Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Wadau, wiki iliyopita nimekuwa nikitazama hii kesi ya Jacob Zuma. Zuma alifungwa kifungo cha miezi 15. Alikamatwa usiku wa kuamkia Alhamisi. Wafuasi wake wakaanza kuandamana. Usiku wa kuamkia juma mosi walichoma trucks (Ukipenda trela yaani yale malorry makubwa) zaidi ya 30.
Baada ya kuchoma malorry hayo yaliyokuwa yanatokea port of Durban, wakaamua kutoa vurugu wikendi nzima kwa kuziba barabara kwa mawe na kuchoma tyres. Usiku wa kuamukia leo ndio tumeona sinema haswa. Yaani leo wameamua liwalo na liwe, sasa wameamua kuvunja malls na kuiba kabisa mali kama fridge, TV, sofa set na kadhalika.
Watu ni wengi na polisi ni wachache kwa hivyo polisi wameshindwa cha kufanya. Mimi nasema walete jeshi lao yaani SANDF pengine litaweza kutuliza hali.
Ona jinsi walibyochoma trucks zilizokuwa zimebeba mizigo
Ona watu wanavyoiba
Washenzi sana wanaiba bila hata uoga
Baada ya kuchoma malorry hayo yaliyokuwa yanatokea port of Durban, wakaamua kutoa vurugu wikendi nzima kwa kuziba barabara kwa mawe na kuchoma tyres. Usiku wa kuamukia leo ndio tumeona sinema haswa. Yaani leo wameamua liwalo na liwe, sasa wameamua kuvunja malls na kuiba kabisa mali kama fridge, TV, sofa set na kadhalika.
Watu ni wengi na polisi ni wachache kwa hivyo polisi wameshindwa cha kufanya. Mimi nasema walete jeshi lao yaani SANDF pengine litaweza kutuliza hali.
Ona jinsi walibyochoma trucks zilizokuwa zimebeba mizigo
Ona watu wanavyoiba
Washenzi sana wanaiba bila hata uoga