Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,563
- 217,905
Huyu kijana ni mwanamuziki wa kawaida sana, hii gharama ya viingilio vya mlangoni ambavyo waliomleta wanatutoza ni wizi wa mchana.
Ni kweli tuna njaa na rhumba lakini kwa nchi iliyokongoroka kama hii na kwa viwango hivi haiwezekani
Wasio na hela(seat): 100,000
VIP Table ...........: 1,000,000
VVIP Table.........: 1,500,000
Ni kweli tuna njaa na rhumba lakini kwa nchi iliyokongoroka kama hii na kwa viwango hivi haiwezekani
Wasio na hela(seat): 100,000
VIP Table ...........: 1,000,000
VVIP Table.........: 1,500,000