Kutopewa mshahara Kwa wakati

Kutopewa mshahara Kwa wakati

Ndubu

New Member
Joined
May 12, 2026
Posts
1
Reaction score
0
Mimi ni mmoja wa wafanyakazi katika taasisis moja wapo inaratibiwa na HJFMRI hawa wamechelewesha mshahara ,

Mshahara wetu WA mwezi wa nne mpaka Leo hatujapata na tukijaribu kuuliza halmashauri ya mbeya inajibu payroll yetu ishawasilisha je hii ni haki , na kazi bado tunaendelea kufanya pasipo kulipwa sitahiki zetu za mwezi wa nne tunaomba utofikishie mamlaka husika na hata ongezeko la mshara tunazungushwa tukihoji hamna jibu wanalotupa
 
Back
Top Bottom