Kifaru TANZANIAN
Member
- Aug 22, 2020
- 45
- 14
Habari wadau, naomba kujua namna ya kutoa pesa kwenye benki zilizofungiwa ikiwemo Meru Bank Community
Hakuna namna ya kutoa pesa kwenye Bank iliyofungiwa. Wewe kuwa mpole na usubirie maelekezo mtakayopewa wateja wa hiyo Bank kutoka Bank Kuu. Ni toka 2016 sas tulishapewaga m1. 5 hadi leo amna tamko lolote tena