Id yako ya zamani ni ipi?Nashukuru sana mkuu kwa kunikaribisha
Aah mkuu me sijawai kujiunga jf Ii ndo Id ang ya kwanza kutimia jfId yako ya zamani ni ipi?
Halafu kwanini haujaweka acc no ya benki na namba yako ya simu?
Haujui members wa Jf huwa wanalipwq kila mwisho wa week.
Kulipwa ni takwa la kisheria sio mapenzi binafsi.Aah mkuu me sijawai kujiunga jf Ii ndo Id ang ya kwanza kutimia jf
Af kuhusu kulipwa me jf nimejiunga ili nisiishi kinyonge na so kwajili ya kulipwa
Jinsi ni me au ke?Habari za j2 wakuu
Mm ni mwana chama mpya hapa JF ndo najiunga leo kwa mara ya kwanza japo kuwa nilianza kufatilia JF toka mwaka 2024 ila ilishindikana kujiunga coz nilikua natumia simu ndogo
Naombeni mnipokee wakuu nawakubali sana Wana JF
Well said!Karibu sana mkuu, humu JF kuna vyama tofauti tofauti, moja wapo ni Chaputa.
Kujiunga kwenye chama chetu tukufu, kuna kigezo kimoja chepesi Sana.
Kama upo chini ya miaka 18, unatakiwa uweze kupiga nyeto mara tano kwa siku.
Kama una miaka 18 - 50 unatakiwa uweze kupiga nyeto mara tatu mfululizo na mara 20 kwa siku.
Kama una miaka 50 na kuendelea unatakiwa uweze kupiga nyeto mara 10 kwa siku.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na katibu wetu Bw. secretarybird
Karibu Chaputa, okoa kibunda, jiepushe na magonjwa ya ngono, Linda afya yako.
Karibu sana AMANI YA BWANA IWE NAWEHabari za j2 wakuu
Mm ni mwana chama mpya hapa JF ndo najiunga leo kwa mara ya kwanza japo kuwa nilianza kufatilia JF toka mwaka 2024 ila ilishindikana kujiunga coz nilikua natumia simu ndogo
Naombeni mnipokee wakuu nawakubali sana Wana JF
kirefu cha chaputa ndo nini? Au mnamanisha chapter_suraWell said!
Natumai CHAPUTA ndiyo kimbilio lake.
Kamamhujui kirefu Cha CHAPUTA basi hata Rais wako wa awamu ya kwanza utakuwa humjui mkuu.kirefu cha chaputa ndo nini? Au mnamanisha chapter_sura
Imaonekana ni mubantu huyuKamamhujui kirefu Cha CHAPUTA basi hata Rais wako wa awamu ya kwanza utakuwa humjui mkuu.
Si mbantu, bali mxoisan.Imaonekana ni mubantu huyu
inasikitisha sana!Kamamhujui kirefu Cha CHAPUTA basi hata Rais wako wa awamu ya kwanza utakuwa humjui mkuu.