Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!!
Leo nilikuwa kwenye restaurant mojo nikiwa nimetulia .
Mara majamaa wawili wakaingia wakiwa na mke na watoto wawili..nahisi nimke wa mmoja wapo.
Mara wakaagiza msosi na juice,baada yakunywa juice kidogo mara jamaa akashauti hii juice sio nzuri..hata sisi tunatengeneza sio nzuri.
Nikawa najiuliza hivi anayepaswa kulalamika ni mwanamke au mwanaume.
Au ni sawa mwanaume kuanza kulalamika maeneo ya hotel kuliko mwanamke.
Ila ingekuwa mimi ningetulia alafu kama imenishinda naonja kidogo sana alafu tunaacha..hapo wao wenyewe wangepata jibu in action.
Leo nilikuwa kwenye restaurant mojo nikiwa nimetulia .
Mara majamaa wawili wakaingia wakiwa na mke na watoto wawili..nahisi nimke wa mmoja wapo.
Mara wakaagiza msosi na juice,baada yakunywa juice kidogo mara jamaa akashauti hii juice sio nzuri..hata sisi tunatengeneza sio nzuri.
Nikawa najiuliza hivi anayepaswa kulalamika ni mwanamke au mwanaume.
Au ni sawa mwanaume kuanza kulalamika maeneo ya hotel kuliko mwanamke.
Ila ingekuwa mimi ningetulia alafu kama imenishinda naonja kidogo sana alafu tunaacha..hapo wao wenyewe wangepata jibu in action.