Kila binadamu unayemuona ni juhudi za mwanaume kutongoza hadi mwanamke akakubali, kutekeleza tendo la uzalishaji.
Kiasili mwanaume ndiye anayeanzisha mbio za utekelezaji wa Jambo hilo(kushawishi/kutongozwa n.k),
Mwanamke yeye hukimbia (kukataa),inampasa mwanaume ajitahidi kufukuzia...