wana jf

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mchonde1212

    JamiiForums Tanzania Kati ya biashara ya vyakula na vinywaji baridi na vikali ipi inalipa?

    Wana JF naomba kuuliza kati ya biashara ya vyakula/nafaka na biashara ya vivywaji ipi inafaida zaidi
  2. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JF: Tuanzishe MaJukwaa Mapya 10 Yenye Impact Kutatua Changamoto za Wana JF na Jamii?. Wana JF Wenye Uwezo Tuwasaidie Wenzetu Nao WaWin au?

    Wana JF, Mwaka huu, JF tunatimiza miaka 20, niilishauri tufanye something big kuadhimisha miaka 20 ya JF ukiwemo ushauri huu Mwaka 2026 JF Inatimiza Miaka 20! Tuwakumbuke Wana JF wa Zamani, Tuwaenzi, Tuwarudishe, na Wale ma GT wa Enzi Zile Waurejeshe Moto Kama Ule au ..? Japo sijui jf kwa sasa...
  3. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Mashambulizi ya pamoja kati ya majeshi ya Nigeria na United States yameua wapiganaji 175 wa kundi la Islamic State

    Mashambulizi ya pamoja kati ya majeshi ya Nigeria na United States yameua wapiganaji 175 wa kundi la Islamic State, kwa mujibu wa taarifa ya majeshi ya nchi hizo iliyotolewa Jumanne. Mashambulizi hayo ya anga yaliyofanyika katika siku chache zilizopita kaskazini mashariki mwa Nigeria, pia...
  4. Stability

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo ninavyoweza kuwapa makundi wana JF

    😡SADISTS hawa wana msongo kutokana na mambo mengi hayajitiki, muda umewatupa mkono au juhudi zao haziendani na matunda yao. Kwao comments zao dakika 2 tu matusi hayo. 😶INTROVERTS AMBAO WAKIINGIA JF WANAKUWA EXTROVERT. hawa kila kitu humu wanachukulia personal sana lakini pia ni watu wa kupost...
  5. min -me

    JamiiForums Tanzania Kwa kilichotokea jana, nisameheni tu wana JF

    Jana nililewa kwa stress za kupoteza pesa. Kwenye reply zangu za jana nilikosea sana ni ulevi tu. Kweli nisameheni wale nilio wakera🙏
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania WanaJF wenye Access na DW Radio,msikose kusikiliza DW Radio leo Saa 12:00 Jioni,kuna uchambuzi Kamambe wa Ripoti ya Tume ya Jaji Chande!,Usikose!

    Wanabodi This is News Alert! Wale wana JF wenye access kusikiliza DW Radio,msikose kusikiliza DW Radio leo jioni kuanzia Saa 12:00 jioni,kuna uchambuzi kamambe wa mchambuzi mahiri,wakiichambua Ripoti ya Tume ya Jaji Chande!. https://youtube.com/shorts/kdSMhXXw9Ig?si=abT3oqW2IS3D8XMS DW...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Upandishwaji nauli kiholela jijini Arusha

    Habarini wanaJF, Mimi ni mfanyakazi katika jiji hili la Arusha,ninaishi maeneo ya sakina silent inn huku kazi nafanyia Sanawari. Hapo kabla hata ya mamlaka zinazohusika (LATRA)kupandisha nauli,watoa huduma hii ya usafirishaji yaani daladala ndani ya mkoa huu walikua tayari wamekwisha pandisha...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Heri ya sikukuu ya Pasaka wana JF

    Niwatakie heri ya sikukuu ya pasaka wana Jf wote , sijaona au labda sijatafuta Uzi wa sikukuu ya pasaka 2026 nimeona niandike kuwatakia wote Heri ya sikukuu ya pasaka Mwokozi amefufuka , tuyatende yaliyo mema ndugu zangu dhambi zetu zimechukuliwa kila tunapotubu
  9. VN Warehouse Limited

    JamiiForums Tanzania Kama unaona mimi ni bahili sana kwenye kutumia pesa zangu, nipe zako ntumie unavotaka

    Habari wana JF, Kuna tabia imekuwa ya kawaida siku hizi - mtu anakupangia jinsi ya kutumia pesa zako. Ukihifadhi, unasemwa ni bahili. Ukipanga bajeti, unasemwa huna moyo wa kutoa. Ukikataa matumizi yasiyo na mpango, unasemwa una roho ngumu. Lakini swali langu ni moja tu: Kama unaona mimi ni...
  10. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2026 JF Inatimiza Miaka 20! Tuwakumbuke Wana JF wa Zamani, Tuwaenzi, Tuwarudishe, na Wale ma GT wa Enzi Zile Waurejeshe Moto Kama Ule au ..?

