wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wife anataka kunigeuza sex machine

    Oya, hivi kwa week inatakiwa kugegedana mara ngapi coz naona wife anataka kunifanya kuwa sex machine yake? Yaani kila akigeuka tu anataka mpini hajui kuwa me nakuwa nimechoka sometimes. Nifanyaje ili kumpunguza speed?
  2. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa Dar wanajua hivi ni vifaa vya ujenzi

  3. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake / Wanaume ambao ukishiriki nao tendo la ndoa 'mambo yako yanaenda vizuri zaidi'

    Wanawake / Wanaume ambao ukishiriki nao tendo la ndoa ‘mambo yako yanaenda vizuri zaidi’ ------------------ Habari wana JF? Najuwa kuna uzi unaofana na huu, lakini kwa heshima na taadhima nawaomba MODs wasiunganishe uzi huu huko. Kizazi hiki kipya cha JF tungependa kupata uzoefu wao kwa mada...
  4. Mkulungwa01

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mkiingia kwenye mahusiano na mabinti ambao hawajakomaa kiakili wanawatangaza utupu wenu

    Wazima wa afya? Natumai ni wazima, wakubwa zangu shikamoni, najua kuna wazee wa heshima humu. Katika kutoka kimapenzi na wasichana, na siku hizi vibinti vinakuwa vinahamasisha kuliko hata watu wazima, tafadhali naomba muwe makini... Kumbukeni hawa mabinti 17-21 hawana siri na hawajakomaa...
  5. Frumence M Kyauke

    JamiiForums Tanzania Tatizo la ulawiti laongezeka wanaume wakitajwa kuwa wahanga wakubwa

    Ripoti ya jeshi la polisi nchini inaonesha ongezeko la asilimia 25.95 la ukatili dhidi ya watoto. Katika mwaka 2021 visa 7388 viliripotiwa kote nchini tofauti na mwaka 2015 ambapo matukio 5,803 yaliripotiwa. Tatizo la watoto wengi hasa wa kiume kulawitiwa limekua kubwa pasipo kutajwa sababu...
  6. Frumence M Kyauke

    JamiiForums Tanzania Faida za tohara kwa wanaume

    Tohara ni muhimu sana katika afya ya mvulana yeyote yule, na ndiyo maana hata wizara ya afya ikaona ni vyema kuanzisha hata huduma ambayo itawafanya watu waweze kupewa huduma hiyo bure kwenye baadhi ya mikoa. Pasipo kupoteza muda naomba tukaangalie faida za tohara kiafya kama ifuatavyo; 1...
  7. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Maafisa Uhamiaji wa kike huongoza kutoa huduma nzuri zaidi ya Wanaume kwanini?

    Maafisa Uhamiaji wakike huongoza kutoa huduma nzuri zaidi ya Wanaume kwanini. Hili nimelionana nimeshuhudia Ma ofisini, Mipakani na Airports pia nimewasikiliza wenzangu wakizungumza pia kwamba wanawake ma Afisa uhamiaji ni wakarimu sana na wanakupokea vizuri mnazungumza kama kuna kitu hakija kaa...
  8. my name is my name

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume ngozi nyeupe wapo tofauti sana

    Kuna mkaka anatokea misri nilikua kwenye mahusano nae tulidumu miaka 3 halafu tukaachana. Tulivoachana atukuachana vizur lkn baadae tukayamaliza tukawa tunawasiliana km marafiki wa kawaida mpk sasa. Mara ya mwisho kuonana nae ilikua 2019 mwshoni. Tumeachana lakin kla mwaka ananitumia zawadi siku...
  9. osmaney

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli wanawake wanapenda 'sex' kuliko wanaume?

    Uzi mfupi, sitaki kukuchosha Habari wanaJamiiForum! Mara kadhaa nimekua nikikutana na hii kauli " wanawake wanapenda 'sex' kuliko wanaume" sema mara nyingi huwa hawajioneshi wakihofia wanaume tutawachukulia vibaya. Hivi kuna ukweli wowote hapo?
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni wengi kuliko wanaume ila kila mwanamke utakayekutana naye kuwa na mwanaume

    Naona hawa wafanya takwimu kujua idadi ya wanaume na wanawake kuna vitu wanakosea kukusanya haya maelezo. Idadi tunayo ambiwa ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume kama wanavosema. ila kila mwanamke unaye mtongoza lazama ana mahusiano au alikuwa na mtu!. Nauliza idadi ya wanawake ni wengi kuliko...
  11. IKIRIRI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu zinazowafanya Wanaume wengi wachelewe kurudi nyumbani

    1. Zamu ya kulea mtoto. 2. Makelele ya mama kwa watoto. 3. Kufokewa kwa binti wa kazi mda wote. 4. Kupekuliwa simu. 5. Kudaiwa pesa za matumizi mara kwa mara. Ongeza sababu zingine. Kama zipo
  12. sky soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Heshima, starehe, urijali, kipaumbele kwa wanaume ni ngono, kwa mwanamke ni nini?

