wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Wanaume jueni ukweli huu ya wanawake utawasaidia

    Maandiko yaliwaonya ishini na wanawake kwa akili. Wanaume jueni haya juu ya wanawake ambayo hamyajui au mnayajua Ila hamtaki kukubali huu ndio ukweli. 1)wanawake baadhi sio wote wakipenda wanapenda kweli,wanauwezo wa kuwa na huyo mwanaume mmoja maisha yao yote ndani ya ndoa .Ila ni baadhi...
  2. Superbug

    Nafurahishwa na namna wanawake wanavyotengwa na sisi wanaume misikitini na kwenye mazishi hujifanya nijione kidume

    Mimi ni mkatoliki ila nakiri wazi kwamba nafurahishwa na namna waislam kwenye ibada zao na mazishini wanavyowatenga wanawake wake peke yao. Yani nikiwaona wanawake wako nyuma wamekaa peke yao wamejifunika kanga au shungi au sisi wanaume tunapanda magari kwenda kuzika wao tunawaacha nyumbani...
  3. j wa nmb

    Duh! Kuna wanawake mnatia aibu jamani

    Baadhi ya wanawake/kinadada ni janga. Unakutana na mwanamke kwenye daladala sjui ni wigi linatoa uvundo ama ni yeye mwenyewe basi ni karaha tupu. Ukimuangalia usoni make up ya maana! Mkononi bonge la msimu hayo marashi ya kienyeji harufu yake inavyotoka hapo sasa. Jamani hayo mawigi kama...
  4. Meneja Wa Makampuni

    Kwanini Wanawake wa Mbeya wana mashepu?

    Wakuu kati ya maswali yanayogonga kichwa changu ni hili la kuhusiana na Wanawake Mbeya. Nilienda Mbeya wakati wa rikizo, na nilipata kutembelea wilaya mbalimbali za Mbeya. Nilichoshangaa kuona ni hiki, kila mwanamke niliye kua namwona alikua amebeba bonge la shepu nyuma lililo jazia. Sasa...
  5. demigod

    Nimetembea na wanawake 29 ndani ya mwaka mmoja

    Tangu june 2019 mpaka hivi sasa. Nadhani unaweza kuniita player, ila kusema ukwel warembo wengi wanavutiwa na mimi. Mimi ni mtu wa viwanja sana, hivyo kwa kawaida napata one night stand si chini ya mara moja kwa wiki na warembo ninawadaka sehemu mbalimbali. Yafuatayo ni baadhi niliyojifunza...
  6. Stroke

    Navutiwa sana na wanawake wanaojisitiri (kuvaa hijab)

    Wakuu poleni na msiba. Mimi ni Mkristo ilaa, navutiwa sana na wanawake wanaopenda kujisitiri miili yao, ndugu zetu waislamu dada zao wanajitahidi sana. Unajua bwana heshima ya mwanamke ni kutunza mwili wake kwa mumewe tu, sasa hawa wakaa uchi wananikwaza mno. Yaani dunia imegeuka mashindano...
  7. A

    Wanawake wengi wanapenda kuji-mwambafy kuwa wana hela nyingi, kumbe wanafeki maisha

    Hii ishanitokea kwa wadada watatu tofauti, mdada anakutafta yeye mwenyewe, anakuja yeye mwenyewe, sio kwamba umemfata, na bando lake la simu anatumia kukupigia, tena mtu hauko sehem ya biashara, uko zako gheto, anakuomba muongee dili halafu anakupa ofa ya tsh laki 3, laki 5 au laki 2 kwenye dili...
  8. Y

    Kwanini wanawake wasio na chura wana heshima sana?

    Natumai hamjambo wakuu, japo tupo katika maombelezo ya kitaifa but mambo mengine hayana budi kuendelea. Wakuu sio siri mimi ni mpenzi wa wanawake wenye chura, bt kuna mara chache hujichanganya kwa wadada wenye flat screen zao. Aise! Nilichokigundua kwa hawa wadada wenye flat wana heshima ya...
  9. King Loto

    Huwa sivutiwi na mwanamke mwenye hizi tabia

    Nachukia mwanamke wa kupendea mtu kisa ana pesa nachukia sana tena sana. yaani unapendwa sababu una hali bora, Mwanamke wa hivi nawashauri wanaume muwe naye makini mimi binafsi inanitokea sana yaani kama nalala na bundi aiseee wanawake wote amna hata mmoja ambaye hajawahi kuniomba pesa at first...
  10. Y

    Wanawake mnaisemeaje hii kauli ya Diva?

