Goodluck Boaz
Member
- Feb 26, 2020
- 84
- 88
Msaada, samahani wana JF kama unaandika barua ya kuomba nafasi zilizotangazwa na chuo kikuu, mfano unaomba nafasi ya uhasibu katika XYZ university, barua utakayoandika utatakiwa kumuaddress HR ama Principal wa chuo?
Kuuliza si ujinga. Asante
Kuuliza si ujinga. Asante