    Katika maisha ya Mwanaume, hasa chini ya 35, Sex ni symbol yenye uzito mno. Hata akiwa fukara atapata ahueni kama anazo nguvu za kiume. Mwanaume akiwa na umbile dogo hata confidence inashuka, Akisifiwa ana perform vizuri, hio sifa kwake ni kubwa kuzidi pongezi atazopewa kuchangia harambee...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Ni kwa nini viongozi wanawake hawana ujasiri wa kutambulisha wenzi wao kama wafanyavyo wanaume?

    Nimeshuhudia viongozi wanaume huwatambulisha wenzi wao kwa ari na bashasha!! Hupenda kuwasifu na kuwatambulisha mbele za watu. Ila kwa upande wa viongozi wanawake walio wengi huwa hawapendi kutambulisha wenza wao na mara nyingi ni rahisi sana kumfahamu mke wa kiongozi fulani, ila kinyume...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Hakuna mwanaume Mgane. Wanaume tujipange

    HAKUNA MWANAUME MGANE"ALIYEFIWA NA MKE AU NA WATOTO: JIPANGE. Anaandika Robert Heriel. Andiko hili maneno yake yamepimwa yakathibitika. Ni amini na kweli. Sijaandika kumuumiza yeyote, wala kumfurahisha yeyote. Nimeandika haya Kwa ajili ya wanangu iwe wa kuwazaa mwenyewe au wakufikia, au...
  15. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Part 1:- Kwanini baadhi ya wanaume hushindwa kuota ndevu

    KWA NINI BAADHI YA WANAUME WANASHINDWA KUOTA NDEVU? Kulingana na tafiti mbalimbali, baadhi ya wanaume hupoteza mawiki kadhaa wakijaribu namna tofautitofauti za kuotesha ndevu katika sura zao, lakini zaidi wakipatacho ni vindevu kidogo tu na labda zikaota kimakundi makundi na zisizo na afya...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Angalizo muhimu sana kwa Wanaume

    Zamani (nadhani hata sasa), kupata mtoto first born dume, watu walikuwa wanafurahi sana. Mwanaume anatembea kifua mbele kila mtu ana-muadmire! Sasa dunia ilipofikia, first born ndiye mkuu wa nyumba, si baba. Nimeshangaa sana! Mtoto anadiriki kumwambia baba yake: "Aaa baba, na wewe umezidi...
  17. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania 1910 suti ya vipande vitatu na kofia ilikua ndiyo vazi la heshima kwa wanaume

    Ukitoka nje ya nyumba yako unakubalika katika jamii ukiwa na vazi hili. Kuvaa jeans na t-shirt ilionekana si ustaarabu.
  18. Zee Korofi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napendekeza wanaume tuanze kutoka na wanawake wa kishua

    Kutokana na dunia ya sasa ilivyo napendekeza wanaume tuanze kutoka na wanawake wa kishua au vipi? Wengi wana upendo wa kweli na nimeona hili. Kaka mkubwa Usangelola heshima yako! Nimeku+acknowledge!
  19. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza mwambia mume wako idadi ya wanaume ulio-jamiiana nao awali kabla ya yeye kukuoa?

    Mazoea ni kwamba, Ndoa za siku hizi zinavunjika mara tu baada ya kufungwa maana wanawake hawasemi idadi ya wanaume walio-fanyana nao ili mume mpya ajue reli anayopitia. Ni muhimu mwanamke kumwambia mwanaume idadi ya wanaume alio tembea nao ili mume mpya aongeze juhudi kitandani, maana kila...
  20. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya wanaume hamko serious, weekend outing na mpenzi wako unaishia kumnunulia maji ya Tsh. elfu 1 tu, kweli?

    Jumapili moja nilikuepo kwenye mgahawa mmoja hapa Dar, kiukweli ni mgahawa wenye hadhi kidogo (upo classic) mgahawa una ukuta wa kioo, ndani kiyoyozi plus tv Pana flat screen. Nilivokua nje ya mgahawa mara akaingia mdada mmoja mzuri kweli nikasema dooh. Mungu ni fundi ile nimeingia ndani mdada...
Back
Top Bottom