MUNGU ni mwema wakati wote

MUNGU ni mwema wakati wote

Marry Diana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,418
Reaction score
4,113
Shikamoon wakubwa zangu wote

Wadogo zangu hamjambo.

Leo ni siku nzuri Sana kwangu,

Si kwamba siku nyingine huwa mbaya,hapanaa,bali ni kwamba jambo likija wakati mzuri huwa moyo unafarijika.

Binadamu tunakosea,
Tunasameheana

Maria Mimi si mkamilifu Kwa mambo mengi,yapo nayofanya Kwa makusudi,lakini mengi nafanya Kwa bahati mbaya,Kwa kutokujua.

Lakiniiii leo,ni siku ambayo imeingia kwenye moja ya kumbukumbu zangu.

Maisha ni kuyafurahia na Nyakati nzuri zikija tuzifurahie, lakiniiii nyakati mbaya hutupa somo,na namna ya kujifunza na kutatua matatizo.

Jamiiforum inanifunza,na inanijenga,,hakika ni Elimu Dunia isiyohitaji gharama.

Comments nyingi zimekuwa ni zenye kunishambulia, lakini nimechukulia kama utani kwasababu kinachosemwa mara nyingi ni si kweli.

Jambo la kweli huuma,lakini Jambo la uongo ukizushiwa huuma zaidi,na hili limenitesa zaidi mwanzoni najiunga jamiiforum lakini nimezoea.
Binadamu ndivyo tulivyo.

Yote kwa yote,
Leo niko joy Sana ,pesa ni tamu nyie karibuni 🌹🌹🌹 matusi na kejeli sitaki tusiharibiane siku
 
Bora wewe uko na furaha mwenzio nimepigwa tukio ambalo moyo wangu umeumia mpaka natamani nimpasue mtu, city wangu hawezi kunifanyia upumbavu kiasi hicho nimeumia sana.
 
Shikamoon wakubwa zangu wote

Wadogo zangu hamjambo.

Leo ni siku nzuri Sana kwangu,

Si kwamba siku nyingine huwa mbaya,hapanaa,bali ni kwamba jambo likija wakati mzuri huwa moyo unafarijika.

Binadamu tunakosea,
Tunasameheana

Maria Mimi si mkamilifu Kwa mambo mengi,yapo nayofanya Kwa makusudi,lakini mengi nafanya Kwa bahati mbaya,Kwa kutokujua.

Lakiniiii leo,ni siku ambayo imeingia kwenye moja ya kumbukumbu zangu.

Maisha ni kuyafurahia na Nyakati nzuri zikija tuzifurahie, lakiniiii nyakati mbaya hutupa somo,na namna ya kujifunza na kutatua matatizo.

Jamiiforum inanifunza,na inanijenga,,hakika ni Elimu Dunia isiyohitaji gharama.

Comments nyingi zimekuwa ni zenye kunishambulia, lakini nimechukulia kama utani kwasababu kinachosemwa mara nyingi ni si kweli.

Jambo la kweli huuma,lakini Jambo la uongo ukizushiwa huuma zaidi,na hili limenitesa zaidi mwanzoni najiunga jamiiforum lakini nimezoea.
Binadamu ndivyo tulivyo.

Yote kwa yote,
Leo niko joy Sana ,pesa ni tamu nyie karibuni 🌹🌹🌹 matusi na kejeli sitaki tusiharibiane siku
Hasa zikiwa zako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom