Developers na Wadau wengine, njooni muone.

mathsjery

JF-Expert Member
Sep 26, 2015
2,208
1,755
Mnalionaje hili?

kuna mtu alimfata Developer akamwambia kuwa ana idea waitengenezee software, Developer akamwuliza tafiti uliyofanya iko wapi?

MDAU AKABAKI ANANG'AANG'AAA MACHO TU BAADA YA MUDA AKAMJIBU ETI, BASI ACHA TU NITATAFUTA DEVELOPER MWINGINE WEWE UNA MAMBO MENGI.

Sasa mtu kama huyu ameulizwa swali badala ya kujibu ndio au sio anasema maneno kama hayo.

Kwa maneno kama hayo hapo
Je. nani mkosaji au kuna tatizo gani na liko upande wa nani na kwa sababu gani maana wameshindana kwa maneno hayo
 
IMG_20210814_175920.jpg

Developer mkali sana huyu. Wala hana maswali ya ajabuajabu
 
hapo cha msingi developer angemsikikiza client na kumpa bei. japo developing syatem without analysis ni mtihan.
 
Kwa upande wako mara tu ulivyompokea client wako baada ya kukuelezea yote visibility yako kwenye hiyo project unaionaje?
 
Kwa upande wako mara tu ulivyompokea client wako baada ya kukuelezea yote visibility yako kwenye hiyo project unaionaje?
Project inaweza zungumzwa na ukaieiewa ila shida inakuja kwenye outcome.


Namaanisha Kuna aina mbili za wateja iwapo zipo zingine sizifahamu, aina ya kwanza ni mteja ambaye tayari anapesa huyu atakuja anataka project wewe huwezi anza kucheki outcome bali anachoomba si kuna hela.

Ona huyu,

Aina ya pili ni yule mwenye idea ambaye anataka akitoka ndo akulipe sasa huyu unatakiwa kuwa mwangalifu ndio maana akamuuliza kuhusu research lakini inaonekana hakufanya kabisa na experience inasema you gonna die bro, yaani hakuna kinachoweza kukupa mkwanja hapa atleast akionyesha sample labda anaweza pata uhakika wa kula au lah.

Bahati mbaya sikufafanua kwa kina uzi wangu
 
muda mwengine inapaswa kujua kua ukiwa kama developer sio lazima kutaka kujua research ya muhusika ameifanyia wapi ila muda mwengine mwenye idea nae anaweza kuingizwa kwenye kundi la mjasiriamali kwani ni risk taker mara nyingi mimi mtu anaponiletea idea yake naweza kudevelop na ikitokea haijafanikiwa nakua sijapoteza kitu kwani hua napenda tu ku code nakujifunza vitu vipya saa nyengine tunatakiwa kurelate na vitu walivyofanya watu waliofanikiwa kupitia tasnia ya tehama wakiwemo watu mashuhuri kama wakina mark zuckerberg ambae alisema kwenye speech yake kua nanukuu facebook haikua program ya kwanza kutenegenza nilitengeneza game, library system na chat app lakin zote hizo hazikufanya vizuri mwisho wakunukuu. na pia steve jobs alivyoanza kuleta ushindani na billionare billgate kipindi hicho watu wote walikua wakitumia windows na ilionekana ni kazi sana kuwabadilisha lakini kutokana na uthubutu wake aliweza kufanikiwa nakua miongoni mwa watu walioleta megeuzi makubwa kwenye tasnia nzima ya tehama aliwahi kusema steve jobs nanukuu muda mwengine watu hawajui ni kitu gani wanakihitaji mpaka uwaonyeshe mwisho wakunukuu. hivyo napendekeza kuweza kutake risk hususa kwenye suala zima ambalo linagharimu tu muda wako lakini linaongeza knowledge yako
 
Mnalionaje hili?

kuna mtu alimfata Developer akamwambia kuwa ana idea waitengenezee software, Developer akamwuliza tafiti uliyofanya iko wapi?

MDAU AKABAKI ANANG'AANG'AAA MACHO TU BAADA YA MUDA AKAMJIBU ETI, BASI ACHA TU NITATAFUTA DEVELOPER MWINGINE WEWE UNA MAMBO MENGI.

Sasa mtu kama huyu ameulizwa swali badala ya kujibu ndio au sio anasema maneno kama hayo.

Kwa maneno kama hayo hapo
Je. nani mkosaji au kuna tatizo gani na liko upande wa nani na kwa sababu gani maana wameshindana kwa maneno hayo
Developer ndo anamakosa, soma hapa developer ni nani..... Story of Change - Utofauti computer developer vs programmer vs coder [Kiswahili]
 
Back
Top Bottom