    Wanabodi, Mwaka Huu 2026 JF Inatimiza Miaka 20!, tangu uwepo wake, tangu enzi zile za JamboForums. Pia soma Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF? Pia unaweza kujikumbusha Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa JamiiForums... Natoa wito, kwanza...
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania JamiiForums kuna wanawake wazuri sana, nimeshawahi kukutana na Wana JF warembo kuliko malaika, wazuri kuliko hela♥️😍

    It was not a date, just a few minutes meeting. Mara ghafla anatokea msichana , mdada, mzuri hadi naogopa, huyu ni jini au ni malaika? Otea alikuwa ni nani kati ya hawa? Miss Natafuta, Nakubusu , Evelyn Salt Jemima Mrembo, au @mamdenyi? Hapo hujakutana na FaizaFoxy, mtu mwenye maruhani wake...
  12. Poker

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF?

    Unakumbuka nini, tukio gani kila ukilikumbuka unaishia kucheka? Vipi JF imekuletea michongo gani na connection ipi! Umewahi kubahatika kuonana na member yoyote nje JF? Unahisi miaka ya sahivi na miaka ile kuna utofauti gani hapa jukwaani. Ulikuwa wapi kipindi kile ofisi za JF zinapigwa msako...
  13. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Tanzania Nicknames maarufu za wana JF

    HAYA LAND HOV manyaunyau GENTAMYCINE popoma Binti wa zamani bibi kizee cha tulin min -me bwashee ELI COHEN myahudi Lucas Mwashambwa chawa Mshana Jr mtaalam Shusha nyingine😁
  14. 4

    JamiiForums Tanzania Kwa neema ya bwana katika taifa la watekaji na wasaliti wa Taifa hili nipo salama, neema ya Bwana ikawe juu yenu wana jf

    Mwaka 2025 umeisha , ila hope utaanzia ulipoishia, vijana wangu Mungu awepe pumziko la milele pale mlipo ,na hukumu kwa mujibu ya matendo yenu hapa Duniani , najua niliwalea vizuri ,ila Mungu ndo anajua vizuri. Nami kama baba yenu , na familia mwaka huu ,tutazika nguo zenu kama ishara ya...
  15. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania HII NDIO SIKUKUU BORA KULIKO ZOTE, ZINAANZA NYINGINE THEN HII NDIO INAKUWA FUNGA KAZI. MERRY CHRISTMAS WANA JF

  16. P

    JamiiForums Tanzania Hodi Wana JF, Popobawa Nimefika na naomba mnipokee

    Wakuu mwaka Jana nilikuja kuomba kukaribishwa lakini nilikataliwa kutokana na jina 'popobawa', lakini Leo nasema Popobawa Nimefika na Sina Nia mbaya na members. Nikaribusheni popobawa.
  17. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kuna wana JF humu wanajitapa kama "GREAT THINKERS", ila ni wahanga wa itikadi ya kumezeshwa na kuletewa waliofanya izidi utashi na tafakuri yao

    Sina mengi ila nina mfano tu mdogo, Mtu anakuambia "mpige huyo mtoto mchanga" Kwa kawaida utashi uliozaliwa utakuambia hii sio vyema kabisa, tafakuri yako itasaidia usute nafsi yako thus utaacha kabisa kumpiga huyo mwana. Lakini kuna huyu "great thinker" nafsi itamsuta lakini ataanza kwa...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Wana JF naomba tusireply wala kujiengage na threads zozote za machawa

    Ndugu zangu wazalendo wa nchi hii, poleni na msiba mzito kwa kuondokewa na ndugu zetu waliouawa kinyama wakiwa wanapigania taifa lao. Baada ya huo utangulizi naomba tuzipuuzie nyuzi zote za machawa wanaokejeli na kudhihaki damu za ndugu zetu zilizomwagwa kwa kupambania rasilimali zetu. Hawa...
  19. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kwanini wana JF wengi hawapendi kuchangia nyuzi za kimombo?

    Nimekuwa nikifuatilia nyuzi nyingi za kimombo. Nimegundua kuwa hazina wachangiaji, na hivyo wasomaji. Je, tatizo ni lugha au kuna namna?
  20. Superbug

    JamiiForums Tanzania Ni vema Mshana Jr aache wosia JamiiForums akitangulia mbele ya haki ajulikane wazi

    Nashauri Mshana Jr akitangulia mbele ya haki tumjue mtu huyu muhimu Kwa hili jukwaa pendwa la JamiiForums. Nashauri aache wosia rasmi ili siku akitutoka basi tupate bahati ya kukijua hiki kichwa. Mshana Jr ana mchango MKUBWA mno kwa JamiiForums na maisha ya wana JamiiForums. Nyuzi zake ndio...
Back
Top Bottom