni baadhi niliyojifunza...
Wakuu poleni na msiba.
Mimi ni Mkristo ilaa, navutiwa sana na wanawake wanaopenda kujisitiri miili yao, ndugu zetu waislamu dada zao wanajitahidi sana.
Unajua bwana heshima ya mwanamke ni kutunza mwili wake kwa mumewe tu, sasa hawa wakaa uchi wananikwaza mno.
Yaani dunia imegeuka mashindano...
Hii ishanitokea kwa wadada watatu tofauti, mdada anakutafta yeye mwenyewe, anakuja yeye mwenyewe, sio kwamba umemfata, na bando lake la simu anatumia kukupigia, tena mtu hauko sehem ya biashara, uko zako gheto, anakuomba muongee dili halafu anakupa ofa ya tsh laki 3, laki 5 au laki 2 kwenye dili...
Natumai hamjambo wakuu, japo tupo katika maombelezo ya kitaifa but mambo mengine hayana budi kuendelea.
Wakuu sio siri mimi ni mpenzi wa wanawake wenye chura, bt kuna mara chache hujichanganya kwa wadada wenye flat screen zao.
Aise! Nilichokigundua kwa hawa wadada wenye flat wana heshima ya...
Nachukia mwanamke wa kupendea mtu kisa ana pesa nachukia sana tena sana. yaani unapendwa sababu una hali bora,
Mwanamke wa hivi nawashauri wanaume muwe naye makini mimi binafsi inanitokea sana yaani kama nalala na bundi aiseee wanawake wote amna hata mmoja ambaye hajawahi kuniomba pesa at first...
Diva anasema "mwanamke hudatishwa na show za kibabe kunako 6*6 na sio pesa za mwanaume, anasisitiza kua pesa ni ziada tu katika mapenzi "
Je, ni kweli au anajitoa tu fahamu Diva
ACT wazalendo kuna wanawake wazuri, na hiyo rangi ya purple ndo kabisaa imewakoleza, si wamama watu wazima wala mabinti, wote wako bomba, si weusi wala wale weupe wote wanameremeta hatari, nimeshawishika kuchukua kadi, halafu ni wasafi sana kwa mtazamo, nadhani itakuwa ni moja ya sera yao...
Habari zenu wana Jamii Forums
Twende moja kwa moja kwenye mada, Vijana wa leo wamekuwa wakurupukaji na malimbukeni,kwenye swala kuoa
Wamejikuta wakioa watu wenye jinsia za kike na si wanawake, matokeo yake kuyumbishwa, kupelekeshwa na kurudishwa nyuma kiuchumi.
Wengi huendeshwa na tamaa na...
Wadau nimeona nijiajiri.kazi zimekuwa ngumu sana. Nikaangalia haya maisha na changamoto zake kuzigeuza kuwa fursa.
Nmepata wazo, kuna watu huwa mpaka wanaenda nje ya nchi kutaka pandikiza mimba.mimi naona hiyo ni gharama.
Nitakuwa tayari kuwapa mimba wanawake ambao wana uhitaji.bei...
Chama Cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimesema kuwa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu kumekuwa na mwamko zaidi kwa upande wa wanawake ndani ya chama hicho, ambapo kati ya watia nia ya Ubunge na Udiwani 160 nchi nzima zaidi ya watia nia 40 ni wanawake.
Hayo yameelezwa na...
Wanawake wa sasa hivi tofauti na zamani kabisaaa ladies of nowdays they don't cry after breakup, they behave like cashier in the bank "next person please🚶🙆♂️"
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya matokeo ya kura za maoni Ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.
SEGEREA
Jumla ya kura 144
Agness lambert 76
John Mrema 56
Masatu Wasira 7
Gango Kidera 3
Andrew 1
Kura zilizoharibika 1
BUNDA MJINI
Esther Bulaya ameshinda kura za maoni Bunda mjini kwa...
Wanawake ni watu wakuwaangalia kwa jicho la nyuma. Mimi nimeolewa nanina mume wangu tuko pamoja huu ni mwaka wapili tunakaribia .
Sisi tunafamily friends wetu kama nyumba 3 wote ni watu wanajiheshimu ila kuna huyu mama hana hata haya tukiwa gethering yeye humganda mume wangu nakuwa kama wake...
I wonder what kind of JUJU ,our grandfather's used to marry over five wives and live a peacful life.
Nowdays only one wife and a SIDE chick and you will have no peace.🙆♂️🙆♂️😅
Nimemuonea huruma sana huyu jamaa alichofanywa na huyu mwanamke wake wa zamani. Maneno aliyoambiwa nadhani yameacha vidonda vikubwa na kama akipona basi, itakuwa ni baada ya muda mrefu sana. Vijana wangu, sampuli za namna hii siyo nzuri kwa afya yako, zikimbie kila zinapojaribu kukukaribia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.