    Diva anasema "mwanamke hudatishwa na show za kibabe kunako 6*6 na sio pesa za mwanaume, anasisitiza kua pesa ni ziada tu katika mapenzi " Je, ni kweli au anajitoa tu fahamu Diva
  11. Kulupango

    Yote heri. ACT Wazalendo kuna wanawake wazuri hatari, na hiyo rangi ya purple imetiki

    ACT wazalendo kuna wanawake wazuri, na hiyo rangi ya purple ndo kabisaa imewakoleza, si wamama watu wazima wala mabinti, wote wako bomba, si weusi wala wale weupe wote wanameremeta hatari, nimeshawishika kuchukua kadi, halafu ni wasafi sana kwa mtazamo, nadhani itakuwa ni moja ya sera yao...
  12. kichomiz

    Vijana acheni kuoa watu wenye jinsia ya kike, oeni wanawake

    Habari zenu wana Jamii Forums Twende moja kwa moja kwenye mada, Vijana wa leo wamekuwa wakurupukaji na malimbukeni,kwenye swala kuoa Wamejikuta wakioa watu wenye jinsia za kike na si wanawake, matokeo yake kuyumbishwa, kupelekeshwa na kurudishwa nyuma kiuchumi. Wengi huendeshwa na tamaa na...
  13. Chizi Maarifa

    Kama kuna Wanawake wakali wanataka watoto hawajapata

    Wadau nimeona nijiajiri.kazi zimekuwa ngumu sana. Nikaangalia haya maisha na changamoto zake kuzigeuza kuwa fursa. Nmepata wazo, kuna watu huwa mpaka wanaenda nje ya nchi kutaka pandikiza mimba.mimi naona hiyo ni gharama. Nitakuwa tayari kuwapa mimba wanawake ambao wana uhitaji.bei...
  14. Suley2019

    GE2020 Queen Sendiga ajitokeza kuwania Urais wa JMT kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC)

    Chama Cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimesema kuwa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu kumekuwa na mwamko zaidi kwa upande wa wanawake ndani ya chama hicho, ambapo kati ya watia nia ya Ubunge na Udiwani 160 nchi nzima zaidi ya watia nia 40 ni wanawake. Hayo yameelezwa na...
  15. SumadaVinci

    Wanawake wa zama hizi hawalii mahusiano yakivunjika

    Wanawake wa sasa hivi tofauti na zamani kabisaaa ladies of nowdays they don't cry after breakup, they behave like cashier in the bank "next person please🚶🙆‍♂️"
  16. Roving Journalist

    GE2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

    Uzi huu ni maalum kwa ajili ya matokeo ya kura za maoni Ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo. SEGEREA Jumla ya kura 144 Agness lambert 76 John Mrema 56 Masatu Wasira 7 Gango Kidera 3 Andrew 1 Kura zilizoharibika 1 BUNDA MJINI Esther Bulaya ameshinda kura za maoni Bunda mjini kwa...
  17. katoto kazuri

    Hivi wanawake mna nini?

    Wanawake ni watu wakuwaangalia kwa jicho la nyuma. Mimi nimeolewa nanina mume wangu tuko pamoja huu ni mwaka wapili tunakaribia . Sisi tunafamily friends wetu kama nyumba 3 wote ni watu wanajiheshimu ila kuna huyu mama hana hata haya tukiwa gethering yeye humganda mume wangu nakuwa kama wake...
  18. SumadaVinci

    Babu zetu walitumia dawa gani kwa wanawake?

    I wonder what kind of JUJU ,our grandfather's used to marry over five wives and live a peacful life. Nowdays only one wife and a SIDE chick and you will have no peace.🙆‍♂️🙆‍♂️😅
  19. MALCOM LUMUMBA

    Hivi humu JamiiForums kuna wanawake wenye roho mbaya kama huyu?

    Nimemuonea huruma sana huyu jamaa alichofanywa na huyu mwanamke wake wa zamani. Maneno aliyoambiwa nadhani yameacha vidonda vikubwa na kama akipona basi, itakuwa ni baada ya muda mrefu sana. Vijana wangu, sampuli za namna hii siyo nzuri kwa afya yako, zikimbie kila zinapojaribu kukukaribia.
Back
Top Bottom