Taifa letu linapitia kipindi kigumu, kikiwa na changamoto nyingi — nyingine zikiwa hazijawahi kushuhudiwa tangu kupata uhuru. Majeraha haya ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa yanahitaji uponyaji wa pamoja, si maneno ya kutonesha vidonda
Ni kweli, kuna hali ya sintofahamu, lawama, na hisia mseto...