wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. johnsonmgaya

    Tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa wanaume: Fahamu chanzo chake na namna ya kutibu tatizo hili

    MASWALI YALIYOULIZWA NA BAADHI YA WADAU KUHUSU TATIZO HILI --- UFAFANUZI NA USHAURI ULIOTOLEWA NA WADAU Pre mature ejaculation ni nini? Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake. Tatizo hili...
  2. Goliath mfalamagoha

    Kwanini wanaume hulala baada ya tendo la ndoa?

    KWA NINI WANAUME HULALA BAADA YA TENDO LA NDOA? Utafiti wa jarida la Sayansi ya Mishipa ya Fahamu na Tabia uliochapishwa mwaka 2012 umebaini kuwa, dawa za usingizi hufanya kazi sawa na tendo la ndoa kwa wanaume. Eneo la mbele la ubongo ‘pre –frontal cortex’, ambalo linahusiana na ufahamu...
  3. and 998 others

    Wanaume wa kiluguru tunadharaulika sana

    Imekuwa sasa desturi kwa jamii kwa ujumla hasa wanawake wa Kanda ya Kaskazini (Kilimanjaro, Manyara na Arusha) kuonyesha dharau za waziwazi kwa sisi Waluguru eti kisa kimo/height yetu kwa taarifa tu sisi Waluguru ni watu wenye mapenzi ya dhati na ni watundu sana kitandani hakika ukipata mluguru...
  4. C

    Wanaume waheshimiwe milele

    Mungu awape maisha marefu wanaume wote duniani... Wanaume wana roho nzurii jamani.... Nianze na mwanaume mwenye familia yani kaoa...yeye anaenda kazini anamwacha mwanamke amelala anachomeka na jua mwanamke anashinda anaangalia season, mwanaume akirudi hela ni za familia sio zake tena...
  5. C.T.U

    Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

    Naomba mnisaidie hapa wapo ambao hupenda mwanaume anukie kiasi kwamba akiwa mbali unaeeza msikia ma akipita lazima ikae kwa muda mrefu ile harufu na wapo wanaoenda mwanaume anukiee kidogo yaani mpaka umkumbatie ndio utajua kuwa anan7kia. Wapo wengine wanaume wapaka body spray hawana nafasi...
  6. Teamo

    MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

    MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU: Salaam wakuu wangu! It's been long time since i posted a thread herein lakini haina mbaya kiviile manake makamanda mnawakilisha kama ilivyo ada! STRAIGHT TO THE TOPIC: Nimeangalia sana kwa uchunguzi wangu wa muda mrefu nikagundua kuwa: 1) Asilimia kubwa sana...
Back
Top Bottom