Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Kwanza kabisa sikubali mchakato wa Uchaguzi wala matokeo! Ule haukuwa Uchaguzi bali uteuzi
Pamoja na hayo, nashauri chama changu pendwa CHADEMA tumuache mbunge wetu wa Nkasi, Idah, anendeleena ubunge. Pili Halima Mdee, Bulaya, na wanawake wote wa Viti Maalum waende Bungeni, kwa masilai ya taifa na chama pia. Tusikubali kuwaachia CCM Bunge peke yao.
Faida za chama ni kuwa na insiders wetu mle bungeni, ambao watatupenyezea ya kule na watapeleka ya kwetu hata kama yatakataliwa. Pia kuna ile milioni 1 kwa mwezi, Siyo mbaya tukiipokea! Siyo swala la kujali pesa, ni kwamba kiukweli pesa inatakiwa!
Mimi naipenda CHADEMA na napenda mabadiliko, lakini wamama waende kwanza bungeni wakati harakati zingine zina endelea!
Pamoja na hayo, nashauri chama changu pendwa CHADEMA tumuache mbunge wetu wa Nkasi, Idah, anendeleena ubunge. Pili Halima Mdee, Bulaya, na wanawake wote wa Viti Maalum waende Bungeni, kwa masilai ya taifa na chama pia. Tusikubali kuwaachia CCM Bunge peke yao.
Faida za chama ni kuwa na insiders wetu mle bungeni, ambao watatupenyezea ya kule na watapeleka ya kwetu hata kama yatakataliwa. Pia kuna ile milioni 1 kwa mwezi, Siyo mbaya tukiipokea! Siyo swala la kujali pesa, ni kwamba kiukweli pesa inatakiwa!
Mimi naipenda CHADEMA na napenda mabadiliko, lakini wamama waende kwanza bungeni wakati harakati zingine zina endelea!